Mwanza, Shinyanga na Mara, mko wapi?Amini usiamini Mtwara ndio mwanzo wa njia ya Ukombozi wa wezi wa rasilimali zetu. Mtwara stand UPPPP!!!
Duuh mkuu we noma, hata chembe ya uoga huna, angalia mabwepande ule msitu umeacha kwa maana!
hizi ni tetesi ambazo zimeenea hapa Mtwara kuwa mtu aliyejitambulisha toka magogoni ametumwa kwenda kumuchukua bibi wa msimbati(sakata la gesi). lakini kabla ya hapo bibi alioteshwa na kuwaambia watu kuwa watakuja watu kumdhuru hivyo wasitoke pale nyumbani. inasemekana gari lake li meharibiwa vibaya baada ya yeye kukimbia.
ukitaka ukweli zaidi fuatilia mwenyewe
hee kumbe serikali inaaamini matambiko???
siku hizi kila mtu usalama wa taifa.taasisis hii imepoteza mwelekeohizi ni tetesi ambazo zimeenea hapa Mtwara kuwa mtu aliyejitambulisha toka magogoni ametumwa kwenda kumuchukua bibi wa msimbati(sakata la gesi). lakini kabla ya hapo bibi alioteshwa na kuwaambia watu kuwa watakuja watu kumdhuru hivyo wasitoke pale nyumbani. inasemekana gari lake li meharibiwa vibaya baada ya yeye kukimbia.
ukitaka ukweli zaidi fuatilia mwenyewe
Ni habari za uhakika kabisa kwamba kuna wanausalama kutoka dar na mwenyeji wa mtwara 1 walienda msimbati ili kutaka kumuua bibi kwani wametumwa na uongozi wa juu wakiamini kuua bibi ndio gesi itatoka mtwara ,hapa ndipo tunapoona uwozo na dhuluma za viongozi wetu,
na gari lao limechomwa moto ndani likiwa na silaha mbalimbali na mmoja wao amechinjwa hapo hapo.
"gas haitoki mtwara ng'oooo"
Nchi hii kuna watu wanaamini kiasi hiki ushirikina?
we hukuwaona hao viongozi wako walivokimbilia kwa babu loliondo?
mkuu chasoda, hata kama hili tukio ni la kweli, i doubt kama huyo mtu ni wa usalama kweli, kwa sababu "modus oparandi" ya usalama sio hiyo!. Ofisa hawezi kutoka dar straight kwa kibibi hicho!, wana usalama huwa kwanza wana "exhaust local remedies" kwa kuwatumia locals na kama hakuna, huwa wana "recruit" ndipo wamuingie huyo bibi.
Nimesema hivi kupitia uzoefu wangu enzi nikiwa "mjeda" pale "airwing chini ya io".
Pasco.