Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Naona umebadili kauli tena mimi mswahili muuza kahawa tu, sasa kunilazimsha eti furaha yangu ni wahindi na waarabu wapi nimesema haya maneno.

Mimi sina chuki na wachagga niwachukie ili iweje, wachagga, mimi ninachokupinga wewe kusema wachagga wanachukiwa kama jews kutokana na mafanikio yao.

Bongo sasa hivi kila kabila lina wapambanaji katika maisha hakuna kabila lilolala kutafuta pesa.
Mkuu nani amebadili kauli?wewe ndo uliniuliza nikutajie wachagga watano wenye viwanda na matajiri.Hiyo ni kama kebehi tu.Wako watu wenye viwanda,sema ni size.Hilo la chuki dhidi ya wachagga limo usijidai kipfu bana.Tena wewe mkuu?
 
Mushi, leo umepatwa na matatizo gani. Tatizo la demokrasia chadema ni Mzee Mtei sio wachaga.

Kikwete akikosea na kulaumiwa sio kuwalaumu wakwere wote.

Mtei ni TATIZO...
Mkuu usijitie upofu,ama hukumbuki thread niliyoianzisha ya dhana ya chadema na ukabila?Wenzako wanaposema ukabila,wewe unajitia upofu unasema wanasema ni Mtei.Nenda kwenye ile thread ukitaka kujiridhisha.
 
Mushi amepanic sana,

NAONA ANAMWAGA HADI MATUSI,SISI HAPA HATUSEMA KWAMBA TATIZO LETU NI UCHAGA AU WACHAGA,

TATIZO LETU SISI KUBWA NI AYATOLLAH MTEI,THATS ALL...
Ayatolah ni uislam Shia,Mtei ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ZeMarcoPolo, umesomeka. Sasa hebu weka jamvini CV za Mbowe, Lema V/s Zitto, tudadavue nani kati yao alimudu umande na kupevuka kielimu ili Wadau tuchambue pumba na mchele!

Dah! Mkuu hapo sasa ndio unataka kuwagusa CDM pabaya, unataka kuwaonyesha ujinga wao,unataka kuwaonyesha wanataka kung'oa ngano na kubakisha magugu, we subiri hawakawiagi kutukana unapowaonyesha ukweli.
 
CV za Mbowe na Lema zinatosha kwenye kiganja. Ndio maana jina la Lema linasikika Kwenye vurugu tu na Mbowe yuko "too local"...
Dah! Hapa lazima watakutukana,niwajuavyo hawa misukule wavumiliagi kuambiwa kweli, we subiri tu uone wasiopenda ukweli.
 
Ndio maana kijana wa Mtei, Lema hayuko tayari kuachia au kupunguza posho ya vikao. Hiyo ni falsafa aliyofundishwa na Mtei. Zitto anaadhibiwa kwa kupinga falsafa ya Mtei hadharani.
Lema ni kifaranga tu kilicho juu ya chungu lakini chini ya chungu hicho yuko Mtei
Sasa hivi tunachukua mikopo IMF na WB zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Je, tumerudi katika ukoloni mamboleo aliotaka kuuleta Mtei? Je, tumemuasi Nyerere na kumrudia Mtei!
 
Kuchukia wachaga sababu ya mafanikio ni ujinga, may be am one of them, you never know.


Lakini nilichojaribu kuonesha ni kuwa, haya mabadiliko wanayoyataka kwa sasa, kila mtu awe na sauti sawa, wakati waanzilishi wako hai ni ngumu. Lazima wana nafasi ya influence kwenye maamuzi hata kama wao sio viongozi. With time, generation ya hao waanzilishi ikiisha hapo kila mtu atakuwa na nafasi sawa.


Hata shishiem, wakati waanzilishi ama masalia ya waanzilishi yalipokuwepo, waikuwa na infuluence kubwa sana. Angalia mfano wa Nyerere alivyoweza kumuondoa Malechela kwenye wagombea kwa kukataa tu kuingia mkutanoni hadi jina lilipotolewa, how bad was that? Hakustahili kupewa nafasi ya kukataliwa na wanachama?

Haijalishi CDM ina influence kiasi gani kitaifa, ama imekua kiasi gani, lakini lazima tukubali kiumri bado ni changa, na kuna vitu lazima ivipitie katika makuzi yake, na ikiweza kutoka hapa salama, basi kweli kitakuwa chama thabiti cha upinzani.


itu kingine, nikikupinga katika kitu, si lazima nakuchukia, ni kuwa naona kitu kwa mtizamo tofauti na wewe.

mhn!kazi kweli kweli!sikujuwa kama una uwezo mkubwa hivyo wa kuandika pointi.Kwa taarifa yako,an idea can begin in a room and spread out to the whole nation.Tatizo idea imetoka kwa wachagga wanaochukiwa kwa mafanikio yao kama jews.Na kama wewe una chuki na wachagga,meza wembe,otherwise taifa litakombolewa taka usitake.Hata ikibidi kwadamu.
 
