LUPITUKO
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 279
- 183
Huu mtindo wa kushika bahasha za hela waziwazi wakihisi hawahulikani ndio unao waponza wabongo wengi,hata pale posta huwa nawaonaga wengi sana na vibahasha vyao nabaki kunichekea tu...
Mtu hivyo alikuwa anakiita kifo haina hja ya kumuonea huruma...
Kova alishachanganyikiwaga na hizo Boxer hataki hata kuzisikia
Mkuu ujue mm hua naogopa tu kutoa lawama kwa marehemu wanao uwawa kwa kubeba hela kizembe then wanalaumu polisi eti hawafanyi kazi.
Tuwe watu wa kuelewa jamani ingawa kifo kipo tu but wengine tumezidi uzembe. Acheni unafiki watu wengine wanajitakia kufa. Utabebaje 18m kwenye kibahasha dunia ya leo?
Ni mazoea au kujisahau ila vyovyote vile kama mpaka leo hujui ujambazi na hatari ya kubeba hela nyingi ovyo or routinely basi subiri kifo anytime na u silaumu mtu.