mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,931
- 758
Sahau kupewa jibupoint ni ipi kwamba wakat huu elimu haina umuhimu mkuu au?
Sahau kupewa jibupoint ni ipi kwamba wakat huu elimu haina umuhimu mkuu au?
Kwa nyakati zote elimu haijawahi kukosa umuhimu. Elimu ni muhimu sana, ndio maana nikasema kama kuna ujanja umetumika ukapata ajira bila vyeti sahihi inabidi hatua stahiki zifuatwe bila kupindisha kona na bila kuangalia cheo kama ambavyo kuna watu wanataka kuwapa upendeleo baadhi ya watu.point ni ipi kwamba wakat huu elimu haina umuhimu mkuu au?
Tufute shule na vyuo vyetu sasa vya kazi gani.Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Mwandazimu Kapewa rungu,tutaona mambo miaka hii.CCM juuHuu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Tulieni wakuu ipo cku atakuja mbele ya media kuwathibitishia kuwa vyeti vyake vyote n halali saiv yuko bz na majukumu ya kitaifa wakati huo huo baraza la mitihani haliko Marekani lipo pale Mwenge.
Miswaki ya cheti halali utaijadili wewe sisi hatuna muda.Tunaomba tuwekee vyeti vya Mbowe tupo tayari kukemea kama akiwa na fa fa fa fa
Si ya Kibashite.Tupia tena tuone