Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

usijali mkuu hao waliomfanyia kitendo hicho cha kumuuwa adson watalanika kumbuka malipo duniani tu hizo hela walizoiba hawatozifanyia chochote cha maana kwanza na pia kama police nao wamehusika na wao watalaaniwa tu

Kweli , Polisi wetu nao kwa sasa hawaaminiki, wanaangalia zaidi anayejua kuhonga
 
... Nchi za watu uchunguziungeanzia kwa mkewe na wote anaoishi nao nyumbani na ungeendelea huko kwenye ofisi yake alikoenda kuchukua hela kuzipeleka benki. Majambazi sio wanatabiri wanaoibuka tu saa 3 asbhi na kutabiri kuwa una mil 18 unazipeleka bank, wakakufanyizia! Zaidi ya marehemu, lazima kuna mtu mwingine wa ziada ambaye toka jana yake alikuwa akifahamu kuwa kuna mil 18 inapelekwa benki kesho. Tuanzie hapo....!
 
... Nchi za watu uchunguziungeanzia kwa mkewe na wote anaoishi nao nyumbani na ungeendelea huko kwenye ofisi yake alikoenda kuchukua hela kuzipeleka benki. Majambazi sio wanatabiri wanaoibuka tu saa 3 asbhi na kutabiri kuwa una mil 18 unazipeleka bank, wakakufanyizia! Zaidi ya marehemu, lazima kuna mtu mwingine wa ziada ambaye toka jana yake alikuwa akifahamu kuwa kuna mil 18 inapelekwa benki kesho. Tuanzie hapo....!

mambo ya inside job hayo....kweli kabisa
 
ADSON CHEYO.1970-2014

Ni jirani yetu Mbezi Beach Jogoo. Inasemekana alikuwa na sh milion 18 akitaka peleka benki toka kwenye biashara yake pale Sowers Africa Ltd. Kauawa mbele ya mkewe.mzee alikuwa mtu wa watu ,mtu wa kujitolea sana bila kujali kama ni ndugu au la.


Watanzania wanatakiwa kuanza kujifunza kutokaa na Pesa nyingi kiasi hicho kwenye maeneo ya Biashara zao.

Hiyo ni Pesa nyingi lazima tuwe na utamaduni wa kuwalazimisha wateja kufanya malipo Banki kwa payment over a one milioni tzshilling unakuja na Benki slip kuwa umeshalipia huko Benki,ilikuepusha mambo haya.Ila matukio kama hayo ni Inside Job.
 
ImageUploadedByJamiiForums1409350230.651472.jpg
Masikini mzee wa watu, nilikuwepo eneo Hilo ila Sikujua kama alifariki baada ya tukio lile...alionekana kazimia na ule mshtuko..
 
Hali ya usalama hapa Dar kwa sasa umekua tatizo hasa maeneo ya barabara ya Sam nujoma na University....watu wamekua wakiporwa sana na bodaboda na wenye magari Mimi Pia nikiwa moja ya waathirika wa tatizo hili sugu...wenye mamlaka mpo wapi?....hao jamaa wamemuua mzee wa watu na kuondoka eneo la tukio taratibuuu na pikipiki Yao tena saa 9-10 hivi jioni,mbaya zaidi kuelekea roundabout ya M.city ambayo it has a lot of traffic....
 
Back
Top Bottom