yawezekana unajambo la kujadili hapo...kama ukaribu na viongozi wakuu waweza adhiri maamuzi yako...je inakuaje pale ambapo kiongozi anakuteua na kukupa madaraka makubwa bila kupigiwa kura? mfno...kuteuliwa kuwa mwnykti wa tume ya uchaguz...na mwenyekt wa ccm je ktk maswala ya uchaguz inakuaje? mim nadhani mbowe na mtei uhsiano wao wa ukwe hauhusiani na maamuzi kichama...kwani mbowe alipigiwa kura na hakuteuliwa na mtei. nafasi ya ukwe ipo ktk mambo ya kifamilia sii chama otherwise kwa tuhma za mbowe kuzaa nje ya ndoa basi mtei angesha mtoa madarakani...tafakarini....tofautisheni mambo. toeni hoja sisizowaudhi wanaccm wenzenu.