Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

inasilitisha! hivi ni pesa tu au saa nyingine huwa na visasi?pale sio mbali na mabenki kiasi kwamba mtu arundike hela !
 
Kufikia mwaka 2020 Tanzania tutabaki na watu wema watano hadi kumi na masikini million 10 watakao baki ni majambazi wenye kutumia nguvu !! Poleni wafiwa,Mungu amlaze pema Mr. Polisi Mlale usingizi mnono bila kuamka.!
Nyerere alipambana na kuwaacha Maadui watatu kaongezeka huyu wa nne ujambazi. Kinachonisikitisha ni kuwa huyu ni zao la umasikini. Hii nchi inaelekea wapi bandugu?
 
Hii habari ya kupigwa mtu risasi Mlimani city na majambazi ni kweli au uzushi?

Mungu wangu, rafiki yangu wa Kiti cha kwanza na Partiner wangu wa karibu kibiashara. Executive Detector wa Sowers Africa Ltd. Mr Adson Cheyo, wamekuua bila huruma, hawa majambazi watatumalizia watu muhimu kwa taifa letu. R.I.P my friend
 
Yaan huyo baba aliepigwa ni ndugu yangu hapa niko msibani.

hapo mlimani city ulinzi upo kuanzia getini,nje ya jengo kunapo paki magari vipo vibanda walinzi hukaa juu na bunduki zao,ndani ya jengo ndo usiseme!! Halafu jambazi anaingia na silaha hawagundui,anapiga risasi askari wapo juu na midori yao,jambazi anawasha pikipiki anatokea getini askari wapo bize kudai rushwa kwenye waendesha boda boda na tax!! Mwanzoni ulikuwa ukifika mlimani city unasachiwa kuepukana na vitisho vya magaidi,sasa sk hz hakuna,sijui yaliwahakikishia kuwa hayatakuja kulipua tanzania kama yalivyofanya kenya? Huenda askari wakawa wadau katika tukio hilo.wamewezaje kutoka ili hali kuna vibanda vya kukaa askari juu sehemu yanakopakia magari?

Sowers iko nje ya maduka ya Mliman city kama unaenda UCLAS upande wa kulia ni meter kama 50 toka get la kuingilia Mliman city. Hivyo tukio limefanyika nje na sio ndani ya compound ya mliman city
 
ADSON CHEYO.1970-2014
NI JIRANI YETU MBEZI BEACH JOGOO. INASEMEKANA ALIKUWA NA SH MILION 18 AKITAKA PELEKA BENKI TOKA KWENYE BIASHARA YAKE PALE SOWERS AFRICA LTD.KAUAWA MBELE YA MKEWE.MZEE ALIKUWA MTU WA WATU ,MTU WA KUJITOLEA SANA BILA KUJALI KAMA NI NDUGU AU LA.WENGI WATAMKUMBUKA MJINI HAPA.PWC,Kazi servce,ILO,efathe ministry ,alikuwa na wengi wanamjua huko.
167274_127460107324825_4395161_n.jpg

Mungu wangu, watu wema wanaondoka mapema, huyu kwangu Ni zaidi ya ndugu, Ni mshauri wangu mkuu, wa masuala ya Kiroho na kibiashara.. hakika ameondoka shujaa na sidhani kama kwangu pengo Lake litazibika kamwe.
 
Nenda salama, Adson wetu. Our hearts are bleeding, we are crying. We loved you. You loved us. I am speechless, what else can we say? Umeenda na upole na ukarimu wako. Umeenda kaka, mpendwa wetu. Kwaheri Adson, kwaheri rafiki.
 
ADSON CHEYO.1970-2014
NI JIRANI YETU MBEZI BEACH JOGOO. INASEMEKANA ALIKUWA NA SH MILION 18 AKITAKA PELEKA BENKI TOKA KWENYE BIASHARA YAKE PALE SOWERS AFRICA LTD.KAUAWA MBELE YA MKEWE.MZEE ALIKUWA MTU WA WATU ,MTU WA KUJITOLEA SANA BILA KUJALI KAMA NI NDUGU AU LA.WENGI WATAMKUMBUKA MJINI HAPA.PWC,Kazi servce,ILO,efathe ministry ,alikuwa na wengi wanamjua huko.
167274_127460107324825_4395161_n.jpg

Tsh 18Mil ndio ipelekee kumuua mtu,kweli hali ya maisha ngumu,Au labda walipewa wrong information kwamba zilikua mil 180?
R.I.P Mr Adson Cheyo.
 
