Mtu anieleze faida ya kuoa

Mtu anieleze faida ya kuoa

Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Safi sana achana na kuoa ndugu
 
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 Daaah mi nakupa credit tunataka nyuzi kama hizo we unasema nakuchamba...

Tatzo wewe ulishazowea legue tuuu

Kuoa namaanisha marriage
Much appreciated mkuu.

Hujasema kuoa ni nini umebadili lugha tu.
 
Watoto hata mimi naweza kupata nikitaka, nataka unambie kitu gani hasa nyie mlio kwenye ndoa mnakioata ambacho huku nje sisi ambao hatujaoa hatupati na hatuwezi kupata?
Kwanza una familia, una watoto wangapi?? Fahari ya ndoa ni watoto, tena watoto wa ndoa ni faida kwa kua huishi pamoja,kusaidiana na kujenga undugu imara.Nadhani wewe unachukulia ndoa ni kufanya mapenzi tuu..
 
Nguvu Kazi Ya Taifa Itatoka Wapi ?
Tanzania Inahitaji Watu Kuendesha Hii Nchi
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Nimejikuta namuwaza mke wangu na kutabasamu, my beautiful wife.
 
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
..ni kweli ndoa za.mashog
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
Tueleze kwanza hasara za kuoa na kuijenga familia
 
Kwahio tupo pamoja kwamba, usipokua na ndoa na unaendeswa na migegedo una zini na huo ni udhaifu si kingine si ndio
Hapo tupo pamoja mkuu..
Nakubaliana na wewe...
Ila unaelewa maana ya ufhaifu mkuu. Kuna kujiendrkeza alafu kuna udhaifu
 
Back
Top Bottom