Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mtalia sana, mtakodi watu wa kuchoma bendera na mtawakodi waandishi wa kurusha matangazo lakini mwishowe ni hola tu. Hakuna njia ya mkato.


Ni kweli,

Lakin hiyo siyo hoja kuu,unazungumziaje U-AYATOLLAH WA MTEI KWA MANUFAA YA TAFA LETU??

Ni wazi kwamba huo mfumo wake kwa chadema ni healthy na unakipelekea chama kutoaingiliwa na mamluki kama anavodhania yeye,,

Je,chadema ikichukua nchi hii wewe huoni kuwa U-AYATOLLAH WA MTEI UTAINGIA HADI KWENYE SHUGHULI ZA KISERIKALI??
 
Ayatolah ni uislam Shia,Mtei ni nini?

Mtei ni mchaga,

Wairan wamekubaliana na mfumo wa AYATOLLAH ALKHEMENEI NA NDIO KWA MAANA UNAONA LILE LINAITWA ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN..

Tunampinga AYATOLLAH MTEI,kwa kuwa hatujakubaliana kama taifa tuwe na CHAGA REPUBLIC OF TANZANIA,

Thats why tunasema kwamba mfumo huo anaoukumbatia kumbatia sio mzuri,utaligawa taifa,inatosha yeye kuwa muasisi,sasa atoke aende zake akiache chama kiwe cha kitaifa,na kisiwe na qualifications maalum za kumfanya kilakiongoz mwenye ushawish atokee kanda hiyo au awe ni mwenye kupata baraka zake kwanza kama anavyofanya AYATOLLAH AL KHEMENEI KULE IRAN,,

HILO HAPA KWETU HATUTALIRUHUSU DAIMA MILELE...
 
Sasa hatijui/sijui kama unamkubali huyo Ayatola ama la, maana unasema anazuia vibaraka wa marekani. Kuna ubaya hapo? Na Mtei akizuia mamluki kuna ubaya? Na aliyesema kuwa mzee mtei ni final say ni nani? Bado hizo ni dhana tu.
 
Mtei ni mchaga,

Wairan wamekubaliana na mfumo wa AYATOLLAH ALKHEMENEI NA NDIO KWA MAANA UNAONA LILE LINAITWA ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN..

Tunampinga AYATOLLAH MTEI,kwa kuwa hatujakubaliana kama taifa tuwe na CHAGA REPUBLIC OF TANZANIA,

Thats why tunasema kwamba mfumo huo anaoukumbatia kumbatia sio mzuri,utaligawa taifa,inatosha yeye kuwa muasisi,sasa atoke aende zake akiache chama kiwe cha kitaifa,na kisiwe na qualifications maalum za kumfanya kilakiongoz mwenye ushawish atokee kanda hiyo au awe ni mwenye kupata baraka zake kwanza kama anavyofanya AYATOLLAH AL KHEMENEI KULE IRAN,,

HILO HAPA KWETU HATUTALIRUHUSU DAIMA MILELE...
Umeusoma vyema mfumo wa Islamic Republic of Iran?unaweza kuniambia mfumo wa kichagga utaongoza vipi kama ulivyo wa Iran?ile ni nchi ya kiislam na ikiwa hivyo kiongozi mkuu wa dini ndo ana call shots,halafu mods wanaiacha hii.
 
Mohamedi Mtoi umeipata wapi hii wewe endelea na mambo yako ya Chadema mambo ya Uislam achana nao unajidhalilisha una unalolijua katika Uislam, muziki ni haramu kwenye Uislam.

THE BIG SHOW Boko haram gombesugu CHAMVIGA FaizaFoxy wabara



Mkuu Ritz,

Yaani umenifanza nicheke pasi kiasi asubuhi hii kwa hii bayana yako! Kwi! Kwi!

Wajua hao Wakristo wa Chadema wanapoingia humu kwa ID's fake na kujifanza ati wao ndo "wanawakilisha" mawazo ya Waislam woote...huwa wanajizidishia tu kuonekana comedians!

Yaani Kamanda Mohamed Mtoi anataka kuwapelekea ma-guitars na saxophones Misikitini!? Duh! Teh! Teh!

Na hao vikaragosi ndo wazidishao ku-damage hiyo character ya hiyo Chadema yao,na hata dignity ya Viongozi wao(kama walishawahi hata kuwa hata na hiyo dignity from the start!?) Teh! Teh!

Yanikumbusha kwenye ule mnakasha fulani humu,yule Mag3,yeye ikawa shughuli yake ni kuleta ID's fake kwa majina ya Kiislam,na hayo majina yakawa kazi yao ni kukashifu na kupingana na Uislamu!? Teh! Teh!

Mkuu,si unamkumbuka yule "Muislam Ashura"!? Dah! Teh! Teh! Teh!

Hivi karibuni,baada tu ya huo mvurugano ndani ya Chadema... pia kimeingia kicheche kingine kipya humu JF...ati kinajiita "Asha Mohamed"!? Teh! Teh!

Yaani hicho kicheche kinachojiita "Muislam" ukiona comments/arguments zake utacheka mpaka pasi kiasi! Dah!

Yaani hicho kicheche aka "Asha Mohamed" kipo kila thread ati kupinga kwa nguvu zake zoote wale woote wenye nyonyo na nia safi kwa Taifa letu na wenye pia kujaribu kutoa maoni yao kuhusu shutuma za udini na ukabila ndani ya Chadema!?...Duh! Yaani sijawahi kuona kicheche majanga kama hicho! Au ndo kaletwa humu kuendeleza ile "democracy ya kichadema"!? Yaani kupigana vitofali kwenye vikao vya Chama!? Dah! Teh! Teh! Teh!

...utacheka zaidi ukiona huyo ajiitae ati ni "Asha Mohamed" pale anapoelezea hiyo anayodai ati ndo "exeperience" yake,yeye kama "Muislam"!? huku akiendeleza single yake ya kusifia Chadema!...Duh! Yaani comedy tupu siku hizi ndani ya JF! Teh! Teh! Teh!

Ahsanta.

Ahsanta.
 
Sasa hivi tunachukua mikopo IMF na WB zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Je, tumerudi katika ukoloni mamboleo aliotaka kuuleta Mtei? Je, tumemuasi Nyerere na kumrudia Mtei!

Mkuu,

Hapa unafananisha maharage na vitunguu.

Siasa ya miaka ya sabini sio siasa ya miaka ya tisini.

Ni sawa na mtoto wa form two achukue mkopo wa mamilioni, ni tofauti kabisa na mkopo huo kuuchukua mtu mzima.

Mtei alikuwa mroho wa pesa za posho. Ndio maana hata kijana wake, Lema naye ni mroho sana wa posho mpaka haoni aibu kulilia posho hadharani.
 
MANENO YA MTEI Kuhusu Arfi kujiuzulu

Akizungumzia akiwa nyumban kwake tengeru kuhusu hatua ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Saidi Arfi kujiuzulu,
Mtei alisema kuwa inafaa kiongozi huyo ajitazame upya na kujisahihisha badala ya kuwa mlalamikaji kila siku.

"Aache kulalamika kwa sababu, wakati alipochaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti mimi nilisimamia uchaguzi. Kama alikuwa na ndoto kwamba siku moja atakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa alipaswa kujichunguza kwanza," alisema.

"Naunga mkono uamuzi wote wa Kamati Kuu, kuwasimamisha na kuwavua uongozi Naibu Katibu Mkuu wetu Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo."

Source: Mwananchi

MY TAKE
: KUMBE TATIZO LA ZITTO KUSIMAMISHWA NI UENYEKITI AMBAO MTEI ANATAKA MKWE WAKE MBOWE AENDELEE KUUSHIKILIA MILELE KAMA KIBARAKA KAMUZI BANDA ALIYEJIITA RAIS WA MILELE TUHUMA NYINGINE NI GERESHA TU.
 
Unauliza makofi polisi wa TZ?

