BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
...duh, ha ha haa..Bubu nawe hasa mshabiki, loh!
Dont underestimate JF opinions, ...akija sema mumewe kamsamehe kuna wataomhukumu kuwa Mume Bwege, kama sio dada kumlisha mumewe 'kipapai!'!
Dada Maindainda, iwe siri yako hiyo na mumeo, wasikia sana? ...siri sirini mtavyooongea na kukubaliana, wala huyo mzazio usimwambie kilichojiri, labda kama mumeo kakusudia kumtoa roho ili akimbie mji!
Sio ushabiki, ni katika kujifunza kutokana na mifano hai. Wanaume wengi hapa tutasema mke wangu kama alitembea nje na kuzaa mtoto ambaye anajua si wangu ningependa anafihamishe haraka sana, ukiuliza wangapi watakuwa tayari kumsamehe mwenzi wao na kuendelea kumlea mtoto kama ilivyokuwa mwanzo basi sidhani kama watafika hata asilimia 5! Kina abunuwas dunia ya leo ni wachache mno!!! labda limbwata limewakolea barabara! (a joke)
Mie Mainda akisamehewa na mumewe nitafurahia sana kuliko kusikia ndoa yake imevunjika au kuna baya zaidi limetokea, I hope mapenzi waliyojenga katika kipindi cha miaka 10 ya ndoa yatawasaidia kuwavusha katika majaribuni haya mazito ndani ya ndoa yao.