Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mtei ni kansa kwa Demokrasia ndani ya Chadema...
Mtei si sababu.Mtakuwa na raha endapo hakutakuwepo na mchagga kwenye uongozi wa chadema.Halafu baadae wenye udini watataka kuwepo na viongozi wenye dini moja na maamuzi ya kidini.Tunakoelekea siko,hakuitaji ushabikishabiki.There's a price to pay,trust me.
 
Ndugu mleta hoja, hii ni moja ya hoja zinazonipa kushangaa jinsi baadhi ya wenzetu mnavyo-react kwa mambo ya msingi na kusema haraka-haraka maneno makubwa bila kufikiri vya kutosha na kufanya uchambuzi wa jambo husika kwa makini. Hivi alichosema Mtei ni kipi cha kutosha kumlinganisha na Ayatollah ambaye neno lake ni la mwisho na linachukuliwa kama neno la Mungu? Hivi mzee Mtei kwa nafasi yake hastahili kuwa mshauri wa chama? Na kama akiona uongozi wa chama umefanya maamuzi akatoa mawazo yake kuunga mkono hilo linawezaje kutosha kumfananisha na Ayatollah? Na je, kama Mtei angekuwa amewaponda uongozi wa Chama katika hili bado mleta hoja ungemfananisha na Ayatollah, au kwa kuwa alilolisema hukulipenda unafikia conclusion hiyo?

Ni vyema tuelewe na tujenge utamaduni wa kuyapa maamuzi ya chama muda na tafakuri ya kina ili mambo yajiweke bayana machoni petu sawasawa badala ya kuropoka hovyo kwa misingi ya hisia tu. Chama kimetoa tamko la sababu ya kuwaadhibu baadhi ya viongozi wake, nao wamejieleza waliyo nayo mioyoni. Wenye busara wanajipa nafasi watafakari, wachekeche waone kulikoni kabla hawasema hili au lile. Hoja hii inaonekana wazi kuwa mwenzetu umefanya pre-mature judgement au nawe ni miongoni mwa wale walioathiriwa na propaganda zinazoenezwa kuhujumu cdm.

Tusisahau swala la Zito na uongozi halikuanza hapa. Tulitafakari taratibu kwa historia yake. Pia tukumbuke kuwa cdm kama chama kinahitaji watu wa aina zote, vijana kwa wazee. Tusidhani tutaweza kufika kama tutapuuza hazina za wazee kwa kisingizio cha haraka haraka tu kwamba eti ni saccoss ya mtu. Kwani ni chama kipi ambacho hakianzishwa na mtu?

Mzee Mtei ni TATIZO...
 
Mtei si sababu.Mtakuwa na raha endapo hakutakuwepo na mchagga kwenye uongozi wa chadema.Halafu baadae wenye udini watataka kuwepo na viongozi wenye dini moja na maamuzi ya kidini.Tunakoelekea siko,hakuitaji ushabikishabiki.There's a price to pay,trust me.

Kwani sisi wachaga tuna tatizo gani mpaka watu wafurahi tukitoka. Btw watu gani hao wasiotupenda wachaga?
 
jmushi1 njoo upate undani wa jinamizi la demokrasia ndani ya Chadema.

Tatizo sio kabila, tatizo ni Mtei...
 
Last edited by a moderator:
Wako wengi zaidi ya watano,na wengine vilikufa kwa sera mbovu za ccm.Unaulizia viwanda mahali kuna umeme wa kugawa?

Nafahamu wachagga wengi tu wenye viwanda,wanaendesha maisha sawa tu kibongobongo,lakini kuwaita matajiri siwezi.Kabila gani lenye mafanikio zaidi hapo bongo?waarabu?wahindi?na ndo furaha yako hiyo.

Taka usitake,chuki dhidi ya wachagga ni kama ile ya dihi ya jews.Muwe tu tayari kukabiliana kikinuka.
Naona umebadili kauli tena mimi mswahili muuza kahawa tu, sasa kunilazimsha eti furaha yangu ni wahindi na waarabu wapi nimesema haya maneno.

Mimi sina chuki na wachagga niwachukie ili iweje, wachagga, mimi ninachokupinga wewe kusema wachagga wanachukiwa kama jews kutokana na mafanikio yao.

Bongo sasa hivi kila kabila lina wapambanaji katika maisha hakuna kabila lilolala kutafuta pesa.
 
Wako wengi zaidi ya watano,na wengine vilikufa kwa sera mbovu za ccm.Unaulizia viwanda mahali kuna umeme wa kugawa?

Nafahamu wachagga wengi tu wenye viwanda,wanaendesha maisha sawa tu kibongobongo,lakini kuwaita matajiri siwezi.Kabila gani lenye mafanikio zaidi hapo bongo?waarabu?wahindi?na ndo furaha yako hiyo.

Taka usitake,chuki dhidi ya wachagga ni kama ile ya dihi ya jews.Muwe tu tayari kukabiliana kikinuka.

Mushi, leo umepatwa na matatizo gani. Tatizo la demokrasia chadema ni Mzee Mtei sio wachaga.

