Mtoto wa raisi wa uganda museveni bado ana akili za kitoto mchunguzeni kwenye mtandao X.

Mtoto wa raisi wa uganda museveni bado ana akili za kitoto mchunguzeni kwenye mtandao X.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Baba yake kuwa madarakani muda mrefu na kumuweka jeshini na vyeo kwa umri aliopo na cheo chake ni kama anaishi kwa baba yake nawaza hilo.

Kejeli anazotoa kwenye mtandao X ,kudhihaki, kuleta taharuki ndani na nje ya nchi yake.

Sidhani kama mtu Rizi one angekuwa anafanya mada za ajabu akijua ana heshima kubwa.
 
Baba yake kuwa madarakani mda mrefu na kumuweka jeshini na vyeo kwa umri aliopo na cheo chake ni kama anaishi kwa baba yake nawaza ilo.

Kejeli anazotoa kwenye mtandao X ,kuziaki,kuleta taharuki ndani na nje ya nchi yake.

Si zani kama mtu rizi one angekuwa anafanya mada za ajabu akijua anaheshima kubwa.
Huyo baba yake akifa na yeye ndio itakuwa mwisho wake,na ataishia jela au kifo kibaya...na Uganda itaingia kwenye riots. .

Ana kiburi tu cha muda mfupi
 
KANYANYURABA HUYO JAMAA AKILI ZAKE NI KAMA KEYBOARD WORRIER WA TANZANIA AMBAO WALIHAMAISHA MAANDAMANO NA KUPELEKEA VIFO VYA VIJANA.


NB KATAAA MAANDAMANO KATAA VURUGU , LINDA NCHI YAKO LINDA UHAI WAO
 
KANYANYURABA HUYO JAMAA AKILI ZAKE NI KAMA KEYBOARD WORRIER WA TANZANIA AMBAO WALIHAMAISHA MAANDAMANO NA KUPELEKEA VIFO VYA VIJANA.


NB KATAAA MAANDAMANO KATAA VURUGU , LINDA NCHI YAKO LINDA UHAI WAO
Hivi una akili za kwendea chooni Kinacho eleza hapa unaongea nini
 
Baba yake kuwa madarakani mda mrefu na kumuweka jeshini na vyeo kwa umri aliopo na cheo chake ni kama anaishi kwa baba yake nawaza ilo.

Kejeli anazotoa kwenye mtandao X ,kuziaki,kuleta taharuki ndani na nje ya nchi yake.

Si zani kama mtu rizi one angekuwa anafanya mada za ajabu akijua anaheshima kubwa.
Yule ni mwenda wazimu
 
Back
Top Bottom