Kuchukia wachaga sababu ya mafanikio ni ujinga, may be am one of them, you never know.


Lakini nilichojaribu kuonesha ni kuwa, haya mabadiliko wanayoyataka kwa sasa, kila mtu awe na sauti sawa, wakati waanzilishi wako hai ni ngumu. Lazima wana nafasi ya influence kwenye maamuzi hata kama wao sio viongozi. With time, generation ya hao waanzilishi ikiisha hapo kila mtu atakuwa na nafasi sawa.


Hata shishiem, wakati waanzilishi ama masalia ya waanzilishi yalipokuwepo, waikuwa na infuluence kubwa sana. Angalia mfano wa Nyerere alivyoweza kumuondoa Malechela kwenye wagombea kwa kukataa tu kuingia mkutanoni hadi jina lilipotolewa, how bad was that? Hakustahili kupewa nafasi ya kukataliwa na wanachama?

Haijalishi CDM ina influence kiasi gani kitaifa, ama imekua kiasi gani, lakini lazima tukubali kiumri bado ni changa, na kuna vitu lazima ivipitie katika makuzi yake, na ikiweza kutoka hapa salama, basi kweli kitakuwa chama thabiti cha upinzani.


itu kingine, nikikupinga katika kitu, si lazima nakuchukia, ni kuwa naona kitu kwa mtizamo tofauti na wewe.
Kama anashirikiana na kina Zoka huoni ccm kunamfaa zaidi?
 
Jaman tusitumie lugha ya matusi,twendeni kwa hoja,tafadhali sana moderators uzi huu usifungwe tujadili hoja kwa maslahi ya taifa letu,

tumewachoka mafisadi wa ccm,ila sasa nani ni m'badala stahiki??

So kuanzia sasa, nyaraka kama za zito ndizo zitumike kuendesjhea vyama vyetu, maana katiba za vyama zinalikukwa. Tuamnze na CCM sasa maana kuna watu kama Sumaye wanadhulumiwa.
 
Labda hafai popote pia, tabia ni ngozi, once a traitor, always a traitor.
Hata huko anaweza akauza ramani ya vita pia, ila sijui atauza kwa nani.

Kama anashirikiana na kina Zoka huoni ccm kunamfaa zaidi?
 
Zito you better laeve CDM and join CCM, kule unafaa huku wawachanganya watu tu na filosofia zako taharuki.
 
Labda hafai popote pia, tabia ni ngozi, once a traitor, always a traitor.
Hata huko anaweza akauza ramani ya vita pia, ila sijui atauza kwa nani.

Hizo Tuhuma za kusema anashirikiana na kina Zoka,wana ushahid??waache maneno yao ya kwenye vijiwe
 
Kuchukia wachaga sababu ya mafanikio ni ujinga, may be am one of them, you never know.


Lakini nilichojaribu kuonesha ni kuwa, haya mabadiliko wanayoyataka kwa sasa, kila mtu awe na sauti sawa, wakati waanzilishi wako hai ni ngumu. Lazima wana nafasi ya influence kwenye maamuzi hata kama wao sio viongozi. With time, generation ya hao waanzilishi ikiisha hapo kila mtu atakuwa na nafasi sawa.


Hata shishiem, wakati waanzilishi ama masalia ya waanzilishi yalipokuwepo, waikuwa na infuluence kubwa sana. Angalia mfano wa Nyerere alivyoweza kumuondoa Malechela kwenye wagombea kwa kukataa tu kuingia mkutanoni hadi jina lilipotolewa, how bad was that? Hakustahili kupewa nafasi ya kukataliwa na wanachama?

Haijalishi CDM ina influence kiasi gani kitaifa, ama imekua kiasi gani, lakini lazima tukubali kiumri bado ni changa, na kuna vitu lazima ivipitie katika makuzi yake, na ikiweza kutoka hapa salama, basi kweli kitakuwa chama thabiti cha upinzani.


itu kingine, nikikupinga katika kitu, si lazima nakuchukia, ni kuwa naona kitu kwa mtizamo tofauti na wewe.

Upo Sahihi Kongosho
 
Maalim Gomgesugu

Asalaam aleykum,

Wallahi nimekusoma kwa dhati ya kina mno...!!

Mimi tena sifai humu ndani,,kwani sasa naitwa gaidi,mdini na mjahidina kisa naongea ukweli na ninaonekana nina iman ya kiislam kwa baadhi ya wanacjadema,japo sio wote nimeonekana kama ni INTRUDER NA SINA QUALIFICATION YA KUJIFANYA CHADEMA WALA KUZUNGMZA MAMBO YA CHADEMA,

LAKIN WALLAHI NAFANZA HIVI KWA MASLAHI YA TAIFA LETU SOTE,

SHUKRAN,NAOMBA USIBANDUKE HAPA TUWE PAMOJA KWENYE HUU MNAKASHA

THE BIG SHOW.I salute you.
Mkuu THE BIG SHOW you are better than this.
Mawazo na fikra zinazofikia mwisho kwenye dini au kabila sio saizi yako kaka,waaachie wenye akili hizo wafanya hivyo, wewe you are above that.
JF ni jukwaa huru na kuna watu wa aina zote hapa. Kuna watu wao kila mada au uzi wakiona wanajaribu kuhusisha na dini au imani zao, let do that BUT NOT you mkuu THE BIG SHOW because you are better than that.

Ndio kilio changu kwako leo hii Mkuu THE BIG SHOW.
 
Mkuu,

Hiki ulichokiandika umekisoma tena?

Wachaga wanachukiwa na nani? Tuanzie hapa kwanza.

Cc Ritz


Amevurugwa huyo jamaa,

Eti anasema ukombozi lazima uje iwe isiwe ikibid hata kwa KUMWAGA DAMU...!!

Nani anataka hayo mambo??kwan yeye anadhani sisi hatujifunzi kwa yanayotokea kwa wenzetu,nani amwage damu eti kwa kumpa nafasi AYATOLLAH MTEI??

Kama kweli wana hubiri Demokrasia waweke uhalisia mbele,na sio demokrasia maghilini na ulaghai..
 
Mtalia sana, mtakodi watu wa kuchoma bendera na mtawakodi waandishi wa kurusha matangazo lakini mwishowe ni hola tu. Hakuna njia ya mkato.
 
THE BIG SHOW.I salute you.
Mkuu THE BIG SHOW you are better than this.
Mawazo na fikra zinazofikia mwisho kwenye dini au kabila sio saizi yako kaka,waaachie wenye akili hizo wafanya hivyo, wewe you are above that.
JF ni jukwaa huru na kuna watu wa aina zote hapa. Kuna watu wao kila mada au uzi wakiona wanajaribu kuhusisha na dini au imani zao, let do that BUT NOT you mkuu THE BIG SHOW because you are better than that.

Ndio kilio changu kwako leo hii Mkuu THE BIG SHOW.

Ndio Mkuu,

Ndivyo mijadala inavyokuwa na kila mtu ana fikra na mawazo yake na namna ya kuzifikisha kadiri anavyodhania na kuwaza yeye,

Gombesugu Yeye ameelezea kwa upande wake na namna anavyoona,ni haki yake kuelezea hivyo,na mimi siwez kumweleza kwamba asizungumze hivyo au nimchagulie cha kuzungumza,

Nadhani yeye kazungumza vile kulandanisha na baadhi ya fikra za watu wenye islamophobia,kias kwambe mtu anaeonekana kama ana iman ya uislam humu jamvin na kuionesha wazi wazi na kujivunia nayo huitwa majina magumu,

Mimi mwenywe humu ndan kwa sasa naitwa gaidi,mjahidina,mdini,mtu mwenye siasa kali,japo wewe hunion hivyo lakin wapo wengi huniona hivyo,nikiwauliza ni wapi mimi nimeonekana ndan ya jukwaa hili kuandika post au thread yyte ya kukshifu iman ya mwenzangu yyte yule ambae haamin kile nachokiamin mimi?hawanipi jibu,nikiwauliza nin maana ya udini??hawanipi jibu,nikiwauliza pia ni vibaya au dhambi mtu kuwa muislam na ukajivunia uislam wako??hawanipi jibu,,

Thats why unaweza kuona watu kama gombesugu yeye amefanya conclusion kwamba hapendwi na hatapendwa hata kama angekuwa muislam poa,ni mtazamo wake tuh wala haina haja ya kujenga chuki na taharuki,

ILA MIMI SIKU ZOTE NITALITETEA TAIFA LANGU BILA KUWA MNAFIKI,PAMOJA NA HAPO NITAIWEKA IMAN YANGU YA UISLAM MBELE KWAN NAJUA BAADA YA MAISHA YANGU HAPA YA ULIMWENGU UISLAM NDIO AMBAO UTANIPA MAFIKO YALIYO MEMA INSHA ALLAH,SO UTANZANIA NA UISLAM KWANGU NI MAISHA YANGU
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom