Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kumbe uhakiki wa vyeti kwa watumishi wote wa uma haikuwa na sababu kufanyika, Kwa mantiki ya bandiko lako wale waliofukuzwa makazini warudishwe.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Futeni ukaguzi wa vyeti basi. Sio mnaaumbua wananchi na ukaguzi mwaka mzima ikifika siku macyeti yenu yanaonekana FAMBA mnapanick ma kuanza kusema actions muhimu.
 
Ccm bna,mkinya nyie ni poda....wakinya wengine ndio kinyesi.....nyambaafu zenuuuu
 
Wewe una masters ya uchawi sio masters ninayoijua, huwezi kuwa unachukua PhD ukawa na hoja za kipumbav kama hizo huna adabu utakuwa umekula mukaka kama vyeti sio ishu kwanini atumie vya mwingine? Kama mchepuko wa bashite ni dada ako hayatuhusu, hivi kumbe kwa hiyo masters yako ya kupiga lamri rais alipotangazia uma kuhusu uhakiki ulikuwa utumbo? Hivi unatoa hoja ya kipuuz halafu unadai kuwa una masters, kama ni kweli basi o-level una zero na ukatumia cheti cha mwingine kama shemeji yako bashite
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
momak2k Hoja yako haina mantiki. CV inakupa Mwelekeo au Mwanga wa kumpata "a man of ACTIONS" baada ya kumpata ndiyo unampima kwa "ACTIONS" na Uwajibikaji kama CV yake inaendana na hayo mawili. Hivyo Anayefoji CV au vyeti ni dhahiri ana mapungufu makubwa katika hayo unayoyataka yaani "ACTIONS" na "UWAJIBIKAJI". Unaposema CV imepitwa na Wakati ni moja ya maajabu kutoka katika kichwa cha mwanadamu!
 
kufeli masomo ya darasani ni uthibitisho kuwa uwezo wako wa kupambanua vitu ni mdogo ndio maana mtihani unakuwa na time limit
 
Sawa, lakini huenda mleta uzi ni mmoja wa organizers au hosts wa 360 maana ndio akili zao zinakaaga mifukoni.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
HIV we wale walio walifukuzwa tatzo kubwa kwao ilikuwa nn?
 
jamaani hizi post zingine tuziangalie najua ni kwa sababu hujui watu wanaumia vip na vitendo hivi vya kulindana
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Sasa hao watu wenye sifa stahiki za hizo so called ACTIONS tutawapima vipi kabla ya kuwapa nafasi kama sio kupitia credentials?
 
Funga shule na vyuo vyote tukutane kazini,
 
Kukuu wa mkoa unasomewa wapi ?Cheo cha RC ni taaluma au nafasi ya kisiasa?wanasiasa wote kwanzia mwk/mtaa,diwani,mbunge,DC & RC wanapaswa kuwa na taaluma ipi?je kusoma na kuandika haitoshelezi kukidhi majukumu Yao?
Makonda alete vyeti ili huu mjadala uishe watu waendelee na shughuli zao zingine
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.

Ulitakiwa kutoa hoja yako siku ile Rais alipoanzisha vita dhidi ya watu waliofoji vvyeti.
Wazo lako ni zuri lakini umeliingiza kwa kuchelewa na ninahisi umeliingiza kwa vile shoga yako Daudi Bashite yuko kikaangoni
Hata dereva wake Daudi Bashite hatakiwi kuwa na Dvision Nunge, mkuu wa mkoa je?
Tunachoongelea hapa zaidi ni kitendo cha kudanganya.

Unaaapa kubadili jina ambalo siyo lako?????
Hiyo ni sawa na kuto kuapa kabisa
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Haya mawazo yalikuwa wapi walipotangaza kuhakiki vyeti?yalikuwa wapi wakati yule nesi anahukumiwa miaka ya kutosha gerezani kwa kutumia vyeti visivyo vyake? je mawazo haya yalikuwa wapi wakati mamia ya watu wakinyofolewa kwa kutumia vyeti feki makazini?
 
Back
Top Bottom