Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Nioneshe wapi Musa alikuwa myahudi ikiwa hakutokana na YUDA.bali LAWI
Shida ni elimu ,na haya mambo huwezi kuyapata kwenye Quran

Kihistoria, jina Myahudi (Jew) lilitokana na kabila la Yuda (Judah).

Lakini kadri muda ulivyopita, majina kama Wayahudi yalitumika kwa jumla kumaanisha wazao wote wa Israeli, si Yuda peke yake (hata waliokuwa kutoka makabila mengine).

Mfano, hata Malkia Ester aliitwa Myahudi (Ester 2:5), lakini alikuwa kutoka kabila la Benyamini, si Yuda.
 
Yaani hata biblia pia haujui?
Wewe sihuwa unapinga biblia hapa ,ndio maana nimekuuliza nilitegemea unipe kwa Quran ambayo mnasema Ina kila kitu

Nashangaa unaniletea kwa mujibu wa biblia😂😂

Au Quran Leo Haina kila kitu?
 
Huyo wa kiislamu amebuniwa juzi, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, kabla huyo Allah wa muarabu kulikua na Baal wa wafilisiti na wote wamejaribi kufuta Wayahudi kwenye uso wa dunia wakashindwa.
Wewe sihuwa unapinga biblia hapa ,ndio maana nimekuuliza nilitegemea unipe kwa Quran ambayo mnasema Ina kila kitu

Nashangaa unaniletea kwa mujibu wa biblia😂😂

Au Quran Leo Haina kila kitu?
Hyo TAFSRI hata ukiingia Google unapata.kwa hyo ulitaka Quran iandike kama kamusi?
 
Nimeuliza maana umesema aliyeshindana na Mungu akashinda ,

Umetoa kwenye biblia ,nauliza Quran Haina ? Je Leo unaikubali biblia?
Hivi Quran unadhani unaweza kuandika maandiko kama hayo?
Hivi huyo Mungu aliyepigana na yakobo ni YAHWEH?
YAANI Mungu anapigana na kiumbe wake na Mungu anashindwa huyo Ni Mungu kweli?
 
Shida ni elimu ,na haya mambo huwezi kuyapata kwenye Quran

Kihistoria, jina Myahudi (Jew) lilitokana na kabila la Yuda (Judah).

Lakini kadri muda ulivyopita, majina kama Wayahudi yalitumika kwa jumla kumaanisha wazao wote wa Israeli, si Yuda peke yake (hata waliokuwa kutoka makabila mengine).

Mfano, hata Malkia Ester aliitwa Myahudi (Ester 2:5), lakini alikuwa kutoka kabila la Benyamini, si Yuda.
🤣🤣🤣.hakuna kitu kama hicho.kuanzia mtoto wa kwanza wa yakobo mpaka wa 12 wote walikuwa na watoto wao.na hawakuhusiana Kwa lolote.watoto wa yuda ndo wakaanzisha dini yao ya judaism.walawi ni tofauti kabisa na wayahudi japo nao ni waisrael.ili uwe myahudi unapaswa utoke kwenye kabila ya yuda.nini weweee .
 
Adam ni nyama na amepewa mamlaka ya kiungu.

Huyo ni moto na hajapewa hayo mamlaka yoyote.

Tunatazama historia ya huko nyuma na kwanini alifanya uasi.

Ila tuishie hapa mana kasha silimu basi mkumbusheni swala 5 asisahau.
Umetoa vigezo vipi kujua kuwa Ibilis alisilimu
 
🤣🤣🤣.hakuna kitu kama hicho.kuanzia mtoto wa kwanza wa yakobo mpaka wa 12 wote walikuwa na watoto wao.na hawakuhusiana Kwa lolote.watoto wa yuda ndo wakaanzisha dini yao ya judaism.walawi ni tofauti kabisa na wayahudi japo nao ni waisrael.ili uwe myahudi unapaswa utoke kwenye kabila ya yuda.nini weweee .
Quran inasema wapi hayo ?

Mimi nakupa ushahidi wa biblia ,wewe njoo na WA Quran

kumbuka jina Myahudi (Jew) lilianza kutoka Yuda, lakini baadaye liliwakilisha Waisraeli wote waliokuwa Babeli. Ndiyo maana hata Mordekai wa kabila la Benyamini aliitwa Myahudi (Ester 2:5). Kwa hiyo Musa akiwa Mwalawi bado ni Myahudi, kwa sababu wote wa Israeli walijulikana hivyo. Judaism si dini ya Yuda peke yao, bali ni ya Israeli wote.”
 
Hyo TAFSRI hata ukiingia Google unapata.kwa hyo ulitaka Quran iandike kama kamusi?
Google inatoa wapi ?

Maana ya Israel inatolewa na Biblia maana hilo jina ni la kihebrania

Ndio maana nakuuliza wewe muislamu unatoa wapi ?

Biblia unaikubali toka lini?
 
Quran inasema wapi hayo ?