Mtei anamhujumu Zito? AU Zito ndio alianza kumhujumu Mtei? Nini kilianza, kuku au yai?
 
Umeusoma vyema mfumo wa Islamic Republic of Iran?unaweza kuniambia mfumo wa kichagga utaongoza vipi kama ulivyo wa Iran?ile ni nchi ya kiislam na ikiwa hivyo kiongozi mkuu wa dini ndo ana call shots,halafu mods wanaiacha hii.

Mushi,

Umeniangusha sana uliposema uko radhi nchi imwage Damu ili Mtei awe muamuzi mkuu wa mambo ya kitaifa.

Hili sakata la kumdhurumu Zitto limeibua hisia zenu nyingi mlizozificha muda mrefu.

By the way, damu unayosema imwagike ni ya nani? uko tayari imwagike damu yako?

Cc Nguruvi3 Ritz Kimbunga chama MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Hivi unamfahamu Mtei kweli kijana ? Umasikini wa kipato na akili ni hatari kuliko hata Ukoma !
 
Mushi,

Umeniangusha sana uliposema uko radhi nchi imwage Damu ili Mtei awe muamuzi mkuu wa mambo ya kitaifa.

Hili sakata la kumdhurumu Zitto limeibua hisia zenu nyingi mlizozificha muda mrefu.

By the way, damu unayosema imwagike ni ya nani? uko tayari imwagike damu yako?

Cc Nguruvi3 Ritz Kimbunga chama MwanaDiwani
ZeMarcopolo ni vigumu sana kwa hawa vijana wa BAVICHA kukuelewa katika misingi ya hoja.

Kwanza huyu jmushi1 hajaelewa hata msingi wa hoja ya THE BIG SHOW kwenye bandiko #176 na cha kushangaza anakuja na viroja vya hoja nje ya muktadha.

Hawa ni watu wa kuhurumiwa tu kwa sababu hawajitambui bali wanatumiwa na baadhi ya watu kufanikisha malengo yao.
 
Last edited by a moderator:
Jf ni raha sana , yaani wewe ukitaka kujulikana ni rahisi tu ! Andika chochote cha kukashifu chadema , halafu jiwekee ki MY TAKE chako cha uzushi baaasi ushakuwa maarufu !
 
Waarabu ni kabila gani?

Pili,nitajie mkoa wenye watu wenye mafanikio ambapo hakuna mchagga!Halafu mnaleta mifano ya Ayatolah utadhani TZ ni taifa la kidini kama Iran.



Wewe ndo umeleta shutuma za kitoto,yakuwa ati Wachaga "wanachukiwa" sababu ati wana maendeleo makubwa" saana" na ukawalinganisha na Jews!...kitu ambacho ni comedy tupu!

Yaani hapo yaonyesha udhaifu wako wa fikra na mgoto wa ubongowo! Teh! Teh!

Kwa kifupi umejaribu kulinganisha two different phenomenal! Duh!...kwa history au ubunifu upi waliokua nao Wachaga hata kuwalinganisha na Jews!?

Yaani unawalinganisha Wachaga na Jews hata haya huoni wewe!?...Taifa/Jews ambalo limetajwa mpaka kwenye vitabu takriban vyoote vitukufu!? Amma kweli mapenzi ni upofu!? Teh! Teh!

Embu tutajie hata Mchaga mmoja ambae kishawahi japo kuvumbua kidonge cha kutibia kisonono au japo kitu cha "kipuuzi" kama wrist watch!? Teh! Teh!

Kamanda,kwa kifupi wewe ndie mkabila uliekubuhu na unayeleta udini humu...yaani huna tafauti kabisa na yule ndondosa mwingine toka Kishimundu aka alcoholic Nicholas!

Yaani yaeleka kichwani umejawa na arrogant,stereotypes,prejudices na colonial connotations!

Wewe ndie umewaletea shutuma nzito za udini na ukabila, Mkuu Ritz na Mkuu Zemarcopolo...nao wametumia ustaarabu wamekujibu na pia wamekuomba utoe huo ushahidi wa hayo mafanikio "exceptional" ya hao Wachaga hapo nchini au hata history yao mpaka ulipowalinganisha na Jews!?

Sasa wewe matokeo yake unaanza kuweweseka na kututajia mambo ya Waarabu na utumbo mwingine...kwa kifupi unatuletea triungalar excuses/explanations!?

Sikiliza Kamamnda,kama huna intellect ya kutosha,kama wewe mwenyewe binafsi ulivyomfahamisha Mkuu Boko Haram...tafadhali katafute kijamvi cha wachovu wenzio wa maisha uendeleze sokomoko lako!...hapa Mkuu THE BIG SHOW,alishasema yakuwa hapendi karaha wala kadhaa!

Hapo kwenye bayana yako naona pia unalalamika kuhusu huu mfano wa Ayatollah kama alivyotuletea Mkuu THE BIG SHOW kwenye utangulizi wa mada yake!?

Sasa mara ngapi humu JF,watu wanatoa mifano lukuki ya nchi kama UK,ambayo Kiongozi wake ni Bi Queen ambae pia ndie Mkuu/Kiongozi wa Kanisa lao pale,je wewe ulishawahi kulalamika kwalo!?

Nina shaka pia yakuwa hata hii mada bado hujaifahamu asilan!...yaani wewe umevamia tu humu kuendeleza hizo Islamophobia zenu za Chadema baada ya kuona/kushtushwa na hilo jina la Ayatollah!? Dah!

Narejea tena,acha kurukaruka na jibu masuali ya Ritz na Zemarcopolo kama walivyokuuliza kutokana na shutuma zako dhaifu na mbovu dhidi yao!

Ahsanta sana.
 
CCM HOYEEEEEEEEEEEEEEEEE!:tape::tape::tape::tape::tape::tape:
 
Mkuu nani amebadili kauli?wewe ndo uliniuliza nikutajie wachagga watano wenye viwanda na matajiri.Hiyo ni kama kebehi tu.Wako watu wenye viwanda,sema ni size.Hilo la chuki dhidi ya wachagga limo usijidai kipfu bana.Tena wewe mkuu?


Embu taja ni nani hao wenye kuwachukia Wachaga...kwanini unazunguka!?

Ukishajibu,labda na wengine nao watapa fursa ya kukupa mifano lukuki na labda pia kukufunda,ili siku nyingine usirejee kutoa shutuma usoweza kuzitetea!

Umelianzisha sasa wanajamvi wanataraji majawaba tokea kwako!? Teh! Teh!

Ahsanta.
 
Hizo Tuhuma za kusema anashirikiana na kina Zoka,wana ushahid??waache maneno yao ya kwenye vijiwe



Mkuu THE BIG SHOW,

Wacha nikusaidie kiduchu kumalizia hiyo sentence/comment yako....

....waache maneno yao ya kwenye vijiwe vya mbege! Teh! Teh!

Ahsanta.
 
Ndio Mkuu,

Ndivyo mijadala inavyokuwa na kila mtu ana fikra na mawazo yake na namna ya kuzifikisha kadiri anavyodhania na kuwaza yeye,

Gombesugu Yeye ameelezea kwa upande wake na namna anavyoona,ni haki yake kuelezea hivyo,na mimi siwez kumweleza kwamba asizungumze hivyo au nimchagulie cha kuzungumza,

Nadhani yeye kazungumza vile kulandanisha na baadhi ya fikra za watu wenye islamophobia,kias kwambe mtu anaeonekana kama ana iman ya uislam humu jamvin na kuionesha wazi wazi na kujivunia nayo huitwa majina magumu,

Mimi mwenywe humu ndan kwa sasa naitwa gaidi,mjahidina,mdini,mtu mwenye siasa kali,japo wewe hunion hivyo lakin wapo wengi huniona hivyo,nikiwauliza ni wapi mimi nimeonekana ndan ya jukwaa hili kuandika post au thread yyte ya kukshifu iman ya mwenzangu yyte yule ambae haamin kile nachokiamin mimi?hawanipi jibu,nikiwauliza nin maana ya udini??hawanipi jibu,nikiwauliza pia ni vibaya au dhambi mtu kuwa muislam na ukajivunia uislam wako??hawanipi jibu,,

Thats why unaweza kuona watu kama gombesugu yeye amefanya conclusion kwamba hapendwi na hatapendwa hata kama angekuwa muislam poa,ni mtazamo wake tuh wala haina haja ya kujenga chuki na taharuki,

ILA MIMI SIKU ZOTE NITALITETEA TAIFA LANGU BILA KUWA MNAFIKI,PAMOJA NA HAPO NITAIWEKA IMAN YANGU YA UISLAM MBELE KWAN NAJUA BAADA YA MAISHA YANGU HAPA YA ULIMWENGU UISLAM NDIO AMBAO UTANIPA MAFIKO YALIYO MEMA INSHA ALLAH,SO UTANZANIA NA UISLAM KWANGU NI MAISHA YANGU



THE BIG SHOW,

Nimekusoma kwa utulivu na utuvu ulo mwingi na nimekufahamu kwa yakini iso shaka ndugu yangu.

Shukran nyingi mno zikufikie popote ulipo asubuhi hii!

Huyo msukule asikusumbue kichwa,japo pia umefanza uzuri kumrejeshea bayana yake,yenye fitna tena kwa kina.

Wajua misukule wengi mno wa Chadema wanafikiri na kuhisi yakuwa labda wewe una akili za kutumika kama vile wanavyotumika wao humu mitandanoni na kwingineko.

Labda hao misukule wengi wao,wanashindwa kufahamu/kukubali yakuwa wewe ni tafauti kubwa mno nao!...wewe Mkuu una professional yako na kibarua chako kizuri mno chenye kujikimu kwa yoote,na hizi siasa unashughulika nazo kwa kuwa una uchungu na Taifa lako na pia ni mzalendo mwadilifu.

Sasa ukitazama watu kama Yericko Nyerere na Nicholas...hao kutwa kucha wanashinda mitandaoni kuchafua watu na kuendeleza Islamophobia...yaani ni matapeli tu hapo mjini! Dah!

Achana nao...shughuli yako/yenu ni moja tu...kama alivyosema kiongozi/Mbunge wenu wa Chadema Muheshimiwa Zitto Kabwe-MP;yakuwa hiyo Chadema nyinyi mmeshaihangaikia mno na kutupa jasho lenu jingi mno kwayo...kwa hiyo haondoki mtu pale!

Wala Mkuu THE BIG SHOW,msiondoke hiyo Chadema yenu asilan mpaka kieleweke!

Mimi nafahamu,yakuwa wewe Mkuu THE BIG SHOW,umejitoa muhanga na majambo kadhaa wa kadhalika juu ya Chadema,uliwahi kupata mpaka farka na baadhi ya ndugu zako wa karibu mno sababu ya msimamo wako wa kuitetetea na kuwamo kwako kwenye hiyo Chadema!...

...khalaf leo watokee tu matapeli fulani ati wajidai wao ndo Chadema ni mali/haki "yao" zaidi kwa sababu tu ya maeneo watokeayo!? Duh Hii ni dhuluma ya kidemokrasia!

Maana kuna makanjanja fulani hivi, wanataka/wanajaribu kukifanza hicho chama chenu/Chadema,ni kama vile chama cha ukoo fulani hivi!? Pumbafff zao!!

Ahsanta.
 
Wewe acha utoto wa keyboard Gangstar na kutisha watu mitandaoni!...hiyo single yako mbona ilisha-expire!

Embu fafanua hiyo kauli yako ya kipuuzi na ya mtu aliyechangayikiwa na maisha!?...

...kwani wewe ndo "unawakilisha" mawazo,mihemuko na fikra za Wachaga woote hapo nchini au yule Nabii wa Tengeru!? Teeh! Teh! Teh!

Ahsanta.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom