Msanii kaka ukimwi unatafuta mwenyewe...
Hii ni kesi ngumu kiasi ...
Ifuatayo inaweza kuwa majibu ya kesi yako...
Habari insikitisha na inahuzunisha.
Ningependa kusema yafuatayo kwa dada yetu. Nami ninasema haya kama muislamu, lakini kama mhusika si muislamu, basi ningemshauri aende kwa viongozi wa dini yake, au katika taasisi za kijamii zinazohusika na maswala ya kusaidia kina mama wenye matatizo ya ndoa, akapatiwe ushauri nasaha.
Anyway, katika mafundisho ya mtume Muhammad (SAW) mtoto ni wa baba mwenye ndoa (MTOTO NI WA KITANDA) na mzinzi hana lake (MZINZI AKALE MAWE), kapoteza nguvu zake na muda wake na siku ya kiama atakuja kuadhibiwa na mola wake. Usijihisi unyonge, kata mawasiliano na huyo mtu kabisa, na akiendelea kukufuata fuata, tumia njia zote za halali kumzuia kwani anataka kukuvurugia maisha yako.
Pamoja na kuwa nimesema hayo kuna maswala mawili matatu:
Swala la kwanza ni la uzinzi na kutunza hesima ya ndoa. Kesi ya dada yetu huyu ni Case Study nzuri za athari ya mambo kama haya na inaweza ikampelekea mtu katika Dilemma na Stress ambazo hazina ufumbuzi sahihi. Ushauri wangu katika hili ni kuwa TUBU kwa mola wako, jiwekee ahadi ya kweli ya kutorudia tena, huku ukiendelea kujuta kwa yale uliyoyafanya.
Kuhusu mumeo, jitahidi kumfanyia mema mengi sana, ili kujenga mazingira ya kuwa hata kama atajua kwa namna yoyote basi atakuwa tayari kukusamehe. Pia jitahidi kuwafanyia mema familia ya mumeo kwani katika jamii zetu za kiafrika (familia) nao pia wana mchango wao katika usalama na ufanisi wa maisha ya ndoa.
La mwisho ni kuwa usimwambie mumeo, isipokuwa kama hakuna namna nyingine ya kuficha maovu ambayo yamepita. Nasema hivi kwa sababu mbili: Kwanza ni kuwa Mungu hapendi kutangaza / kueneza habari za maovu, isipokuwa kama unafanya hivyo ili kudai haki yako (Rejea 4:148). Sababu ya pili ni kuwa hatujui nini reaction ya huyo jamaa kama utamweleza habari kama hizo. Anaweza kuamua kukuuwa, hivyo utakuwa umejisababishia kifo au maangamizi, Jambo ambalo; again, ni haramu.
Binafsi kama jambo kama hili litanitokea, my WORST possible reaction will be to divorce the woman, and let her free.
hio nimeona kaka mmoja mwenye maarifa ya DINI ya Kiislam akijaribu kutoa ushauri wake, ukiona Haukutoshi, basi tafuta wengine...
Hii ni kesi ngumu kiasi ...
Ifuatayo inaweza kuwa majibu ya kesi yako...
Habari insikitisha na inahuzunisha.
Ningependa kusema yafuatayo kwa dada yetu. Nami ninasema haya kama muislamu, lakini kama mhusika si muislamu, basi ningemshauri aende kwa viongozi wa dini yake, au katika taasisi za kijamii zinazohusika na maswala ya kusaidia kina mama wenye matatizo ya ndoa, akapatiwe ushauri nasaha.
Anyway, katika mafundisho ya mtume Muhammad (SAW) mtoto ni wa baba mwenye ndoa (MTOTO NI WA KITANDA) na mzinzi hana lake (MZINZI AKALE MAWE), kapoteza nguvu zake na muda wake na siku ya kiama atakuja kuadhibiwa na mola wake. Usijihisi unyonge, kata mawasiliano na huyo mtu kabisa, na akiendelea kukufuata fuata, tumia njia zote za halali kumzuia kwani anataka kukuvurugia maisha yako.
Pamoja na kuwa nimesema hayo kuna maswala mawili matatu:
Swala la kwanza ni la uzinzi na kutunza hesima ya ndoa. Kesi ya dada yetu huyu ni Case Study nzuri za athari ya mambo kama haya na inaweza ikampelekea mtu katika Dilemma na Stress ambazo hazina ufumbuzi sahihi. Ushauri wangu katika hili ni kuwa TUBU kwa mola wako, jiwekee ahadi ya kweli ya kutorudia tena, huku ukiendelea kujuta kwa yale uliyoyafanya.
Kuhusu mumeo, jitahidi kumfanyia mema mengi sana, ili kujenga mazingira ya kuwa hata kama atajua kwa namna yoyote basi atakuwa tayari kukusamehe. Pia jitahidi kuwafanyia mema familia ya mumeo kwani katika jamii zetu za kiafrika (familia) nao pia wana mchango wao katika usalama na ufanisi wa maisha ya ndoa.
La mwisho ni kuwa usimwambie mumeo, isipokuwa kama hakuna namna nyingine ya kuficha maovu ambayo yamepita. Nasema hivi kwa sababu mbili: Kwanza ni kuwa Mungu hapendi kutangaza / kueneza habari za maovu, isipokuwa kama unafanya hivyo ili kudai haki yako (Rejea 4:148). Sababu ya pili ni kuwa hatujui nini reaction ya huyo jamaa kama utamweleza habari kama hizo. Anaweza kuamua kukuuwa, hivyo utakuwa umejisababishia kifo au maangamizi, Jambo ambalo; again, ni haramu.
Binafsi kama jambo kama hili litanitokea, my WORST possible reaction will be to divorce the woman, and let her free.
hio nimeona kaka mmoja mwenye maarifa ya DINI ya Kiislam akijaribu kutoa ushauri wake, ukiona Haukutoshi, basi tafuta wengine...