Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kama ni utendaji tupo wengi tuna weza lakini shule imetupiga chini ukiomba kazi cha kwanza CV yako then vyeti.
 
Wewe utaakuwa dereva wa UDA,eti anasoma phd kwa kukariri.

Kule kwenu Kijijini kwenye ukoo weny kuna mtu aliyefika form four na kupatahata divisheni 3 ?Kama yupo njoo hapa nakupa vocha.

Pili wewe mambo ya elimu hujui ,Phd watu wanafanya tafiti na si kama unavyodhami ulipokuwa twisheni na ukapata zero yako ndio maana una wivu na wasomi!
Kwa ufupi tuu mkuu nimekaa chuo miaka mitano....na mwakani nilikuwa mahitajika kwenda Belgium kuendeleza kukariri maandishi,ila kama taifa tumefika hatua ya kutotambua umuhimu wa elimu,nitafute pm kiroho safi mkuu nkuunganishe uende wewe ukaongeze ujinga kama wa mwenzako ambaye amejitanabaisha ana masters na PhD .kama wenye PhD ndiyo wako hivi,nimegahiri mkuu ....njoo uende wewe.
[HASHTAG]#Tunataka[/HASHTAG] ACTIONS, hatutaki vyeti......pooor TZS.
 
The bottom line is Makonda anaonewa without good cause.
Shida siyo uhalali wa vyeti vyake. Bali ni utendaji kazi wake uliotukuka. Kwa nini ajenda ya vyeti ije leo? Makonda amekuwa DC, RC mwakajana yote. Hakuna aliyeleta ajenda ya vyeti vyake. Tukumbuke kuna kiapo cha kisheria cha kubalisha jina DEED POLE.
 
Hata utendaji ni feki. Anapenda kuwa kama kiba au diamond au wema. Kutwa instagram akipiga picha style kama fashion show.
Pia ameshapimwa amejitajirisha kwa muda mfupi sana kwa kutumia ofisi ya umma.
Pia ametumia chuki za kuchafua watu na wengine akitajwa kuwatongoza..
TUMEMPIMA HAFAI...
 
Kuna Mkunga mmoja alikuwa anaperform wonders. Wamegundua hana cheti na kaishia kulimwa 28 years jela. So you mean mambo ya "CV" yamepitwa na wakati kwa watu kama Daud tu?
 
Bashite aache comments za kitoto,km uliramba zero huwezi pata ajira serikalini,so usijustfy ujinga kwa kuziba nafasi za wanaostahili cha msingi huna cheti cha form four achia ngazi tu......ccm ni ileile.
 
The bottom line is Makonda anaonewa without good cause.

Being in government position as a PUBLIC servant, the demand of openness, fairness, integrity is part of the puzzle..

Unless otherwise, the understanding of politics is off your comfort zone,

May I ask anaonewa kwa lipi na nani na yupi, all the answers are in a rush policy, "ya uhakiki wa vyeti", which I totally agree with government on this position 100%

Again the same can be demanded by us, We the people the employer of the government servants on public discourse, we are only demanding the same process with fairness to go through the vigour and process similar to what other public servants have gone through, and you call that uonevu.? Come on man, you are better than that..

Unless you want to change the metaphor of this statement,"call a spade a spade" vice versa can't be true to some, always aimed at unfortunate others, but can't be directed to us mentality.

Bro what are you studying for your PhD, a just curious? The reason I'm asking I can see that, you are frustrated as much as we do,the government don't see the importance of people like yourself, and you only see politics as the only alternative to what you have gone through, hard work, dedication and so on so forth, I hear you bro, but the word of advice to you don't put yourself to that level, keep thinking and being inventive or venture outside your comfort zone. Tumia kipaji chako, usihadaike na wasomi kama lipumba and others wanapigana vikumbo kwenye siasa. Be strong and focus, the key word is venture!
 
Suala hapa siyo kuwa na hayo makaratasi ama kutokuwa nayo...

Kama hayo makaratasi si muhimu ilikuaje huyo kiumbe aibe makaratasi ya mtu mwingine ili kujenga ushawish wa kufika hapo alipofikia?

Daudi bashite ana case ya kujibu
 
Shida siyo uhalali wa vyeti vyake. Bali ni utendaji kazi wake uliotukuka. Kwa nini ajenda ya vyeti ije leo? Makonda amekuwa DC, RC mwakajana yote. Hakuna aliyeleta ajenda ya vyeti vyake. Tukumbuke kuna kiapo cha kisheria cha kubalisha jina DEED POLE.

Hoja si vyeti, Hoja ni Majina mawili,anatumia jina lisilo lake na lake ni lipi?

So ,vyeti vinatafutwa ili kujua jina lake halisi.

Hata kama ni lasaba so long as sheria ya kazi yake haijasema kigezo cha elimu basi hapo sisi twataka arudie jina lake la daudi bashite.
Then ashtakiwe kwa kufoji jina la Paul Mak.
 
Mkuu uko serious au unatania? Hebu sikiliza, kuna nurse mmoja katika hospitali kubwa tu hapa Dar alikuwa anafanya kazi labor ward, kiukweli alikuwa ni tegemeo kubwa sana kutokana na ufanisi wa hali ya juu katika kusaidia wamama wajawazito kujifungua. Uhakiki wa vyeti ulipopita akagundulika hakuwa na vyeti vya kumuwezesha kufanya ile kazi, amepigwa chini na sasa hivi ni jobless hana kazi na hana kipato japo alisaidia sana kuzalisha wamamawajawazito pale hospitali. My point ni hii, msiwe na double standard katika kudeal na hivi vitu kama kuna mahali mtu amekosea awajibike kulingana na makosa yake sio mnakuja kulialia hapa inapokula kwenu. Hii habari ya vyeti imekosesha ajira watu wengi sana ambao walikuwa wanaumuhimu sana jwa jamii kuliko hao unaojaribu kuwatetea.
True....kabisa bashite anatakiwa kunyofolewa anaizalilisha serikali iloko madarakani.....hata mkuu anavyofanya ziara huko kusini watu wanamuenjoy tu kutokana ni hili la cheti feki....halitafutika labda alifanye kazi,ni sawa na kujichekesha wakati watu wamenuna.
 
Shida siyo uhalali wa vyeti vyake. Bali ni utendaji kazi wake uliotukuka. Kwa nini ajenda ya vyeti ije leo? Makonda amekuwa DC, RC mwakajana yote. Hakuna aliyeleta ajenda ya vyeti vyake. Tukumbuke kuna kiapo cha kisheria cha kubalisha jina DEED POLE.
Kama mnahitaji utendaji uliotukuka,warejesheni watumishi mliowatemesha kazi kisa uhakiki wa vyeti halali.....hapo tutaenda sawa.
 
Wakati mnatimua wafanyakazi wengine tulisema utendaji wa mtu hauna uhusiano na cheti mkaona watu mapunga sasa ngoma imewageukia imekuwa nongwa kweli zito alishasema mwanasiasa hata Kama ni baba yako usimwamini
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Ikiwa ni hivi unavyosema inabidi tuubadilishe mfumo wetu wa elimu, mtu akishajua kusoma Na kuandika , akimaliza la saba apelekwe sehemu ya kazi Ili kufundishwa kazi badala ya kupoteza muda wa kwenda kidato cha nne, Sita, na chuo.

Lakini kwa taarifa Yako Hakuna nchi iliyoendelea kwa kuongozwa Na kilaza. Usikimbilie kusema bakharesa hajasoma nenda ukakutane Na management ya bakharesa. Yeye ni Mwenyekiti Lkn hayupo ktk utendaji. Kuna wasomi wanaoendesha company. Na kwa kuongezea suala la bashite sio kupata zero Tatizo ni kughushi vyeti kuna ndugu zetu waliotolewa Dodoma mwaka Jana kwa kutokuwa Na sifa Na sheria ipo Wazi unapoghushi vyeti Ili kupata ajira au kujiunga Na chuo unatenda jinai.

Lkn kunakipengele cha katiba cha mwaka wa Magufuli kinachosema Sheria itafuatwa tu kwa wale wasio karibu Na mh mkuu.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
KUSINGEKUWA NA UHAKIKI. LAKINI HAKI ELIMU WALIKUWA NA KIBWAGIZO "ELIMU NI UWEZO SIO CHETI" WATU WAKALALAMA SASA VILAZA MARA VIHIYO.MTULIE TUU
 
nyie mnacheza na mapadlock...ameshatuma kikosi kuchunguza hizo tuhuma kama ni kweli tutarajie yale ya lugumi na kitwanga...mtu ataondolewa kisanii mpaka mshangae...time will tell
 
Acha ujinga wewe..au na wewe ndo wale wa kufeli feli?
 
Tatizo ni kuwa watu wengi sana mitaani wamefanya ubashite, ndio maana wanatetea hili.
Kwa mtu uliyesoma kwa juhudi na bila ku bashite huwezi kukubaliana na huo ujinga.
Kumbe, nilikuwa sijui mkuu..

Haiwezekani mtu na akili zake juzi wakati watumishi wengine wanalazimishwa hata kuvifuta vumbi vyeti vya darasa la saba aliunga mkono lakini leo anatuhumiwa makonda jitu linajitokeza na kusema mtu apimwe kwa utendaji.. Inamaana hao waliohakikiwa hawakuwa wanatenda kazi vyema?
 
Hayo ni maneno ya mtu ambaye hajasoma chochote, sawa na maneno ya maskini kukaa anajifariji kua wote kaburi ni moja huku ukweli uko wazi.

Mtu yeyote aliyeenda shule akachukukia serious elimu yake anajua umuhimu wa mambo yanayofundishwa shuleni. Ukienda kwa kukurupuka utaishia kuingia loss, una deal na watu smart utafunguliwa kesi uishie kulipa mabilioni kwa move moja tu ya kijinga. Mnajifanya hamuoni swala la IPTL watu wanalipwa 300million kila siku?

Usicheze na watu wanaotumia ubongo na wewe unatumia moyo, utafeli tu, chukulieni na mfano wa Zimbabwe, yule mzee anajifanya akisema yanatekelezwa bila pingamizi, oneni hali yao sasa, kununua mkate kwa bilioni. Watu ambao hamjasoma tafadhali msiwe mnatoa comment kuhusu elimu maana hamkuipata hamjui umuhimu wake zaidi ya story za vijiwezi mlizolishwa. Hakuna kitu kitaiokoa Tanzania kama elimu.
IPTL Na mikatab mingine mibovu iliyofanywa na wasomi wa nchi hii ni aibu ya wasomi Watanzania
MUGABE rais mwenye degree nying ni aibu kwa Africa, tujiulize maswali wasomi wa nchi yetu wameifanyia nini nchi hii? Leo nchi inaongozwa na wasomi wa viwango vya degree,masters,Phd,Maprofesa lkn tunashuhudia jinsi walishindwa kutuongoza sisi tusiosoma tukaondokana na umasikin tulionao,Leo hii wote tumegeuka kuwa walalamikaji tu hakuna chamsomi wala asiyesoma,maamuz ya maprofesa na Dr hayana tofaut na ya mtu aliyemaliza darasa la saba Ni lazima tujitafakali kama taifa tumekosea wapi? Hii elimu ambayo tunajisifia kuwa sisi tumesoma yawezekana halingani na Mazingira yetu.
 
Back
Top Bottom