Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,417
- 80,122
Faida kubwa ya ndoa ni taasisi ya familia.
Ukiwa nje ya ndoa ni kwamba huna familia
Na matokeo yake yapo.
Ukiwa nje ya ndoa ni kwamba huna familia
Na matokeo yake yapo.
Ulaya gani mkuu?, ulaya mama ana gongwa na huku mwanawe akishuhudia tena leo huyu kesho yuleHakuna kitu kama hiko, ulaya ni kama ndoa hakuna na wala.hakuna mambo hayo
Mungu akuongoze mahala sahihi,hujui uendakoNdugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.
Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.
Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Fact!!!ndoa si kwa kila mtu..
Kwa mfano mimi Niliosoma nao washakuwa watu wazima na watoto 🤣Sasa nitaoaje mtu wa miaka 35 na mimi Nina 35 hiyo hiyoKila kitu kinategemeana aisee.
Narudi zangu home nakuta mke na mtoto(ke)... Mtoto anaita baba, anakuja ananipokea ananikumbatia nakabusu shavuni kanaondoka na mizigo anaenda kusagura anakuta zawadi yake anarudi tena Anasema Ahsante baba ananibusu shavuni.. anaondoka anataja taja jina baba anafrahi.
Mke nae anakuja pamoja na mtoto ananibusu napewa na pole tunakaa sebleni kidogo( story mbili tatu au kuangalia tv dakika chache) . Naenda chumbani Naoga. Narudi nakagua madaftari ya mtoto na kumpangia madaftari ya kesho kwenye ratiba na kumsaidia kazi alizokwama, Tunaitwa kwenda kula chakula, tunakaa kwenye meza, mimi mke mtoto na mdogo wangu na ndugu yake mke mmoja.
Tunapiga story nawaulizia wao maendeleo yao kwa kazi zao hao ndugu zetu tunashauriana then tunarudi Kwa tv kidogo mi naingia chumbani,
Mke nae ananifata hapo sasa inaanza kama umbea(🤣 mke ananza kusema vituko vya nyumbani majirani pia kifamilia tunacheka we anasogea🤩🤩 Mudi iko vizuri namfatuaaa kikamilifu ny*ge zote zinaisha(owa kitu moyo wako imeridhika hutachoka haraka na kitunze))
Tunalala , asuhuh naamka nakuta nguo zote zilishapasiwa na kufuliwa vizuri najivalia tuu naelekea kwa mtoto nae anaandaliwa tunakunywa chai mapema namchukua naanza kumpeleka shule then mimi kazini.
Muhimu owa mtu unamjua (umesoma nae, unamjua kwa njia yoyote sio mtu maisha yake ya nyuma kwa miaka mitano huijui alafu unaowa tu(wengi wanaowa kitamaa tuu kaona ni pisi kali au sjui ina kitu flan basi hujali hata kisa mmejuana miezi mitatu unaingia kwa ndoa)
Jitahidi wote mna kitu kinawaeka busy(kazi ) na punguzeni kuchunguzana mnoo ila kila mtu awe na heshima na mwenzake.
Hakikisha unaowa mwanamke pia alolelewa na baba na mama.. Watu kama nyie ambao mnasema ndoa hazina faida asilimia kubwa mmetoka familia ya Mama mmoja mwenye watoto watatu watatu kila mmoja na baba ake tena baba wako hai.. Hivi unajiskiaje? alafu nawe unataka kutengeneza hilo hilo?