Kikwete akikosea na kulaumiwa sio kuwalaumu wakwere wote.

Mtei ni TATIZO...
 
Wewe THE BIG SHOW umeandika ujinga halafu unadai hutaki matusi huku wewe ni mmojwapo wenye kuyamwaga matusi humu jukwaani.

Kwanza chadema haijawahi kushika madaraka ya nchi ili uweze kusema raisi anamsikiliza Mtei.Hata huyu raisi tuliyenaye kuna anaowasikiliza.Tatizo ni mods hawajui thread zenye hatari kwa taifa.Wakija gunduwa itakuwa too late!

Uongozi wa Ayatolah ni uongozi wa kiislam.Ayatolah ni a supreme leader.Matatizo yao na marekani ndo yamepelekea hayo.Tanazania hatuna hayo matatizo.Kama umelipwa kuongea haya.Ujuwe consuquences zake zitakutafuna wewe na cfamilia yako.Kama mnataka kulianzisha muwe tayari.

Msiogope mumeamua kulianzisha wenyewe then you should bare the consequences.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kama unakubali kuwa utaratibu huo huko Iran unawasaidia sana kuepuka mamluki unashangaza kutaka Mtei asifanye hivyo. yote ni sawa. Nafasi ya Mtei ambaye anazijua fitna za chama tawala pengine kuliko mpinzani yeyote, ni wajibu wake kuhakikisha Chadema haiongozwi na mamluki.
 
Last edited by a moderator:
Na uislamu wako hauwezi kukamilika kama huitambui Injili. Injili haimbwi bali kuna miziki ya injili.

Unamaanisha kukitambua kama ni kitabu cha mwenyezi Mungu au kukitambua kivipi? kama ni kukitambua kama ni kitabu cha Mungu upo sawa ila sheria zake hazitumiki kwa sasa. chama kakuambia uwe makini usijekuimbishwa na injili ila hajakikana kitabu hicho.
 
Last edited by a moderator:
Kama unakubali kuwa utaratibu huo huko Iran unawasaidia sana kuepuka mamluki unashangaza kutaka Mtei asifanye hivyo. yote ni sawa. Nafasi ya Mtei ambaye anazijua fitna za chama tawala pengine kuliko mpinzani yeyote, ni wajibu wake kuhakikisha Chadema haiongozwi na mamluki.


Sawa sawa kabisa,

Utaratibu huo kwa iran unawasaidia kwa kuwa wamekubaliana kitaifa kuanzia ngazi ya chini ya utawala hadi ngazi ya juu,

Lakin vile vile UTARATIBU HUU KWA CHADEMA AKIOUPANGA MTEI HATA KAMA UNAWASAIDIA,UTAKUJA KUONA KWAMBA HAUNA BARAKA NA WANACHAMA WOTE WA CHAMA HIKO,

MBAYA ZAID NI KWAMBA NI HATARI ENDAPO CHAMA HIKI KIKICHUKUA DOLA CHINI YA UTARATIBU WA KUSIKILIZA MAELEKEZO KUTOKA KWA GOD FATHER AYATOLLAH MTEI,NADHAN UTAKUWA UMENIELEWA SASA
 
Mushi, leo umepatwa na matatizo gani. Tatizo la demokrasia chadema ni Mzee Mtei sio wachaga.

Kikwete akikosea na kulaumiwa sio kuwalaumu wakwere wote.

Mtei ni TATIZO...


Mushi amepanic sana,

NAONA ANAMWAGA HADI MATUSI,SISI HAPA HATUSEMA KWAMBA TATIZO LETU NI UCHAGA AU WACHAGA,

TATIZO LETU SISI KUBWA NI AYATOLLAH MTEI,THATS ALL...
 
Nimecheka sana eti wachagga wanachukiwa kwa mafanikio yao kama jews,

Unaweza kunitajia japo matajiri 5 wa kichagga wanaomiliki viwanda.

Mafanikio ya wachagga ni yapi mpaka uwalinganishe na jews.

Nasubiri mkuu hayo mafanikio.


Huyo Mushi,mimi nishampuuza muda mrefu sana,

Ni mchaga flan asiejielewa na mwenye mihemko mikali sana ya ukabila,

Sisi hapa hatujasema tatizo ni uchaga au tatizo ni wachaga,tumesema tatizo ni MTEI NA PHILOSOPHIA YAKE YA U-AYATOLLAH NDAN YA CHAMA,

NA KWAMBA CHAMA CHAPASWA KUWA NI CHA KITAIFA,AKUBALIANE NA HILO NA AKAE APUMZIKE AMALIZIE MAISHA YAKE YALIYOBAKIA
 
Unamaanisha kukitambua kama ni kitabu cha mwenyezi Mungu au kukitambua kivipi? kama ni kukitambua kama ni kitabu cha Mungu upo sawa ila sheria zake hazitumiki kwa sasa. chama kakuambia uwe makini usijekuimbishwa na injili ila hajakikana kitabu hicho.

Mkuu CHAMVIGA
Usihangaike sana Mohamedi Mtoi huyo ni mpiga gitaa kwenye kwaya!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom