Msalagambwe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 713
- 263
Hata madaktari,waalimu, mapolisi na watafiti wote wapimwe kwa actions bwana sio makaratasi..... Makaratasi ya kazi gani sasa... Yani hata wauguzi ni mwendo wa actions tu...... WTF citizens!!
Shangaa mtu anatumia makaratasi ya mwingine..... Ya nini sasa....
Na bado mnajisifu na elimu bure hadi kidato cha nne........ Actions mwanzo mwisho"kazi tu"....hata neno dakta tulitoe pale.
Only in TZ
What are you talking about?