Ndoa ina heshima yake kubwa
Familia nyingi mbovu zimetengenezwa ndani ya ndoa.Ndoa ni tendo linalopelekea uwepo wa familia na familia ndio chanzo Cha kwanza kabisa Cha jamii Bora bila ndoa hakuna familia Bora na bila familia Bora hakuna jamii iliyo Bora kama Mungu amekujalia nguvu na uwezo ni vema ukaoa ili ushiriki kujenga jamii Bora 🙏🙏🙏🙏
SawasawaSio ukiwa kijana bali ukiwa mpumbavu unaweza kuikandia ndoa utakavyo
Uko darasa la 7 mwenza wako yuko darasa la 3 hivi ... uko form 4 mwenza wako muda huo yuko darasa la 6 au form 1... Hii ni kwa zile shuke wakuta za kijiji kimoja au mji mmojaKwa mfano mimi Niliosoma nao washakuwa watu wazima na watoto 🤣Sasa nitaoaje mtu wa miaka 35 na mimi Nina 35 hiyo hiyo
Ukute wadada walikua wanakuona kijana mwema unaye mjua Mungu kumbe ni hovyo kabisa chakalamu,, 😂😂😂😂Mimi siku zote naongoza, sitongozi 😂😂😂
Mkuu zinaa ni opposite ya ndoa jua ivoSiko upande wa mtoa mada, ila mkuu zinaa ni kujiendekeza, ni udhaifu pia
Mimi nilikuwa nafanya uchakalamu kwenye TV hivyo kila mtu alijua, ambaye hakujua hilo kosa lake.Ukute wadada walikua wanakuona kijana mwema unaye mjua Mungu kumbe ni hovyo kabisa chakalamu,, 😂😂😂😂
Ulikua unakula wale wa kienyeji au wa kishua mkuu...Mimi nilikuwa nafanya uchakalamu kwenye TV hivyo kila mtu alijua, ambaye hakujua hilo kosa lake.
Sasa hapo hapo wale ambao mimi nilikuwa nawazidi hayo madarasa, sahivi walizalishwa nikiwa ChuoUko darasa la 7 mwenza wako yuko darasa la 3 hivi ... uko form 4 mwenza wako muda huo yuko darasa la 6 au form 1... Hii ni kwa zile shuke wakuta za kijiji kimoja au mji mmoja
Angel alikuwa si binti fukara, lakini si tajiri pia. Utajiri wa network haukukosekana kwao.Kati ya mabinti wenye bashasha ya kupumbaza akili na urembo wa kumfanya aonekane kama pambo tu, wakati kiuhalisia alikuwa na mengi zaidi ya urembo.Ulikua unakula wale wa kienyeji au wa kishua mkuu...
Maana huwenda tukawa tunakosa madini ya kiswazi tukijua wewe ni wa kishua from the root
Aisee itoshe kusema hi story yako ina code japo ina kiburudisho tosha.Angel alikuwa si binti fukara, lakini si tajiri pia. Utajiri wa network haukukosekana kwao.Kati ya mabinti wenye bashasha ya kupumbaza akili na urembo wa kumfanya aonekane kama pambo tu, wakati kiuhalisia alikuwa na mengi zaidi ya urembo.
Familia yake ikijuana na yangu tangu wazazi wakifanya kazi pamoja Ikulu ya Nyerere, lakini kwa bahati mbaya mzazi wake mmoja alitangulia mbele ya haki.
Kwa namna moja familia zikifanana, kwa namna nyingine yalikuwa kama mapenzi ya Romeo na Juliet kati ya watu wa familia mbili tofauti kabisa.
Kwa hakika binti alikuwa mtulivu, mstahimilivu, mwenye bashasha na mapenzi ya kweli. Ingawa pia alikuwa na uchakaramu wake wa kufuatana na mabinti wa mjini wenye majina makubwa na vituko vingi, wapenda muziki na mitindo, waliokuwa na aibu za kiutamaduni lakini pia wakianza kuhoji uhalali wa ustaarabu huo.
Wapenda muziki. Muziki ulikuwa kiunganishi kikubwa. Tukikutana kuanzia kwenye mashindano ya "Yo Rap Bonanza" niliposhiriki, mpaka clubs kama La Dolce Vita home ground Coco Beach na mjini Billicanas.
Binti akapata mfariji, na Kiranga akapata somo komo. Mtu jitu akapata kwenda Kimicho kula asikirimu adimu za Gelato na watu waliotulia, wenye nchi, si wananchi tu. Huku akijua hapo ni sehemu yake lakini kiundani akifanya Hegelian dialectic za kifalsafa na kikomunisti kujinasua na wimbi la anasa za wale ma "petty bourgoisie" aliowaona hawana akili za kimapinduzi zaidi. Kama vile muhusika wa riwaya ya "The Spook Who Sat by The Door" akiwa katika mazingira anayotaka kujinasua.
