Mambo
mambo ya GPA CV hayana tija kwa taifa. Vinginevyo tungekuwa mbali sana. Nchi hii inahitaji zaidi watu wenye maamuzi na kutekeleza mara moja bila kukawia.
Mkuu uko serious au unatania? Hebu sikiliza, kuna nurse mmoja katika hospitali kubwa tu hapa Dar alikuwa anafanya kazi labor ward, kiukweli alikuwa ni tegemeo kubwa sana kutokana na ufanisi wa hali ya juu katika kusaidia wamama wajawazito kujifungua. Uhakiki wa vyeti ulipopita akagundulika hakuwa na vyeti vya kumuwezesha kufanya ile kazi, amepigwa chini na sasa hivi ni jobless hana kazi na hana kipato japo alisaidia sana kuzalisha wamamawajawazito pale hospitali. My point ni hii, msiwe na double standard katika kudeal na hivi vitu kama kuna mahali mtu amekosea awajibike kulingana na makosa yake sio mnakuja kulialia hapa inapokula kwenu. Hii habari ya vyeti imekosesha ajira watu wengi sana ambao walikuwa wanaumuhimu sana jwa jamii kuliko hao unaojaribu kuwatetea.Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Nimesoma. Nina MA/MASTERS MBILI.NA SASA NAFANYA PHD. IT IS OUT OF MY PILOT RESEARCH.Hayo ni maneno ya mtu ambaye hajasoma chochote, sawa na maneno ya maskini kukaa anajifariji kua wote kaburi ni moja huku ukweli uko wazi.
Mtu yeyote aliyeenda shule akachukukia serious elimu yake anajua umuhimu wa mambo yanayofundishwa shuleni. Ukienda kwa kukurupuka utaishia kuingia loss, una deal na watu smart utafunguliwa kesi uishie kulipa mabilioni kwa move moja tu ya kijinga. Mnajifanya hamuoni swala la IPTL watu wanalipwa 300million kila siku?
Usicheze na watu wanaotumia ubongo na wewe unatumia moyo, utafeli tu, chukulieni na mfano wa Zimbabwe, yule mzee anajifanya akisema yanatekelezwa bila pingamizi, oneni hali yao sasa, kununua mkate kwa bilioni. Watu ambao hamjasoma tafadhali msiwe mnatoa comment kuhusu elimu maana hamkuipata hamjui umuhimu wake zaidi ya story za vijiwezi mlizolishwa. Hakuna kitu kitaiokoa Tanzania kama elimu.
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Nimesoma. Nina MA/MASTERS MBILI.NA SASA NAFANYA PHD. IT IS OUT OF MY PILOT RESEARCH.
Mambo ya CV yamepitwa na wakati?Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.