Mtu anieleze faida ya kuoa

Mtu anieleze faida ya kuoa

Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Ukikopa Madeni mkewe atakupa Moyo usije ukapata pressure akikuambia Tutavuka Hili.... Sasa Usioe Kama utakopeshwa na usiniambie haukopi maana Rais wako Enyewe anadaiwa
 
Ukikopa Madeni mkewe atakupa Moyo usije ukapata pressure akikuambia Tutavuka Hili.... Sasa Usioe Kama utakopeshwa na usiniambie haukopi maana Rais wako Enyewe anadaiwa
Nakopa na nina madeni kibao, na kulipa nitalipa bila ya kuwa na mwanamke,
Nipe faida hasa ya kuoa kama ni hiyo ya kukopa kwangu sio tatzo kabisa
 
Just imagine huo utaratibu haupo, mtu anajipigia tu kila ampendae, mimba moja wanaume kumi, mtoto hajui baba ni yupi, mjomba ni yupi, shangazi ni yupi... Matokeo yake unakuja kumuweka dada yako, mama yako mdogo, pengine hata shangazi yako...

Ndoa iheshimiwe ila matendo mabovu yanayotokea ndani ya ndoa yaendelee kulaaniwa
 
Just imagine huo utaratibu haupo, mtu anajipigia tu kila ampendae, mimba moja wanaume kumi, mtoto hajui baba ni yupi, mjomba ni yupi, shangazi ni yupi... Matokeo yake unakuja kumuweka dada yako, mama yako mdogo, pengine hata shangazi yako...

Ndoa iheshimiwe ila matendo mabovu yanayotokea ndani ya ndoa yaendelee kulaaniwa
Ndoa ni kwa watu dhaifu tu.
 
Nakubali ila Mkula kuna Madeni yanatia Pressure Meku
Kukopa Huo ni Utani Point ni kwamba Mwanamke Ukiwa Nae anaitwa Mke faraja inayo kuwa hapo ndani kama upendo umezunguka huezi kupata ukiishi mwenyewe ila Tuu iwe wewe ndio chaguo lake na yeye awe chaguo lako Na Mwenyezi Mungu aipigie Nyundo Utaishi Kwa Furaha Kuliko sasa
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Inategemeana umezaliwa mazingira Gani, ni ya kama ya kwako ama kwenye familia ya baba na mama, huwezi jua umuhimu Kama hujaingia.
Pia akili yako inakudanganya ivyo yaani unakufariji na kukupa sababu zote za kusapoti kile unachopenda ukione kwa Maisha yako. Yaani kile unachokiona ndicho unachokiona.
So na wewe dingi yako alijipigia tu ukapatikana ama ilikuwaje, always water will follow its course or channel, so keep it up don't try to pollute others.
Do you there's life perfection at marriage or staying at single?
In short bado unakuwa kadri miaka itakavyoazidi kwenda utazidi kujioma u mjinga. Naomba ufike miaka 55-65 urudi hapa uongee haya maneno, tuombeane, yaani hata mie mdogo ivi nakuzidi upepo. Am still 20s Nina watt nasomesha public schools wanakula na kulala na kuvaa , they're my close friends whom I can trust 100%
 
Kuoa ni utamaduni ambao upo tangu enzi na enzi, sasa kwakuwa ni jambo ambalo linakubalika na jamii kwa asilimia kubwa, basi wewe ndiye ulitakiwa ulete hoja za hasara za kuoa.

Huwenda kutokuona kwako faida za kuoa ni kutokana upeo mdogo ulionao au labda umelelewa katika familia ambayo haija staarabika.
 
Inategemeana umezaliwa mazingira Gani, ni ya kama ya kwako ama kwenye familia ya baba na mama, huwezi jua umuhimu Kama hujaingia.
Pia akili yako inakudanganya ivyo yaani unakufariji na kukupa sababu zote za kusapoti kile unachopenda ukione kwa Maisha yako. Yaani kile unachokiona ndicho unachokiona.
So na wewe dingi yako alijipigia tu ukapatikana ama ilikuwaje, always water will follow its course or channel, so keep it up don't try to pollute others.
Do you there's life perfection at marriage or staying at single?
In short bado unakuwa kadri miaka itakavyoazidi kwenda utazidi kujioma u mjinga. Naomba ufike miaka 55-65 urudi hapa uongee haya maneno, tuombeane, yaani hata mie mdogo ivi nakuzidi upepo. Am still 20s Nina watt nasomesha public schools wanakula na kulala na kuvaa , they're my close friends whom I can trust 100%
Watoto hata mimi naweza kupata nikitaka, nataka unambie kitu gani hasa nyie mlio kwenye ndoa mnakioata ambacho huku nje sisi ambao hatujaoa hatupati na hatuwezi kupata?
 
Kuoa ni utamaduni ambao upo tangu enzi na enzi, sasa kwakuwa ni jambo ambalo linakubalika na jamii kwa asilimia kubwa, basi wewe ndiye ulitakiwa ulete hoja za hasara za kuoa.

Huwenda kutokuona kwako faida za kuoa ni kutokana upeo mdogo ulionao au labda umelelewa katika familia ambayo haija staarabika.
Kwanini wengi hamnipi jibu la moja kwa moja badala yake mnani p a maelezo mengi ya jumla?
Mi nataka faida ambayo nyie kwenye ndoa mnapata mie sijaoa sipati na sitopata.
 
Watoto hata mimi naweza kupata nikitaka, nataka unambie kitu gani hasa nyie mlio kwenye ndoa mnakioata ambacho huku nje sisi ambao hatujaoa hatupati na hatuwezi kupata?
Ukiacha heshima ya pesa, hekima, busara na cheo cha mtu... Ndoa inampa mtu heshima mbele za watu...

Hata kwenye jamii zetu inapokuja ishu ya kifamilia, huwezi kuta yule ambaye hana ndoa na familia anapewa heshima sawa na yule mwenye ndoa na familia
 
Hujaambiwa kuna hasara za kuoa, kwa sababu sio kila mtu anafaa kuoa au kuolewa.

Ni kweli tunatakiwa kujiepusha na kila lenye hasara, lakini haina maana kuwa kila lenye hasara linaachwa, kwa sababu kuna mambo mengine faida yake ni kubwa zaidi kuliko hasara yake, ambayo ni kama sawa na hakuna hasara.
 
ndoa wanapatikana wajomba shangazi wakwe baba na mama nk.wote hao ni faida ya ndoa wawe unadhani mbususu ndo ndoa mbona hata manyani wanapata mbususu huko porini
Ukiwa na hela hao wote wanapatikana bila kuoa
 
Back
Top Bottom