Napata baridi manake juzi zilienea story huko huko whatsap kuwa watu wawe waangalifu na millenium towers,kuna kijiwe cha majambazi hawa wa boda boda hivyo sio safe kufanya transactions za hela ndefu.pia imetajwa kibo complex na mlimani city.natumaini wanausalama mtafuatilia habari hizi na kama kuna ukweli wowote mzifanyie kazi,hasa hii ya millenium towers.

If this is true police, tiss kazi yao ni nini??? Mbona tunaishi kwa mashaka wakati kuna vyombo vinalipwa mishahara mamilioni ya pesa kuhakikisha haya mashaka hayapo kabisa...........mi huwa nashindwa kuelewa shida katika nchi hii iko wapi........mbona kipindi cha nyuma haya mabo hayakuwa kiasi hiki..??? Kwa nn nidhamu ya nchi inapotea kula kukicha?? Ni nani wa kuirejesha....???
 
Tsh 18Mil ndio ipelekee kumuua mtu,kweli hali ya maisha ngumu,Au labda walipewa wrong information kwamba zilikua mil 180?
R.I.P Mr Adson Cheyo.

My dear dont be suprised..watu wanapigwa risasi kwa 3ml tuu..hujasikia.?? Tena mpk kwenye daladala ukipanda nazo wanakufata..wengi pia wakiwa wamepakia bodaboda na vibegi mgongoni..ukiuliza aliporwa bei gani 3m, 5m...etc..juzi kuna mtu kapigwa risasi ya mguu kwa lk 150..tena ni dereva wa bodaboda ndo kaporwa hiyo pesa...watu wamekua wanyama senti yako ndogo tuu wanaitaka ..inatisha
 
aaaa kumamake tushachoka sasa mm nakumbuka wakati wanazindua polisi wa pikipiki ali maarufu tigo kazi yao kubwa na lengo hasa lilikuwa nikuja kudili mitaani juu ya hawa washenzi majambazi wa mitaani .kazi yao nikupiga doria kwenye mitaa matokeo yake wamegeuka kuwa traffic naninasikia kila Siku wanapewa masharti na mabosi zao ikifika jioni wanapeleka hesabu?? maeneo kama ya mlimani city CCTV camera ni mhim sana
 
dah kama ni kweli police wanatakiwa watoe maelezo ya kina zile land cruiser ni za kazi gani kama zimewashinda wanipe nikazikate niziingize kwenye utalii mi sielewi hapo mlimani city ni mjini sana

hizo Land cruiser hujui kaz yake???kwani ile ilokamatwa na magunia ya bange huko arusha ilikua landcruiser ya nani???si ya haohao,wale waliobeba fuko la mil 150 k/koo nao walishuka kwenye land cruiser
 
My dear dont be suprised..watu wanapigwa risasi kwa 3ml tuu..hujasikia.?? Tena mpk kwenye daladala ukipanda nazo wanakufata..wengi pia wakiwa wamepakia bodaboda na vibegi mgongoni..ukiuliza aliporwa bei gani 3m, 5m...etc..juzi kuna mtu kapigwa risasi ya mguu kwa lk 150..tena ni dereva wa bodaboda ndo kaporwa hiyo pesa...watu wamekua wanyama senti yako ndogo tuu wanaitaka ..inatisha
Haiwezi kuwasaidia chochote,so long pesa kama hiyo hata ukiipata haikutoi kwenye umaskini,bado ni pesa ndogo tu.
 
Haiwezi kuwasaidia chochote,so long pesa kama hiyo hata ukiipata haikutoi kwenye umaskini,bado ni pesa ndogo tu.

Saana...zaidi unapata mikosi tu na laana...ss huyo alopigwa risasi ya mguu ana afadhali hajafariki
 
Back
Top Bottom