Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,753
- 27,477
Kwa hili acha niseme ,mkiamua kuniokotea mawe mnipige fresh tuu!!!
Pichani ni mzee wa sukuma ndani Agrey Mwanri, hapa Ccm wametisha sana kumrejesha mwamba mchezoni tena kwa wakati sahihi, huyu ni mwamba wa siasa za uwajibikaji mkali, uzalendo, na vitendo vya papo kwa papo kitaalamu tunaita (populism ya kiutendaji)
Mzee wa "Sukuma Ndani": Huu ndio utambulisho wake mkuu unaosisitiza kuweka pembeni maneno mengi na badala yake kushinikiza uwajibikaji na nidhamu ili kupata matokeo ya haraka.
Mwanri pia ni mzuri sana katika Siasa za Majukwaani na Ucheshi: Anatumia lugha ya picha, sauti ya juu, na misemo ya kuvutia ili kufikisha ujumbe mzito kwa wananchi na watendaji wa serikali.
Mwanri pia ni (Field-Oriented):
Si mhasisi wa siasa za kukaa ofisini; anajulikana kwa kukagua miradi site na kuwawajibisha wahandisi na watendaji mbele ya kadamnasi.
We know CCM wana karata nyingi nzuri za kuzicheza kwa wakati huu na karata ya Mwanri imwkuja wakati muafaka "sukuma ndani"
Ni Matejoo
Pichani ni mzee wa sukuma ndani Agrey Mwanri, hapa Ccm wametisha sana kumrejesha mwamba mchezoni tena kwa wakati sahihi, huyu ni mwamba wa siasa za uwajibikaji mkali, uzalendo, na vitendo vya papo kwa papo kitaalamu tunaita (populism ya kiutendaji)
Mzee wa "Sukuma Ndani": Huu ndio utambulisho wake mkuu unaosisitiza kuweka pembeni maneno mengi na badala yake kushinikiza uwajibikaji na nidhamu ili kupata matokeo ya haraka.
Mwanri pia ni mzuri sana katika Siasa za Majukwaani na Ucheshi: Anatumia lugha ya picha, sauti ya juu, na misemo ya kuvutia ili kufikisha ujumbe mzito kwa wananchi na watendaji wa serikali.
Mwanri pia ni (Field-Oriented):
Si mhasisi wa siasa za kukaa ofisini; anajulikana kwa kukagua miradi site na kuwawajibisha wahandisi na watendaji mbele ya kadamnasi.
We know CCM wana karata nyingi nzuri za kuzicheza kwa wakati huu na karata ya Mwanri imwkuja wakati muafaka "sukuma ndani"
Ni Matejoo