Mtu anieleze faida ya kuoa

Mtu anieleze faida ya kuoa

ndoa wanapatikana wajomba shangazi wakwe baba na mama nk.wote hao ni faida ya ndoa wawe unadhani mbususu ndo ndoa mbona hata manyani wanapata mbususu huko porini
Diamond hao wote ulio wataja anao. Swali nilini alioa?
 
Enzi hizo?

Hii Ramadhani ya mwaka huu 😂😂😂

Watoto wa Kiislamu sijui wananioendea nini. Kuna mmoja Mpemba nilikuwa namwambia kwenu watu wa kitabu nikienda wakitaka kunipa juzuu Maulid nitasemaje?

Akasema "Nitawaambia huyu Comrade wataelewa tu".

Apparently Zanzibar kuna Ma Comrade wamesomea Cuba hawaamini dini, wakitajwa ma Comrade tu wanaachiwa kwenye mambo ya dini.
Wee mwamba una vielement vya kiislamu kabisa mpka unaona watoto wanakukubali hvo fanya tuu uingie kundini uchukue watoto wako hata wa 4 utulie ule maisha mkuu 😂😂😂😂
 
Wee mwamba una vielement vya kiislamu kabisa mpka unaona watoto wanakukubali hvo fanya tuu uingie kundini uchukue watoto wako hata wa 4 utulie ule maisha mkuu 😂😂😂😂
Mimi siku zote naongoza, sitongozi 😂😂😂
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Hebu fikiria hakuna ndoa, na kila mtu anazini na yoyote kama unavyotaka,

Sasa Mimi nakuja kwenu kisha na kula tunda kwa mama yako usiku kucha kisha asubuhu unaniona naondoka, kesho yake nakuja tena kwenu nakula tunda kwa dada yako usiku kucha na wewe una shuhudia, siku inayo fuata na hamia kwa shangazi yako mwendo huo huo wa kuchapa huku wewe ukishuhudia,

Swali je uta kubali?, na kama utakubali basi weka namba zao hapa ili wenye nguvu waanze kazi mara moja

Na endapo ukishindwa basi toa hayo mawazi yako ya kua ndoa haina umuhimu
 
Basi kama huyo diamond ndio mfano wa kuigwa kwako katika ishu hiyo, bila shaka una matatizo ya akili
Muulize mbona mama yake diamond ameolewa?, vipi naye asigawe utamu kwa wote kama mwanawe??
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Ukiwa kijana una uwezo wa kuikandia ndoa utakavyo
 
Hebu fikiria hakuna ndoa, na kila mtu anazini na yoyote kama unavyotaka,

Sasa Mimi nakuja kwenu kisha na kula tunda kwa mama yako usiku kucha kisha asubuhu unaniona naondoka, kesho yake nakuja tena kwenu nakula tunda kwa dada yako usiku kucha na wewe una shuhudia, siku inayo fuata na hamia kwa shangazi yako mwendo huo huo wa kuchapa huku wewe ukishuhudia,

Swali je uta kubali?, na kama utakubali basi weka namba zao hapa ili wenye nguvu waanze kazi mara moja

Na endapo ukishindwa basi toa hayo mawazi yako ya kua ndoa haina umuhimu
Hakuna kitu kama hiko, ulaya ni kama ndoa hakuna na wala.hakuna mambo hayo
 
Mm napenda sana ndoa

Napenda niishi na mke wangu usafi wa mwili na roho

Nitampata naamini
 
Atakae jibu hili swali kwa hoja akuje nimpe Dada yangu.
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Kama unawaza mbususu basi akili yako haijakomaa endelea kupiga punyeto.
Ndoa ni kwa ajili ya watu wenye upeo mkubwa wa kuendeleza kingdom yake.
Kuwa na familia yako ni jambo la muhimu.
Dogo we endelea na nyeto na mbususu za Sinza tu zenye magono.
 
Kama unawaza mbususu basi akili yako haijakomaa endelea kupiga punyeto.
Ndoa ni kwa ajili ya watu wenye upeo mkubwa wa kuendeleza kingdom yake.
Kuwa na familia yako ni jambo la muhimu.
Dogo we endelea na nyeto na mbususu za Sinza tu zenye magono.
Nataka nijue huo umuhimu upo wapi sasa mbona hamtaki kunijibu?
 
Ndoa ni tendo linalopelekea uwepo wa familia na familia ndio chanzo Cha kwanza kabisa Cha jamii Bora bila ndoa hakuna familia Bora na bila familia Bora hakuna jamii iliyo Bora kama Mungu amekujalia nguvu na uwezo ni vema ukaoa ili ushiriki kujenga jamii Bora 🙏🙏🙏🙏
Well, well said mkuu
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?




Tuanzie ahapa kwanza


Baba yako amemuoa mama yako au hajamuoa?

Au alipiga tu kama unavyopiga wewe ndipo akakuzaa?
 
Back
Top Bottom