Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.


Kwanini ajira zinaendelea kutolewa kwa vigezo vya makaratasi
 
Lumumba bhana,eti utendaji si makaratasi.

Basi kusiwe na interview,Uhakiki wa makaratasi anaofanya JPM mwaka mzima sasa kumbe ni upuuzi eeh,awapime utendaji eeeh!
 
Nimesoma. Nina MA/MASTERS MBILI.NA SASA NAFANYA PHD. IT IS OUT OF MY PILOT RESEARCH.
Kweli hizi ni master na PhD zisizo na tija kwa taifa.pamoja na kusoma kote huko bado ufahamu wako ni kama wa ambao hawajasoma kabisa!!!! Bora hata lasaba naona ananafuu kuliko wewe unaekariri maandishi tu nakujifanya eti nasoma PhD.,ovyo kabisa.Na bahati mbaya unaweza kuwa mtumishi serikalini wewe, ukijifariji ukimaliza tu PhD ,unapata promotion ya kacheo na kamshahara kuongezeka basiii, lakini pamoja na kaPHD kako ,tija kwa taifa ni sifuri kabisa ,unaanzaje kuwa na tija/ manufaa kwa taifa kulingana na PhD yako kama PhD zimezomwa kwa kukariri maandishi ili uweze kugraduate na upate promotion kazini basiiii.....wasomi wa namna hii ndiyo wanaomtetea makonda kwa maana wao hawaoni ni manufaa gani wanayo yaleta kwa taifa kama PhD zimesomwa kwaajili ya kupata promotions makazini tuu.
Kama wasomi wenyewe ndiyo kama wewe ,binafsi siendi kabisa kusoma masters na PhD ,nimeghahiri kuanzia Leo.Nikasome ili iweje kwanza kama taifa lenyewe limefikia hatua ya kutoona umuhimu wa elimu kwa maendeleo ya nchi yetu,bali ukiwa jasiri tu wa kuwapakazia watu makosa .kuwabambikizia watu kesi ,kuropoka hovyo ukiwa mubashara kwenye luninga inatosha sana kwa utumishi wenye weledi.............pooor TZS.
 
Pole sana ila nahisi unacheo kikubwa ila huna elimu. Na nyie ndio mlioua viwanda vya JK Nyerere kwa hizo hizo ACTIONS zenu badala ya KNOWLEDGE.
tutolee mawazo ya kipumbavu haya katika kizazi hiki.
Mkuu jaribu kunisoma kwa mstari(between the lines)
nasikitika kama hujapata mantiki yangu,
Elimu imenifikisha nilipo leo
 
Bashite utahangaika sana.

Ni kweli mtu apimwe kwa utendaji na sio makaratasi.

issue kubwa hapa sio makaratasi issue kubwa hapa ni kwa nini ufoji vyeti

kama ulikua huamin katika makaratasi kwa nini ufoji vyet?
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.

utafanya nini kama huna maarifa ya kile unachotakiwa kufanya?

tuchukue watu wasio na elimu wawe walimu tuangalie kuchapa watoto na porojo nyingi atafundisha nini kama hana maarifa yeye? tuchukue watu wasio na elimu wakawe madaktari tutizame ukarimu wao kwa wagonjwa na kuwahi kazini atajuaje anachoumwa mgonjwa kama hana maarifa, tuchukue watu wasio na elimu wakawe wahandisi tuangalie kufokea mafundi atajuaje mambo ya kitaalamu.

hivi unajua ni kitu gani kinafanya nchi zetu za kiafrika kuwa na utajiri wa rasilimali lakini masikini wa maisha? ni kukumbatia "ignorance" hii unayopendekeza.
 
