Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,558
- 55,309
ππππ Mada ilikua ishaanza ku change hapaπ π π π
ππππ Mada ilikua ishaanza ku change hapaπ π π π
Basi hii ni aina ya ndoa, ambayo jamii bado haijaitambua kama ndoa.Watakuwa wanaoshi kama wapenzi mkuu (no formal marriage). So, hakuna mwanaume yeyote mwenye mamlaka ya kumchukua mpenzi wa mtu.
Inatagemeana ulizaliwa na kulelewa na wazazi wote wawili na uliona faida ya baba na mama Ila Kama hukuiona. Ama mzee wa watu alipita mahala akakojoa ukatokea lazima maji yafuate mkondo. Yaani nature inakuumba sie ni akina nani tushindane na asili eg sumaku isivute chumaNdugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.
Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.
Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?