Alikuwapo Nancy pia, lakini Nancy alishachukukiwa na rafiki Chacha. Isitoshe Nancy alikuwa na scandal kubwa ya mapenzi mjini. Na vile baba yake alivyokuwa mkubwa jeshini, nani anataka misukosuko na majenerali wa jeshi waliogeuka mbogo kwa sababu binti zao wamepagawishwa na machizani?
Akili za kimapinduzi?
Akili za kimapinduzi tena? Tumefikaje huku? Kwenye mapenzi kuna akili za kimapinduzi? Mapenzi si yamewateka mpaka ma rasta kina Bob Marley wakaimba "Satisfy My Soul" kama machekibobu wanaojivika u Cassanova?
Ndiyo, mapenzi ndiyo mapinduzi makubwa kabisa duniani, yaliyomfanya Walis Simpson, mwanamke mtalaka kutoka Baltimore Marekani, apelekee kuuvuruga ufalme mkubwa kabisa wa Uingereza na kumuondoa Mfalme Edward wa Nane wa Uingereza kutoka katika Ufalme wake na kuishia kuwa kama pauni wa chesi, Duke wa Windsor aliyeishi na kufia uhamishoni Ufaransa.
Alikuwapo Angel wa pili. Maana mmoja tu hakutosha. Kabla ya kuwapo Michelle wa Bronx na Michelle wa Brooklyn, alikuwapo Angel wa Oysterbay na Angel wa Kurasini. Mtoto wa RPC. Hawa watoto wa wanajeshi na watu wa usalama walikuwa na nini? Mtoto kachanganya damu ya Kitutsi, kapanda juu, akitembea kama mwanamitindo aliyepotea njia kutoka runways za Milan akafika Tanzania kutalii tu. Anajua hesabu pure kwa namna ambayo haikuyumkinika mtoto mzuri vile ajue hesabu vile. Humble like a child. Nikitembea naye mtaani mpaka madada wa mtaani wakiniita pembeni kuniulizia "Yule nani, umemtoa wapi?".
Lakini yote yamepita hayo. Kama mto unaoelekea baharini kwa kutiririka kwa namna ambayo maji hayawezi kurudi juu kwenye mkondo mlimani.
Sasa hivi nimetulia, raia mwema, alcohol free, makaratee yote chini, kaka mkubwa wa familia, baba muhifadhi wa amani.
Naelekea kumuunga mkono Shaaban Robert katika biografia yake ya "Maisha Yangu Baada ya Miaka Hamsini".
Ni wakati wa kuandika "Utenzi wa Hati na Adili" wangu.
Excerpts from "Kiranga : The Life"
Coming to a bookstore near you.
Unanichimba sasa.Aisee itoshe kusema hi story yako ina code japo ina kiburudisho tosha.
Hongera kwa kumiliki totoz kali hivo alafu zipo smart, every man has a story to tell. Nikupongeze kwa ujasiri kwa sababu si wengi Wana ujasiri kuhadithia story za kweli za maisha yao 😂😂😂. Japo sometimes kama unakua umekula mjani tukija kwenye hoja zetu zile.
Na hapa naomba watu wanaozani wewe umejaa ushua mwingi basi wajue hata life la kiswazi unalijua mwanangu wa temeke mikoroshini. Nasema hivyo kwa sababu nafahamu wa Tanzania tulivyo.
Hata hivyo, ndgu yangu usikubali kukutana na watu bila kuchukua tahadhari maana.....
All in all, hongera kwa ustadi wa uandishi mzuri wa kupanga matukio sasa tunataka kuanzia leo utuletee story kama hizi hapa JF 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Swali Umeoa mkuu..? Na kama umeoa huyo uliye naye ni dini gani..?
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 Daaah mi nakupa credit tunataka nyuzi kama hizo we unasema nakuchamba...Unanichimba sasa.
Kuoa ni nini?