Kweli hizi ni master na PhD zisizo na tija kwa taifa.pamoja na kusoma kote huko bado ufahamu wako ni kama wa ambao hawajasoma kabisa!!!! Bora hata lasaba naona ananafuu kuliko wewe unaekariri maandishi tu nakujifanya eti nasoma PhD.,ovyo kabisa.Na bahati mbaya unaweza kuwa mtumishi serikalini wewe, ukijifariji ukimaliza tu PhD ,unapata promotion ya kacheo na kamshahara kuongezeka basiii, lakini pamoja na kaPHD kako ,tija kwa taifa ni sifuri kabisa ,unaanzaje kuwa na tija/ manufaa kwa taifa kulingana na PhD yako kama PhD zimezomwa kwa kukariri maandishi ili uweze kugraduate na upate promotion kazini basiiii.....wasomi wa namna hii ndiyo wanaomtetea makonda kwa maana wao hawaoni ni manufaa gani wanayo yaleta kwa taifa kama PhD zimesomwa kwaajili ya kupata promotions makazini tuu.
Kama wasomi wenyewe ndiyo kama wewe ,binafsi siendi kabisa kusoma masters na PhD ,nimeghahiri kuanzia Leo.Nikasome ili iweje kwanza kama taifa lenyewe limefikia hatua ya kutoona umuhimu wa elimu kwa maendeleo ya nchi yetu,bali ukiwa jasiri tu wa kuwapakazia watu makosa .kuwabambikizia watu kesi ,kuropoka hovyo ukiwa mubashara kwenye luninga inatosha sana kwa utumishi wenye weledi.............pooor TZS.

Wewe utaakuwa dereva wa UDA,eti anasoma phd kwa kukariri.

Kule kwenu Kijijini kwenye ukoo weny kuna mtu aliyefika form four na kupatahata divisheni 3 ?Kama yupo njoo hapa nakupa vocha.

Pili wewe mambo ya elimu hujui ,Phd watu wanafanya tafiti na si kama unavyodhami ulipokuwa twisheni na ukapata zero yako ndio maana una wivu na wasomi!
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Acheni kulinda uovu, kama vyeti havina maana kwa nini mlifanya uhakiki wa vyeti?
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Ni kweli hakuna MTU anapima MTU kwa vyeti ila sheria za nchi ziko wazi kuhusu matumizi ya vyeti au jina lisilokua lako
 
Kukuu wa mkoa unasomewa wapi ?Cheo cha RC ni taaluma au nafasi ya kisiasa?wanasiasa wote kwanzia mwk/mtaa,diwani,mbunge,DC & RC wanapaswa kuwa na taaluma ipi?je kusoma na kuandika haitoshelezi kukidhi majukumu Yao?
Unaulizwa kwanini umeghushi vyeti?
 
Moma2k mkeo ndio unaweza Kupima Kwa action lakini Serikali ni vyeti tu mwambie Makonda atoe vyeti hakuna mjadala
 
Makonda is a HERO.Nchi inahitaji watu wa calibre hii wengi. The laws were in limbo sleeping.Yeye ameziamsha to proect the public. Wenye ma-degree walikuwepo. Lakini hawakufanya kitu. Walijisahau hata kukumbusha kuwa kuna sheria. I salute Makonda. He is a GREAT HERO of this nation. We need people who are CREATIVE,PROACTIVE,EFFECTIVE as well.Katika ishu hii vyeti vimeprove failure. But the bold decisions and actions of Makonda have shaken the nation, without leaving any stone unturned. The nation has been in advent for such long time waiting for people of this calibre. Matters of certificate can not overtake the precious acts done by the said person. If you have concrete facts, hard evidence as well take the matter to the corridors of courts. He who alleges must prove. Otherwise these allegations of certificates are mere speculations,frevolous, peddled by the victims. We are tired of hearing the same fake stories expecting different results. As it stands, Makonda is a HERO. I HEREBY declare my interest that I support his style of leadership.Things must be pushed around for them to roll.

Sasa Mkuu kurusha maneno kama investigation, court nk ya nini,

Ikiwa ulilolisema labda nikukumbushie, naona kama fahamu kama zinakutoka in less than 8 hours ya kufungua huu uzi,

Maneno yako hapo chini, vyeti sio hoja, hoja ni ujasiri tu..sasa court ya nini au kila unachokisikia kiende kotini?



1b98b32144aac4daf15df13adcea3282.jpg
 
Kama ni utendaji ni wazee wangapi wamefukuzwa kazini kwa kukosa hayo makaratasi, tena baada ya kuitumikia serikali kwa miaka mingi na wengine walikuwa wanaelekea kustaafu!!!
Tuache unafiki, sio mkuki kwa nguruwe kila mmoja anaumia lakini tusiwaone wengine kama wapumbavu bwanaaa
 
Hata madaktari,waalimu, mapolisi na watafiti wote wapimwe kwa actions bwana sio makaratasi..... Makaratasi ya kazi gani sasa... Yani hata wauguzi ni mwendo wa actions tu...... WTF citizens!!

Shangaa mtu anatumia makaratasi ya mwingine..... Ya nini sasa....

Na bado mnajisifu na elimu bure hadi kidato cha nne........ Actions mwanzo mwisho"kazi tu"....hata neno dakta tulitoe pale.


Only in TZ
Achana na hao wapuuzi mkuu... Hela za wale walionunua Lexus ya Bashite zinafanya kazi hizo! Wako wengi kweli wameingizwa humu tangu tulipoanza kuhoji
 
Watani zangu wanafahamika sana kwa kupenda kusoma, lkn ukimkuta Mhaya mjinga, basi huwa ni mjinga kweli kweli...hata asome mpk wapi ujinga huwa haumtoki.

Rweyemamu, unajua maana ya neno WISDOM? Kama unajua maana yake, hebu nidadavulie ni aina gani ya WISDOM iliyotumika kuwataja watuhumiwa hadharani kiasi wanapata mwanya wa kuficha ushahidi na baadaye tunabakiwa na malumbano tu na bado tunaambiwa tupige makofi na kusifu?

Itafute elimu ili mwili wako usidhalilike.
Samahani sana nasikitika sitakujibu. Sitakujibu kwasababu ya nilichokisem hapo juu, wisdom. Siyo lazima kujibu kila kitu na hasa unapogundua unaongea na mtu asiye na hiyo kitu wisdom. Kabila langu limeingiaje hapa? Unafikiri woote walioko humu ndani hawaelewi mie ni muhaya ama si watani zangu. Naamini pia, hata kama ni kuhitaji ufafanuzi toka kwangu haikuwa sahihi kutumia baadhi ya maneno humo.

Ama uyatoe hayo maneno ili tuendelee na hoja yetu ama la, kwakweli sitaweza kuendelea na wewe.
 
Sasa Mkuu kurusha maneno kama investigation, court nk ya nini,

Ikiwa ulilolisema labda nikukumbushie, naona kama fahamu kama zinakutoka in less than 8 hours ya kufungua huu uzi,

Maneno yako hapo chini, vyeti sio hoja, hoja ni ujasiri tu..sasa court ya nini au kila unachokisikia kiende kotini?



1b98b32144aac4daf15df13adcea3282.jpg
Sasa Mkuu kurusha maneno kama investigation, court nk ya nini,

Ikiwa ulilolisema labda nikukumbushie, naona kama fahamu kama zinakutoka in less than 8 hours ya kufungua huu uzi,

Maneno yako hapo chini, vyeti sio hoja, hoja ni ujasiri tu..sasa court ya nini au kila unachokisikia kiende kotini?



1b98b32144aac4daf15df13adcea3282.jpg
The bottom line is Makonda anaonewa without good cause.
 
Makonda is a HERO.Nchi inahitaji watu wa calibre hii wengi. The laws were in limbo sleeping.Yeye ameziamsha to proect the public. Wenye ma-degree walikuwepo. Lakini hawakufanya kitu. Walijisahau hata kukumbusha kuwa kuna sheria. I salute Makonda. He is a GREAT HERO of this nation. We need people who are CREATIVE,PROACTIVE,EFFECTIVE as well.Katika ishu hii vyeti vimeprove failure. But the bold decisions and actions of Makonda have shaken the nation, without leaving any stone unturned. The nation has been in advent for such long time waiting for people of this calibre. Matters of certificate can not overtake the precious acts done by the said person. If you have concrete facts, hard evidence as well take the matter to the corridors of courts. He who alleges must prove. Otherwise these allegations of certificates are mere speculations,frevolous, peddled by the victims. We are tired of hearing the same fake stories expecting different results. As it stands, Makonda is a HERO. I HEREBY declare my interest that I support his style of leadership.Things must be pushed around for them to roll.
Ameharibu sana hata ushahidi wa madawa ya kulevya umepotea.
 
Back
Top Bottom