Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Najua haujui . uyahudi ni Jina liliotokana na mtoto wa 4 wa nabii yakobo aliyeitwa YUDA AU YEHUDA.sasa kile kizazi chake ndo kikaja kujiita wayahudi. Yaani watoto wa yuda wakaanzisha na dini yao wakaiita judaism.ndo maana mtume musa hakuwa MYAHUDI.una swali?
Kwanza inaonesha hujui, Jews limetokana na kabila la Yuda na Benjamini baada ya makabila 10 kupotea

Halafu Musa ni myahudi kama hujui wa kabila la Lawi

Kama unabisha njoo hapa nipe nasaba ya Musa
 
Na ndio maana sio Kila muisrael ni myahudi.
Wayahudi ni Moja ya makabila 12 ambayo yametokana na watoto wa yakobo ambaye anaitwa ISRAEL.upo?
Sikila siku tunawafubdisha haya nyie waislamu ambao hamjui hata manabii wote ni waisrael ,

Unaweza kunitajia maana ya neno Israel ?

Unaweza kutaja watoto 12 wa Yakobo ?
 
Lea alizaa Reubeni, Simeoni, Levi na Yuda. Raheli alipoona kwamba hakuzaa watoto, alihuzunika. Basi akampa Yakobo Bilha, mtumishi wake naye Bilha akazaa wana wawili walioitwa Dani na Naftali. Kisha Lea pia akampa Yakobo Zilpa mtumishi wake, naye Zilpa akazaa Gadi na Asheri. Mwishowe Lea akazaa wana wengine wawili, Isakari na Zebuloni.

Wewe jamaa acha uongo.wayahudi walitokana na yuda.
Na Musa alitokana na kabila la LAWI.
Acha kupototosha watu
Kwanza inaonesha hujui, Jews limetokana na kabila la Yuda na Benjamini baada ya makabila 10 kupotea

Halafu Musa ni myahudi kama hujui wa kabila la Lawi

Kama unabisha njoo hapa nipe nasaba ya Musa
 
Sikila siku tunawafubdisha haya nyie waislamu ambao hamjui hata manabii wote ni waisrael ,

Unaweza kunitajia maana ya neno Israel ?

Unaweza kutaja watoto 12 wa Yakobo ?
Israel ni Jina la nabii yakobo.kama manabii wote ni waisrael Ibrahim na isihaka ya Ismael ni dini gani ikiwa walikuwepo kabla ya yakobo?
 
Sikila siku tunawafubdisha haya nyie waislamu ambao hamjui hata manabii wote ni waisrael ,

Unaweza kunitajia maana ya neno Israel ?

Unaweza kutaja watoto 12 wa Yakobo ?
Maana ya "Israeli" ni "Yeye ambaye ameshindana na Mungu" au "Mshindani wa Mungu", kulingana na simulizi la Biblia.

---

1. Chanzo cha jina:

Jina Israeli alipewa Yakobo baada ya kushindana na malaika (au mtu wa kiungu) usiku kucha:

Mwanzo 32:28
"Jina lako hutaitwa tena Yakobo, bali Israeli; maana umeshindana na Mungu na watu, nawe umeshinda."

---

2. Maana ya neno:
  • "Isra" = anashindana / anapigana
  • "El" = Mungu
Hivyo: "Isra-el" = Yeye aliyeshindana na Mungu.

---

3. Umuhimu wa jina:
  • Baada ya hapo, Yakobo akawa baba wa taifa la Israeli.
  • Watoto wake 12 wakawa makabila 12 ya Israeli.

---

Kwa muktadha wa Qur'an:
- Qur'an pia inamtaja Yakobo kama Isra'il (Surat Maryam 19:58; Al-Baqarah 2:40), na "Bani Israil" = Wana wa Israeli.

Ungependa kujua pia kwa nini jina hili linabeba umuhimu wa kiimani hadi leo?
 
