Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

majambazi ni hao hao mapolisi ... silaha zipo mtaani ovyo ovyo ni hatari sana
 
majambazi ni hao hao mapolisi ... silaha zipo mtaani ovyo ovyo ni hatari sana

Ma polisi wenyewe ndo wezi na wanawafahamu wahalifu hadi na magenge yao na kabla ya tukio huwa wanajua kabisa matapeli na wahalifu polisi wanawajua hata raia wakiwashtaki wanatoa rushwa wanatoka ndo mana wananchi hawaliamini jeshi la polisi unaweza ku report tukio polisi akamtonya mhalifu kama hawa polisi wa tigo wameacha kazi yao wanajifanya traffic wa daladala ukigoma wanakuandikia kosa wanasema hata ukiwashtaki wanasema hawaogopi kitu sasa kwa tamaa na rushwa wataacha kushirikiana na wahalifu
 
Tsh 18Mil ndio ipelekee kumuua mtu,kweli hali ya maisha ngumu,Au labda walipewa wrong information kwamba zilikua mil 180?
R.I.P Mr Adson Cheyo.
Ni nyingi kwao hizo. Tukisema bongo si salama tena hamtaki,
Jamaa anaonekana smart sana. Imekuaje kahatarisha uhai wake kutembea na bahasha yenye pesa?
Vifo vingine vinazuilika bana
 
Ma polisi wenyewe ndo wezi na wanawafahamu wahalifu hadi na magenge yao na kabla ya tukio huwa wanajua kabisa matapeli na wahalifu polisi wanawajua hata raia wakiwashtaki wanatoa rushwa wanatoka ndo mana wananchi hawaliamini jeshi la polisi unaweza ku report tukio polisi akamtonya mhalifu kama hawa polisi wa tigo wameacha kazi yao wanajifanya traffic wa daladala ukigoma wanakuandikia kosa wanasema hata ukiwashtaki wanasema hawaogopi kitu sasa kwa tamaa na rushwa wataacha kushirikiana na wahalifu

Mimi nasema tuendelee kupiga wahalifu wenyewe polisi wez tu hawana jipya na kama kuna mmoja wao humu awafikishie habari mjambazi wakubwa ni polisi na wala rushwa ni wao wamesambaa barabarani uhuni tu ... serikali isiendelee kuwatoa hasa hawa tigo na vipiki piki vyao
 
Nilichek news Jana kova anasema wamefanikiwa kudhibit wizi was magari na kunasa mtanda was majambazi Dar es Salaam na hili nalo sijui hakuliona?
 
Nilichek news Jana kova anasema wamefanikiwa kudhibit wizi was magari na kunasa mtanda was majambazi Dar es Salaam na hili nalo sijui hakuliona?

Hakuna kitu kova kama sijui ndiyo kawatuma ... matrafik bara bara zimejifunga wao wanasanya pesa uhuni mtupu kova naona kashindwa
 
Wale polisi wanao zunguka pale mlimani city kila Leo wana kazi gani? Ni wazi huyu jamaa walumfatilia toka alipotoka!
So sad...
 
Nilichek news Jana kova anasema wamefanikiwa kudhibit wizi was magari na kunasa mtanda was majambazi Dar es Salaam na hili nalo sijui hakuliona?

do u trust him???pole mdau,usipende kumwamin mtu anayefanya kaz na media,like politicianz
 
Ongezeko la ujambazi nchini linaenda sambamba na kuongezeka kwa gepu Kati ya walio nacho ( ambao ni wachache nchini, lakini ndio wenye utajiri wa mkubwa wa kutisha ) na wasio nacho,( ambao ndio wengi na wenye maisha magumu sana wasio jua hatma yao ya kesho).
Lisipotafutiwa ufumbuzi hili tatizo, basi itabaki kuwa historia Tanzania ilikuwa nchi ya amani.
 
Duh.hatar sana dsm yetu hii kwa sasa.life gumu ila s kuua aisee.
 
Utatembeaje na kias chote cha pesa ucku unajiamin vp ndugu yko wa damu kabsaa anatokwa iman na ww kwa pesa tu ije iwe rafik yko pengne uyo jamaa kachomewa
 
Wale polisi wanao zunguka pale mlimani city kila Leo wana kazi gani? Ni wazi huyu jamaa walumfatilia toka alipotoka!
So sad...

Mkuu ubebaji wa hela ni kitu cha muhimu sana siyo unabeba hela kma laptop,kwa mjini ni heri uwe n mpesa ambayo unaweza weka hela nyingi.
Mimi naweza beba hiyo 18m kwenye mwili wangu na usijue.ila cku yko ikifika ndio hvyo
 
Kova ilisha waambia wafuate escort ya police....Rest in peace mzee wa watu.
 
Back
Top Bottom