Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Kama una masters halafu unaandika vitu vya kijinga namna hii basi hiyo ELIMU yako haina msaada kwa taifa! Unafikri serikali ilikuwa njinga kuleta mchakato wa uhakiki wa vyeti? Mtu apewe kazi kulingana na ELIMU yake kwa kutumia vyeti halali, sheria ni msumeno wacha Daudi A. Bashite naye umkate!

Sina hata stashahada lakini amenishangaza. Kweli "Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno."
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Hata kama amepata miswaki tupu tumuwache tu?
 
Kwahiyo tufunge shule mtoa mada au Unamaanisha nini?

Kweli Adui ujinga ameshatushinda
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kama mlijua hilo kwanini vijana wetu wa udom mliwaita vilaza?mliwapimaje kuwa hawana ufanisi?Hiyo ndiyo inaitwa usitukane mamba bado ujavuka mto sasa yanawarudia
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Bila shaka unatumia cheti feki!
Hizi ndio lugha za watu waliofoji vyeti...
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Sasa kwanini serikali ilitumia pesa na muda kuhakiki vyeti vya watumishi wake?!
 
Tutakubaliana na wewe kama wale watumishi waliofukuzwa kazi kwa kupimwa kwa makaratasi watarudishwa kazini..

Yani watanzania sijui mna nini.. Mtaunga mkono kitu lakini kikitaka kuwagusa wapendwa wenu mnaanza kukilaani.

Tatizo ni kuwa watu wengi sana mitaani wamefanya ubashite, ndio maana wanatetea hili.
Kwa mtu uliyesoma kwa juhudi na bila ku bashite huwezi kukubaliana na huo ujinga.
 
Tatizo ni kuwa watu wengi sana mitaani wamefanya ubashite, ndio maana wanatetea hili.
Kwa mtu uliyesoma kwa juhudi na bila ku bashite huwezi kukubaliana na huo ujinga.
aaaaahhh!!! Wazee wa kufoji vyeti, ndiyo watetezi wa hii kitu.
 
Umeshasahau yakuwa umefukuza watu makazin kwa kukosa elimu....
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Hatukatai mtu kupimwa kwa utandaji wa.kazi sio maswala ya cv,cv LAKINI FOJARI NDIO INAYOPINGWA SIO CV. Pia kama wengine wamefukuzwa kazi na wamekufa kwa stress na vyeti fake why now fojari isiwe kosa?? Au ndugu unasemaje? Ni ruhusa kufoji. ? Naamini kabisa watu wamejaa kushupalia cv cv hata haina maana kabisa ulimwengu wa leo kama mtu ni mtendaji mzuri, kama freman mbowe cv mbovu lakini ni ya halali na utendaji wake unawashinda wenye cv nzuri. WATANZANIA TUBADILIKE CV ZIMEPITWA NA WAKATI lakini sio kufoji sasa..
61b1c9371934c2d3a1d55244d6358b59.jpg
 
Tatizo ni kuwa watu wengi sana mitaani wamefanya ubashite, ndio maana wanatetea hili.
Kwa mtu uliyesoma kwa juhudi na bila ku bashite huwezi kukubaliana na huo ujinga.
Bashite alete vyeti
 
Kukuu wa mkoa unasomewa wapi ?Cheo cha RC ni taaluma au nafasi ya kisiasa?wanasiasa wote kwanzia mwk/mtaa,diwani,mbunge,DC & RC wanapaswa kuwa na taaluma ipi?je kusoma na kuandika haitoshelezi kukidhi majukumu Yao?
 
Back
Top Bottom