Mimi nakupa ushahidi wa biblia ,wewe njoo na WA Quran

kumbuka jina Myahudi (Jew) lilianza kutoka Yuda, lakini baadaye liliwakilisha Waisraeli wote waliokuwa Babeli. Ndiyo maana hata Mordekai wa kabila la Benyamini aliitwa Myahudi (Ester 2:5). Kwa hiyo Musa akiwa Mwalawi bado ni Myahudi, kwa sababu wote wa Israeli walijulikana hivyo. Judaism si dini ya Yuda peke yao, bali ni ya Israeli wote.”
Aliyefanya wayahudi kuwa wawakilishi wa waisrael wote ni nani?
 
Google inatoa wapi ?

Maana ya Israel inatolewa na Biblia maana hilo jina ni la kihebrania

Ndio maana nakuuliza wewe muislamu unatoa wapi ?

Biblia unaikubali toka lini?
Kwani google haina biblia?😳😳😳
Sawa niambie Mungu gani aliyepigana na yakobo akapigwa?
 
Hivi Quran unadhani unaweza kuandika maandiko kama hayo?
Hivi huyo Mungu aliyepigana na yakobo ni YAHWEH?
YAANI Mungu anapigana na kiumbe wake na Mungu anashindwa huyo Ni Mungu kweli?
Safi, kama maana sio hiyo ,maana ya Israel ni nini na useme kwanini maana ni hiyo

Twende kazi,

Sisi biblia Ina toa na maelezo ya hilo jina

Sasa wewe umesema maana yake ni aliyepigana na Mungu ,je umeitoa wapi na unakubaliana na hiyo maana ?😂😂
 
Safi, kama maana sio hiyo ,maana ya Israel ni nini na useme kwanini maana ni hiyo

Twende kazi,

Sisi biblia Ina toa na maelezo ya hilo jina

Sasa wewe umesema maana yake ni aliyepigana na Mungu ,je umeitoa wapi na unakubaliana na hiyo maana ?😂😂
Sawa nimetoa kwenye biblia.haya niambie Mungu gani aliyepigana na yakobo akapigwa?
 
Aliyefanya wayahudi kuwa wawakilishi wa waisrael wote ni nani?
Aliyefanya jina Myahudi liwakilishe Israeli wote ni historia yenyewe. Baada ya kugawanyika, kubaki kwa Yuda na kisha uhamisho wa Babeli, jina la taifa lote likachukuliwa kama Wayahudi.

Ezra 4:12 inaonyesha wazi haikusema Yuda peke yake, bali ‘Wayahudi’ wote. Hivyo Musa naye anaingia katika huo utambulisho.


Wakati Ezra na Nehemia wanarudi, maandiko yanaonyesha watu wote wa Israeli walijulikana kama Wayahudi, bila kujali kabila.

Mfano: Ezra 4:12 – “Wayahudi walioondoka Babeli...” (haijasema “Wale wa kabila la Yuda pekee”).


Haya naomba kwenye Quran 😂
 
Sawa nimetoa kwenye biblia.haya niambie Mungu gani aliyepigana na yakobo akapigwa?
Kwahiyo nyie waislamu mliiba jina ISRAEL bila kujua maana na muktadha wake ?

Nikisema uislamu ni dini ya kuokoteza huku na huku nitakuwa NAKOSEA ?
 
Kwani google haina biblia?😳😳😳
Sawa niambie Mungu gani aliyepigana na yakobo akapigwa?
Usikimbilie mbele ,hapa hapa

Quran inapotaja Israel au Wana wa Israel haijui maana yake ?

Kama inajua maana yake ni nini ?
 
Kwani google haina biblia?😳😳😳
Sawa niambie Mungu gani aliyepigana na yakobo akapigwa?
Kwahiyo nyie waislamu na Quran mnatajaga Israel kwenye dini yenu kama kasuku hamjui maana yake ?😂😂

Ujue hata maana ya Zaburi hamjui ,injili pia hamjui


Ninaposemaga Quran na Uislamu ni michezo ya watu , uislamu ni dini mpya iliyoundwa kwa kuiba kwa wayahudi na wakristo pia wasabai Huwa namaanisha
 
Kwahiyo nyie waislamu na Quran mnatajaga Israel kwenye dini yenu kama kasuku hamjui maana yake ?😂😂

Ujue hata maana ya Zaburi hamjui ,injili pia hamjui


Ninaposemaga Quran na Uislamu ni michezo ya watu , uislamu ni dini mpya iliyoundwa kwa kuiba kwa wayahudi na wakristo pia wasabai Huwa namaanisha
Sawaa.ni Mungu yupi aliyepigana na yakobo akapigwa?
 
Usikimbilie mbele ,hapa hapa

Quran inapotaja Israel au Wana wa Israel haijui maana yake ?

Kama inajua maana yake ni nini ?
Israel ni nabii yakobo wana Israel ni watoto yakobo.maana ya Israel ni aliyepigana na Mungu akashinda.sasa niambie ni Mungu yupi aliyepigana na yakobo akapigwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom