Hapa inaonesha Ibirisi mwanzo alikuwa Jini
[ AL - KAHF - 50 ]
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye
Hapa inaonesha Ibirisi mwanzo alikuwa Malaika
T'AHA - 116 ]
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Wakasujudu, isipo kuwa Iblisi, alikataa.
Kutokana na hizo Aya bado sijaelewa Ibiri mwanzo alikuwa Jini au Malaika:
Au vyote yaani Majini ndio Malaika