Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Israel ni nabii yakobo wana Israel ni watoto yakobo.maana ya Israel ni aliyepigana na Mungu akashinda.sasa niambie ni Mungu yupi aliyepigana na yakobo akapigwa?
Aliyepigana na Mungu akashinda ,ndivyo waislamu mnaamini hivi maana ya Israel ?

Usikimbie mbele ,tunaenda mdogo mdogo
 
Sawaa.ni Mungu yupi aliyepigana na yakobo akapigwa?
Huko tutakuja baadae ,kwasasa nieleze hii maana ya Israel,nyie waislamu mnaitoaga wapi

Kwahiyo nyie waislamu na Quran mnatajaga Israel kwenye dini yenu kama kasuku hamjui maana yake ?😂😂

Ujue hata maana ya Zaburi hamjui ,injili pia hamjui


Ninaposemaga Quran na Uislamu ni michezo ya watu , uislamu ni dini mpya iliyoundwa kwa kuiba kwa wayahudi na wakristo pia wasabai Huwa namaanisha
 
Huko tutakuja baadae ,kwasasa nieleze hii maana ya Israel,nyie waislamu mnaitoaga wapi

Kwahiyo nyie waislamu na Quran mnatajaga Israel kwenye dini yenu kama kasuku hamjui maana yake ?😂😂

Ujue hata maana ya Zaburi hamjui ,injili pia hamjui


Ninaposemaga Quran na Uislamu ni michezo ya watu , uislamu ni dini mpya iliyoundwa kwa kuiba kwa wayahudi na wakristo pia wasabai Huwa namaanisha
Naona mjadala umeanza kukushinda.
 
Naona mjadala umeanza kukushinda.
Nilitegemea majibu kama haya ,

Nakuuliza Tena Maana ya Israel kwa nyie waislamu mnaitoa wapi?

Je nani kawafunza ? Au mnaiba kwa wayahudi ?

Je mnaibaje kitu haimjui maana yake?
 
Nilitegemea majibu kama haya ,

Nakuuliza Tena Maana ya Israel kwa nyie waislamu mnaitoa wapi?

Je nani kawafunza ? Au mnaiba kwa wayahudi ?

Je mnaibaje kitu haimjui maana yake?
Nilitegemea majibu kama haya ,

Nakuuliza Tena Maana ya Israel kwa nyie waislamu mnaitoa wapi?

Je nani kawafunza ? Au mnaiba kwa wayahudi ?

Je mnaibaje kitu haimjui maana yake?
Quran SIO KAMUSI
 
HAKUNA JINI MWEMA
MUNGU - MALAIKA
SHETANI - MAJINI
Muulize kama kuna majini mema mbona hatusomi popote mungu akiwatumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu yaani kuwatuma majini kuleta habari njema tunaona mungu akitumia malaika tu ...tukisema muhammad alitokewa na jini mapangoni mbona wanakanusha kuwa siyo jini ni malaika kwanini wasiseme ni jini mchamungu ndiyo kamtokea muhammad
 
Muulize kama kuna majini mema mbona hatusomi popote mungu akiwatumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu yaani kuwatuma majini kuleta habari njema tunaona mungu akitumia malaika tu ...tukisema muhammad alitokew na jini mapangoni mbona wanakanusha kuwa siyo jini ni malaika kwanini wasiseme ni jini mchamungu ndiyo kamtokea muhammad


Umeleta hoja nzuri sana za mtu mwenye uelewa Mkubwa. Na kiukweli Muhamad alitokewa na Jin ila hapo hawataki kukubali. Wanasema Malaika. Ila ukiwasema majin hawataki wasemwe vibaya umenipa jambo moja zuri sana la kuanzishia mjadala.
 
Nilitegemea majibu kama haya ,

Nakuuliza Tena Maana ya Israel kwa nyie waislamu mnaitoa wapi?

Je nani kawafunza ? Au mnaiba kwa wayahudi ?

Je mnaibaje kitu haimjui maana yake?
Mpuuze basi 🤣
 
Muulize kama kuna majini mema mbona hatusomi popote mungu akiwatumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu yaani kuwatuma majini kuleta habari njema tunaona mungu akitumia malaika tu ...tukisema muhammad alitokew na jini mapangoni mbona wanakanusha kuwa siyo jini ni malaika kwanini wasiseme ni jini mchamungu ndiyo kamtokea muhammad
Sasa utakuwa na ushahidi gani kama alikuwa Jini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom