Habari za uhakika nilizozipata sasa hivi toka Msimbati zinasema kuwa kuna gari ya afisa usalama wa taifa mmoja toka Dar linapondwa kwa mawe na wananchi wenye hasira.
Afisa usalama huyo inadaiwa ametumwa na viongozi wa juu wa serkali ili aje amshawishi bibi mmoja anaedaiwa kuwa na uwezo wa kuizuia gesi isitoke kwenda Dar kwa njia ya bomba.
Bibi huyo inasemekana ndio mwenye kijiji hicho alishasema wazi kuwa gesi HAITOKI Mtwara kauli iliyowafanya hata viongozi kupata wasiwasi ivo kumtuma mtu huyo ili amshawishi gas itoke.
Wakati akiongea na bibi huyo aliwaita wajukuu zake ili wamsikilize. NDIPO Vurugu kubwa ikaibuka na mwanausalama akatimua mbio na kuliacha gari yake maana watu walikuwa wengi.
Na habari zilizonifikia sasa ni kwamba gari hiyo imechomwa moto.
Afisa usalama huyo inadaiwa ametumwa na viongozi wa juu wa serkali ili aje amshawishi bibi mmoja anaedaiwa kuwa na uwezo wa kuizuia gesi isitoke kwenda Dar kwa njia ya bomba.
Bibi huyo inasemekana ndio mwenye kijiji hicho alishasema wazi kuwa gesi HAITOKI Mtwara kauli iliyowafanya hata viongozi kupata wasiwasi ivo kumtuma mtu huyo ili amshawishi gas itoke.
Wakati akiongea na bibi huyo aliwaita wajukuu zake ili wamsikilize. NDIPO Vurugu kubwa ikaibuka na mwanausalama akatimua mbio na kuliacha gari yake maana watu walikuwa wengi.
Na habari zilizonifikia sasa ni kwamba gari hiyo imechomwa moto.