Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,142
Afadhali...kumbe sio mimi tu niliyeona kuwa anaboa. Kwanza ishu yenyewe ilikuwa imeanza kufa baada ya Mkandara kusalimu amri kimya kimya. Sasa leo akaja huyu naye na kuipa CPR lakini naona MugongoX2 kaamua kuchukua the high road kiushikaji.