Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Basi kama ni hivyo ishauri serikali irudishe wale wote iliowatuhumu kutumia vyeti visivyo vyao warudi makazini na muwaombe msamaha
 
Lumumba akili zao zimefika mwisho,sasa zinaanza kurudi nyuma.
Their level of thinking is absolute deteriorated!They think by using perhaps one buttock
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kwahiyo tusitishe uhakiki wa vyeti kwa watumishi tuwapime kwa utendaji wao?
 
Ndiyo, lakini mtu hawezi kuachwa kwa kufoji vyeti. Tatizo sio kufeli, tatizo ni udanganyifu, vilaza wanajifanya hawaelewi utofauti huu.

Kuua tajiri ukamuibia pesa na kuzigawa kwa maskini haikusafishi, wewe ni mhalifu tu, sawa na aliyeua tajiri kwa manufaa yake. Ndiyo maana ya the end doesn't justify the means. Hata kama mtu anapiga kazi, swala la udanganyifu level ile ni kosa kubwa lazima tupige kelele.

Alafu usikae unasema mtu hapimwi kwa vyeti, we utataka mtu awe profesa huku alipata Div IV? Au GPA second class? Tuache utani, kuna muda performance ya darasani ina maana kubwa sana.
Usipoteze muda wako kujibu utumbo Kama huu
 
Kukuu wa mkoa unasomewa wapi ?Cheo cha RC ni taaluma au nafasi ya kisiasa?wanasiasa wote kwanzia mwk/mtaa,diwani,mbunge,DC & RC wanapaswa kuwa na taaluma ipi?je kusoma na kuandika haitoshelezi kukidhi majukumu Yao?
Kufoji cheti ni kosa la kisheria na hukumu yake haipungui miaka saba gererzani
 
Hatuwezi tukawa taifa la kulea makosa ya jinai kisa yametendwa na wateule, kosa ni kosa tu huo utendaji mzuri wa Makonda hauhalalishi jinai yake ya kufoji.Sitarajii tena mtu mwenye utimamu wa akili ataendelea kutetea maovu haya kwani ni hatari kwa vizazi vijavyo
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
ilitakiwa tangy mwanzo ajulikane kua ana elimu ndogo lakin mchapa kazi,lakini sio kwa kudanganya .maana kama MTU anadanganya kwenye vyeti basis hata kwenye kazi anayoifanya kuna cku atadanganya na atawapa hasara kubwa kabisa .
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.

wewe unajielewa kweli? Action bila shule? sasa vyuo vya nini kama mnataka matendo yapimwe?
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.

Ifikie sehemu watu mjitambue. Kuna watu wameacha kazi na wengine wameshitakiwa kwasababu ya vyeti. Kama vyeti (makaratasi) siyo issue watu wako mashuleni wanafanya nini? Kwakifupi hii ni hoja nzito inahitaji majibu. Watu kama nyie ndio mnaorudisha nyuma nchi yetu kwa ukada. "JITAFAKALI"
 
Tumbafu kabisa.... watu mlio na elimu fupi kama dogo D mna matatizo so unatushauri tufute shule si ndio?? We kama hukupita shule itakula kwako na bashite wako... sasa usipopita shule kutoa ujinga build up ya action utaitolea wap? Unafikiria kwa makalio nn?? Unaleta mambo ya clouds hapa token hapa mwaka huu kinawaka na mwezi wa nne bungeni lazima ndalichako atujibu bashite ni nani na paulo ni yupi.... kila mara mnamfuata gwajima wa nini kama mko fereshi hamna fa fa fa tulieni mpate kichambo international
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Unawazungumziaje wale walimu mliowasababishia kuacha/kuachishwa au kukimbia kazi kutokana na misimamo yenu ya ukaguzi wa vyeti feki?
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Basi waondoe Secondary, vyuo tuangalie sura Na umbile la nje.
 
Tumbafu kabisa.... watu mlio na elimu fupi kama dogo D mna matatizo so unatushauri tufute shule si ndio?? We kama hukupita shule itakula kwako na bashite wako... sasa usipopita shule kutoa ujinga build up ya action utaitolea wap? Unafikiria kwa makalio nn?? Unaleta mambo ya clouds hapa token hapa mwaka huu kinawaka na mwezi wa nne bungeni lazima ndalichako atujibu bashite ni nani na paulo ni yupi.... kila mara mnamfuata gwajima wa nini kama mko fereshi hamna fa fa fa tulieni mpate kichambo international
Hawa jamaa wanakera sana. Tuliwashauri waachane na hii habari ya kukagua vyeti feki badala yake waweke mipango thabiti ya kuzingatia wakati wa kuajiri wakakataa matokeo yake wamesababisha watumishi wengi tu hasa walimu kuacha kazi, leo hii suala hilohilo linamgusa mteule wao hawataki kabisa aguswe, hii ni aibu kubwa sana kwa mtu mwenye akili timamu.

Tunalijua hili kwamba watendaji wengi hawajatimia linapokuja suala la taaluma na vyeti vyao, ndio maana tukashauri wawe wapole wakajiona wanajua saaaana!, zero kabisa hawa watu. Dhambi hii itaendelea kuwatafuna tu MAZERO hawa.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Post za namna hii ni za kumdhalilisha tu mh Rais

Yaani taifa linahangaika kuboresha elimu halafu mtu anakuja na thread kama hii??

I think kuna haja ya watu type hii kushughulikiwa tu
 
Upo sawa!
Tatizo ni kwamba wengine wananunua vyeti, ni kosa kisheria. Na CV ikiwa mbaya sana kunakua na viulizo uliipataje hiyo nafasi?
 
Hawa jamaa wanakera sana. Tuliwashauri waachane na hii habari ya kukagua vyeti feki badala yake waweke mipango thabiti ya kuzingatia wakati wa kuajiri wakakataa matokeo yake wamesababisha watumishi wengi tu hasa walimu kuacha kazi, leo hii suala hilohilo linamgusa mteule wao hawataki kabisa aguswe, hii ni aibu kubwa sana kwa mtu mwenye akili timamu.

Tunalijua hili kwamba watendaji wengi hawajatimia linapokuja suala la taaluma na vyeti vyao, ndio maana tukashauri wawe wapole wakajiona wanajua saaaana!, zero kabisa hawa watu. Dhambi hii itaendelea kuwatafuna tu MAZERO hawa.
Mie nilikua mtu wa kwanza humu jamvin mpk kulitaja jina la daudi bashite japo watu hawakustuka kipindi cha madawa nikisema atarudi kolomije ila kwa vile sio maarufu watu walijukulia poa.... so uhakiki wao ungeanza na huyu mie namfahamu A to Z... alafu watu wake wanakuja na hoja za kizembe kama hizi kweli na ameona sehem ya kukimbilia ni clouds... kipi kilimfanya zamaradi kuwaalika wazaz wake tena tangu lini mama ako awe anakuita kwa jina full.. makonda ni msukuma sie wasukuma mama angu awezi kulitaja jina la babu yangu hadharani mama ake bashite anataja PAUL MAKONDA kumbuka Cristian ipo katikati ambae ni mmewe io wap na wap kama hajakalili pia wasukuma hatuna PO kama wazungu tuna PAULO leo mama nae kawa mzungu eti PO shiiiit michezo gani ya kizembe tunachezewa mie ninatumia jina la babu yangu mama awezikuniita ilo zaidi ya kuniita baba mkwe ndo mambo alafu linakuja limtu eti uwezo uwezo ndo nn shule kwanza uwezo utaupata kazin ila uwe na foundation japo ata maadili na mambo mengne sasa huyu kabla hajaanza kuishi kwa mama kamese alikua kid wa mtaani kapata chaka ndo anatunyosha.....
 
Back
Top Bottom