The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,135
- 116,028
Hii habari ya kupigwa mtu risasi Mlimani city na majambazi ni kweli au uzushi?
------------------
Breaking News as received.
Risasi zarindima Mlimani City mmiliki wa burger outlet auwawa !
Kapigwa mbaba mwenye hii sowers sehemu ya baga
Nasikia ameuwawa!, Alikuwa kashika bahasha ambayo inaaminika ilikuwa na hela, jamaa wamempiga risasi wakaipitia ile bahasha. Walikuwa na boda boda kama kawaida.
Nilikuwa kwenye daladala natokea maeneo ya chuo ile nafika karibu na kituo cha apo mlimani city kwa upande wa ushoto (opposite na mlimani city) kuna iyo restaurant cjui baa iyo, ndo nikaskia PAA!! ile kutazama dirishani nikamuona mtu KALALA CHINI damu zinatiririka ndo anahangaika yaani ROHO INAMALIZIA KUTOKA...ndo nkaskia watu wanasema ni MAJAMBAZI WAMEFANYA YAO.
------------------
ADSON CHEYO.1970-2014
Ni jirani yetu Mbezi Beach Jogoo. Inasemekana alikuwa na sh milion 18 akitaka peleka benki toka kwenye biashara yake pale Sowers Africa Ltd. Kauawa mbele ya mkewe.mzee alikuwa mtu wa watu ,mtu wa kujitolea sana bila kujali kama ni ndugu au la.
WENGI WATAMKUMBUKA MJINI HAPA.PWC,Kazi servce,ILO,efathe ministry ,alikuwa na wengi wanamjua huko.