Sawa hyo hyo sifa ya Mungu katika BIBLIA ya kiarabu imeandikwa vipi?
Au Hilo YAHWEH.nioneshe katika biblia ya kiarabu
Mungu ni mmoja tofauti ni LUGHA .
KIEBRANIA - Yahweh
Kiswahili Mungu,kizungu GOD ,kiarabu ALLAH?


Mungu si mmoja. Mungu wa Kiislamu tofauti na wa Kikristo
 
Nimekwambia weka aya ya BIBLIA ya kiarabu Mungu ameitajwe umekimbia
Nimekimbia wapi? Au huoni nikijibu? Mimi sina Biblia ya Kiarabu. But nina uhakika wa Asilimia 100 Mungu wa Kikristo na Kiislamu ni Miungu wawili tofauti kabisa. Hawafanani na hawawezi ishi pamoja.
 
Nimekimbia wapi? Au huoni nikijibu? Mimi sina Biblia ya Kiarabu. But nina uhakika wa Asilimia 100 Mungu wa Kikristo na Kiislamu ni Miungu wawili tofauti kabisa. Hawafanani na hawawezi ishi pamoja.
basi ndo maana hauelewi.hilo Yahweh ni kiebrania na Allah kiarabu maana yake ni Moja MUNGU.
Kama hauamini nenda kamuulize kiongozi yeyote wa dini yako unayemuamini
 
basi ndo maana hauelewi.hilo Yahweh ni kiebrania na Allah kiarabu maana yake ni Moja MUNGU.
Kama hauamini nenda kamuulize kiongozi yeyote wa dini yako unayemuamini

Sina ninayemuamini najiamini mimi. Wewe amekuambia kiongozi wako unayemuamini? Mungu si Jina. Mungu ni sifa.
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Kwa hiyo kwa mujibu wa hicho kitabu Shetani ni Muislamu? Ninuavyo mtu akislimu maana yake anatoka imani nyingine kuwa Muislamu.

Vv
 
Maana ya "Israeli" ni "Yeye ambaye ameshindana na Mungu" au "Mshindani wa Mungu", kulingana na simulizi la Biblia.

---

1. Chanzo cha jina:

Jina Israeli alipewa Yakobo baada ya kushindana na malaika (au mtu wa kiungu) usiku kucha:



---

2. Maana ya neno:
  • "Isra" = anashindana / anapigana
  • "El" = Mungu
Hivyo: "Isra-el" = Yeye aliyeshindana na Mungu.

---

3. Umuhimu wa jina:
  • Baada ya hapo, Yakobo akawa baba wa taifa la Israeli.
  • Watoto wake 12 wakawa makabila 12 ya Israeli.

---

Kwa muktadha wa Qur'an:
- Qur'an pia inamtaja Yakobo kama Isra'il (Surat Maryam 19:58; Al-Baqarah 2:40), na "Bani Israil" = Wana wa Israeli.

Ungependa kujua pia kwa nini jina hili linabeba umuhimu wa kiimani hadi leo?
Umeenda kubeba kwenye CHATGPT ikakupeleka kwenye biblia 😂

Kwahiyo Leo unaiamini biblia
 
Lea alizaa Reubeni, Simeoni, Levi na Yuda. Raheli alipoona kwamba hakuzaa watoto, alihuzunika. Basi akampa Yakobo Bilha, mtumishi wake naye Bilha akazaa wana wawili walioitwa Dani na Naftali. Kisha Lea pia akampa Yakobo Zilpa mtumishi wake, naye Zilpa akazaa Gadi na Asheri. Mwishowe Lea akazaa wana wengine wawili, Isakari na Zebuloni.

Wewe jamaa acha uongo.wayahudi walitokana na yuda.
Na Musa alitokana na kabila la LAWI.
Acha kupototosha watu
Haya majina umeyatoa wapi ndani ya Quran ?

Twende taratibu tu utajua
 
Mungu si mmoja. Mungu wa Kiislamu tofauti na wa Kikristo

Huyo wa kiislamu amebuniwa juzi, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, kabla huyo Allah wa muarabu kulikua na Baal wa wafilisiti na wote wamejaribi kufuta Wayahudi kwenye uso wa dunia wakashindwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom