Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Fukuza wote, kuna mwingine shibuda naye achapishwe mwendo.5QUOTE=Greenwhich;7904869]Mwasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei ameunga mkono na kupongeza maamuzi ya Kamati Kuu Chadema kuwavua nafasi za uongozi Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo.

Akizungumza nyumbani kwake Arusha Mtei amesema kamwe Chadema haitavumilia wasaliti wanaokula njama kurudisha nyuma harakati zake.

Mwasisi huyo mwenye mvuto na heshima kubwa ndani ya Chadema amesema kamwe hawezi kupingana na maamuzi ya Kamati Kuu na kutoa wito chama kuendelea kuwafuatilia na kuwatimua mara moja wasaliti kila wanapobainika.

Source:Mwananchi.[/QUOTE]
 
OMG...!here comes another pied piper... I'm out..

DO you know what the good book say?

"Let their eyes be darkened, that they see not; and make their loins continually to shake." -- Psalm 69:23

so Baba V you can run away if you want!! but you aint goner get far! cause you cant see!!

teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
With all of my due respect,baada ya salamu mimi sipo hapa kufanya propaganda wala kumchafua mtu yoyote,

Sijataumwa na yoyote,na nasimama kwa msimamo wangu binafsi katika kuelezea kile kilichopo fikran mwangu,

Kama Mtanzania mzalendo,mchukia mafisadi na muumin wa siasa bora na uongoz imara lazima nisimame kuelezea kitu nachokiona,

Hatuna shida na Mzee Mtei kama miongoni mwa waasisi wa chama hiki,na hatuna shida na wenngine wowote wale ambao kwa namna moja ama nyinine wamekuwa ni wanafamilia wa mwasisi huyo wa chama hiki,

Sisi kama Watanzania linapokuja suala la kuathirika kwa utawala m'bovu huwa tunapata athari hizo sote bila kujali umri,jinisia,kabila,kanda,dini na kadhalika,so as long as wewe na mimi tumekuwa ni wananchi na raia wataifa hili tunaathiriwa moja kwa moja kwa mamuzi ya wanasiasa either wawe wa chama tawala au chama cha upinzani,

Ni jukumu letu sisi wananchi kuhakikisha tunakuwa mabalozi wa siasa safi ili serikali itayokuwa madarakani iwe ni imara itayotuhakikishia maamuz sahihi na usalama wa taifa dhidi ya maadui wa ndan na nje ya nchi,

Ili tufikie hali kama hiyo tunahitaji chama ambacho hakiwez kuegemea kwenye maamuz ya kutoka upande mmoja ambao unajinasibisha kuwa na MORAL AUTHORITY YA KUTOA KAULI ZINAZOHIATJI KUSIKIKA KWA KUWA TUH ETI UPANDE HUO NDIO HASA ULIOPELEKEA KUASISIWA KWA CHAMA HIKO,HILI LAZIMA TULIWEKE WAZI MAPEMA SANA.


Katiba ya chadema hakuna kipengele hata kimoja kinachosema kwamba watu wapewe kipaombele kutokana na ukanda,udini na ukabila hata sehemu moja,yani kwa ufupi katiba ya chadema inapinga kwa nguvu zote mambo ya ukanda,ukabila na udini katika kulijenga taifa hili kwa kizazi cha sasa na cha baadae,hilo liko wazi na sote tunaunga mkono katiba ya namna hiyo...

Katika mukatadha huo basi yatupasa kuwaambia chadema wasimame katika misingi hiyo na kuionesha wazi wazi kwa vitedno na kila mtu aone na sio kuishia kuhubiri mambo hayo majukwaani huku upande wa pili ukionekana kuwa na malalamiko yasiyo kwisha,REJEA YA MAREHEMU CHACHA WANGWE NA HAYA MASAHIBU YANAYO WAKUTA KITILA MKUMBO,MWIGAMBA NA ZITTO KABWE KAMA MIFANO HURU KATIKA MJADALA HUU,


Chadema lazima itambue kwamba watanzania walio wengi pamoja na kuchoshwa na CCM wanahitaji m'badala thabiti na unaoijipambanua wazi wazi kiutawala,kikatiba na kitaifa.

Hoja ya AYATOLLAH ALKHAMENEI,YULE SUPRME LEADER WA IRAN NA JINSI WANAVYOENDESHA DEMOKRASIA YAO NAIFANANISHA MAJA KWA MOJA NA CHADEMA,NASEMA HIVYO KWA SABABU,

1.AYATOLLAH ALKHEMENEI.,yeye yupo juu,rais,mwnyekiti wa chama,bunge na mahakama vyote vinaripoti kwake,

Chama na bunge hawawez kupitisha jina la mgombea urais wa nchi ile bila baraka wala idhin ya YATOLLAH ALKHEMENEI KWA KUOGOPA KUWEKWA KWA MAMLUKI AU VIBARAKA WA MAREKANI KWENYE UTAWALA WA SERIKALI YA IRAN HASA KWENYE KIPINDI KAMA HIKI AMBACHO WANAPAAMBANA NA SIASA KALI ZA ISRAEL NA MAREKANI,HUSUSANI SUALA ZIMA LA NYUKLIA NA UONGOZ KWA UJUMLA,,Utakuja kuona kwamba MAHMOUD AHMEDNIJAD RASI ALIEMALIZA UTAWLA WAKE ALIKUWA MTIIFU KWA SYSTEM YA AYATOLLAH,WATU WAKADHANI KWAMBA KUJA KWA HASSAN ROUHANI RASI WA SASA WA IRAN BASI HATOKUWA MTIIFU KWA MFUMO ULE,HALI HAIKUWA HIVYO KWANI ROUHANI ALIPOINIA ALIONEKAN KUWA MODERATE TOFAUTI NA NIJADI LAKIN WOTE NI WALE WALE,WOTE WANAPOKEA AMRI KUTOKA KWA SUPREME LEADER KWA KILA HATUA..


Utaratibu ule ni mzuri kwa wairan na unawafaa kuogopa kuingizwa kwa mamluki wa kimarekani ndan yataifa lile,


Sasa nauliza swali,je utaratibu huo unafaa??na je unaweza kusaidia taifa kwa ujumla??mimi naona utaratibu huo kwa chadema kama chama una wafaa,tatizo ni kwamba je wakipewa madaraka ya nchi utaratibu huu utakuwa healthy kwa manufaa ya nchi??

Kwa maana mimi sion TOFAUTI BAINA YA MZEE MTEI NA JINS ANAVOKIENDESHA CHADEMA NA AYATOLLAH ALKHEMEI NA JINS ANAVOIENDESHA IRAN KAMA NCHI,SEMA TOFAUTI NI KWAMBA AYATOLLAH ANA SAUTI KITAIFA HUKU MZEE MTEI ANA SAUTI KICHAMA.

TUSEME WAZI NA KUMWAMBIA MZEE MTEI KWAMBA CHAMA HIKI KAMA KWELI ANATAKA KIPEWE IMAN NA WANANCHI,AKIACHIE KWA WANANCHI MOJA KWA MOJA,NA AONDOE FIKRA ZA U-YATOLLAH ALKHEMENEI,ATALIGAWA NA KULIGHARIM TAIFA.

#TEAM ZITTO...
 
Iran utaratibu ule unawasaidia kama nchi kuepuka kuingiza nchi kwenye umamluki wa marekani,ndio kwa maana ayatollah amepewa nafasi na sauti ya kusema,

Pia CHADEMA UTARATIBU HUU UNAWASAIDIA SANA,KWA MZEE MTEI KUWA NA USHAWISH NA NGUVU NDAN YA CHAMA SIO MBYA,INAWASAIDIA KUEPUKA CHAMA HIKO KUINGIZA MAMLUKI WA MAFISADI WA CCM,

JE,TUKIJAALIA HII NCHI WAKAICHUKUA CHADEMA,HATUONI KAMA TUTAKUWA TUMEWEKA REHANI KUWA MAAMUZI YATAKUWA YANATOKEA UPANDE FLANI,NA SIO MAAMUZ YA KITAIFA??

MZEE MTEI AKAE KANDO KABISA NA SIASA ZA CHADEMA ILI WATANZANIA WAKIPE IMAN YA UHAKIKA CHAMA HIKO
 
Jaman tusitumie lugha ya matusi,twendeni kwa hoja,tafadhali sana moderators uzi huu usifungwe tujadili hoja kwa maslahi ya taifa letu,

tumewachoka mafisadi wa ccm,ila sasa nani ni m'badala stahiki??
 
With all of my due respect,baada ya salamu mimi sipo hapa kufanya propaganda wala kumchafua mtu yoyote,

Sijataumwa na yoyote,na nasimama kwa msimamo wangu binafsi katika kuelezea kile kilichopo fikran mwangu,

Kama Mtanzania mzalendo,mchukia mafisadi na muumin wa siasa bora na uongoz imara lazima nisimame kuelezea kitu nachokiona,

Hatuna shida na Mzee Mtei kama miongoni mwa waasisi wa chama hiki,na hatuna shida na wenngine wowote wale ambao kwa namna moja ama nyinine wamekuwa ni wanafamilia wa mwasisi huyo wa chama hiki,

Sisi kama Watanzania linapokuja suala la kuathirika kwa utawala m'bovu huwa tunapata athari hizo sote bila kujali umri,jinisia,kabila,kanda,dini na kadhalika,so as long as wewe na mimi tumekuwa ni wananchi na raia wataifa hili tunaathiriwa moja kwa moja kwa mamuzi ya wanasiasa either wawe wa chama tawala au chama cha upinzani,

Ni jukumu letu sisi wananchi kuhakikisha tunakuwa mabalozi wa siasa safi ili serikali itayokuwa madarakani iwe ni imara itayotuhakikishia maamuz sahihi na usalama wa taifa dhidi ya maadui wa ndan na nje ya nchi,

Ili tufikie hali kama hiyo tunahitaji chama ambacho hakiwez kuegemea kwenye maamuz ya kutoka upande mmoja ambao unajinasibisha kuwa na MORAL AUTHORITY YA KUTOA KAULI ZINAZOHIATJI KUSIKIKA KWA KUWA TUH ETI UPANDE HUO NDIO HASA ULIOPELEKEA KUASISIWA KWA CHAMA HIKO,HILI LAZIMA TULIWEKE WAZI MAPEMA SANA.


Katiba ya chadema hakuna kipengele hata kimoja kinachosema kwamba watu wapewe kipaombele kutokana na ukanda,udini na ukabila hata sehemu moja,yani kwa ufupi katiba ya chadema inapinga kwa nguvu zote mambo ya ukanda,ukabila na udini katika kulijenga taifa hili kwa kizazi cha sasa na cha baadae,hilo liko wazi na sote tunaunga mkono katiba ya namna hiyo...

Katika mukatadha huo basi yatupasa kuwaambia chadema wasimame katika misingi hiyo na kuionesha wazi wazi kwa vitedno na kila mtu aone na sio kuishia kuhubiri mambo hayo majukwaani huku upande wa pili ukionekana kuwa na malalamiko yasiyo kwisha,REJEA YA MAREHEMU CHACHA WANGWE NA HAYA MASAHIBU YANAYO WAKUTA KITILA MKUMBO,MWIGAMBA NA ZITTO KABWE KAMA MIFANO HURU KATIKA MJADALA HUU,


Chadema lazima itambue kwamba watanzania walio wengi pamoja na kuchoshwa na CCM wanahitaji m'badala thabiti na unaoijipambanua wazi wazi kiutawala,kikatiba na kitaifa.

Hoja ya AYATOLLAH ALKHAMENEI,YULE SUPRME LEADER WA IRAN NA JINSI WANAVYOENDESHA DEMOKRASIA YAO NAIFANANISHA MAJA KWA MOJA NA CHADEMA,NASEMA HIVYO KWA SABABU,

1.AYATOLLAH ALKHEMENEI.,yeye yupo juu,rais,mwnyekiti wa chama,bunge na mahakama vyote vinaripoti kwake,

Chama na bunge hawawez kupitisha jina la mgombea urais wa nchi ile bila baraka wala idhin ya YATOLLAH ALKHEMENEI KWA KUOGOPA KUWEKWA KWA MAMLUKI AU VIBARAKA WA MAREKANI KWENYE UTAWALA WA SERIKALI YA IRAN HASA KWENYE KIPINDI KAMA HIKI AMBACHO WANAPAAMBANA NA SIASA KALI ZA ISRAEL NA MAREKANI,HUSUSANI SUALA ZIMA LA NYUKLIA NA UONGOZ KWA UJUMLA,,Utakuja kuona kwamba MAHMOUD AHMEDNIJAD RASI ALIEMALIZA UTAWLA WAKE ALIKUWA MTIIFU KWA SYSTEM YA AYATOLLAH,WATU WAKADHANI KWAMBA KUJA KWA HASSAN ROUHANI RASI WA SASA WA IRAN BASI HATOKUWA MTIIFU KWA MFUMO ULE,HALI HAIKUWA HIVYO KWANI ROUHANI ALIPOINIA ALIONEKAN KUWA MODERATE TOFAUTI NA NIJADI LAKIN WOTE NI WALE WALE,WOTE WANAPOKEA AMRI KUTOKA KWA SUPREME LEADER KWA KILA HATUA..


Utaratibu ule ni mzuri kwa wairan na unawafaa kuogopa kuingizwa kwa mamluki wa kimarekani ndan yataifa lile,


Sasa nauliza swali,je utaratibu huo unafaa??na je unaweza kusaidia taifa kwa ujumla??mimi naona utaratibu huo kwa chadema kama chama una wafaa,tatizo ni kwamba je wakipewa madaraka ya nchi utaratibu huu utakuwa healthy kwa manufaa ya nchi??

Kwa maana mimi sion TOFAUTI BAINA YA MZEE MTEI NA JINS ANAVOKIENDESHA CHADEMA NA AYATOLLAH ALKHEMEI NA JINS ANAVOIENDESHA IRAN KAMA NCHI,SEMA TOFAUTI NI KWAMBA AYATOLLAH ANA SAUTI KITAIFA HUKU MZEE MTEI ANA SAUTI KICHAMA.

TUSEME WAZI NA KUMWAMBIA MZEE MTEI KWAMBA CHAMA HIKI KAMA KWELI ANATAKA KIPEWE IMAN NA WANANCHI,AKIACHIE KWA WANANCHI MOJA KWA MOJA,NA AONDOE FIKRA ZA U-YATOLLAH ALKHEMENEI,ATALIGAWA NA KULIGHARIM TAIFA.

#TEAM ZITTO...

Acha ujinga, NENDA CCM muendelee na ujinga huohuo kama hawatawatoa uhai wenu..upu mpu bafu kabisa
 
Uchaguzi ndani ya chadema mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa 2015! sasa asiyetaka aende CCM. Dr.Slaa alishasema CDM haiwezi kuwa CCM B...
 
Majaribio kadhaa yameshashindwa...

Uko biased mkuu, so huwezi ukawa muamuzi mzuri, more or less unataka wazo lako ndo lifuatwe mtu akienda kinyume unaishia kumwambia hana hoja, very bad
 
lengo chadema kuwa na mfumo kama huo ni kujiengea utaratibu wa kula hela na kutawala milele watu wa kutoka upande mmoja kitu ambacho ni sumu kubwa kwa ustawi wa demokrasia.
 
Hivi mnajua siku ya kwanza kabisa mtu na mkwewe wanapanga kuanzisha chama walikuwa na vision gani? Mkijua hilo ndio mtajua mko sahihi ama lah. Ukute aidia ilianzia sebuleni, tena nyumbani kabisa wakiwa wanapata kahawa, wakapanga na mission ya kusaidia kufanikisha vision yao. Leo vyasaka mnataka nini??? Kiruuuu

Labda nyie hii inahusu mapinduzi ya kuing'oa shishiemu, wakati wenzenu labda ni family matter, tena yenye sentimemtal values za hali ya juu, na labda warithi ni wajukuu. Haka kama sio na uhusiano vile, lazima awe anayeweza kushikiwa rimoti bila chenga. Wao watashika rimoti, yeye ni actons tu hii haaa puuf puuf, dishwaa dishwaaa.

Raha ya mdumangu uuanzie mwanzo, ukikubeba juu kwa juu unapotea wewe.
 
Uchaguzi ndani ya chadema mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa 2015! sasa asiyetaka aende CCM. Dr.Slaa alishasema CDM haiwezi kuwa CCM B...

Naona unajisumbua tu chadema hakuna uchaguzi mbowe na slaa ni viongozi wa chadema milele mpaka watafia chadema wote mnaotaka madaraka chadema tutawafukuza.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom