MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

Pinda naye hana mvuto hivi mlikua anataka awe Rais wa wapi?
 
Hili nalo jinga, liloho la madaraka, muda wake umeshakwisha sasa
Kila siku nasema usicheze dili na mswahili, daktari wa madaktari, le prosseri alimdanganya huyu
SINA IMANI NA UKAWA
 
Mbunge wa Kahama Mjini (ccm) na
Mwenyekiti wa kamati ya bunge maliasili
na utalii James Lembeli Amehamia
Chadema
 
Umoja wa ccm ni wa wale wajumbe tu ,,wananchi huko bado kuna makundi..IMEFARIKI CCM
 
Aliye leta hii mada ni muongo. Jina la pinda halikukatwa. Liliondolewa kwenye mchakato baada ya maridhiano.

Hawezi kulalamika kwa sababu hakuondolewa kwa vigezo bali kwa maridhiano kutokana na mazingira halusi.
Wananchi hawafahamu kama kulikuwa na maridhiano,
Tunachofahamu ni kwamba yale majina 33 yalikatwa na kamati ya maadili ya chama
Hivyo inaonekana hakuwa na maadili huyu bwana mijengo

SINA IMANI NA UKAWA
 
This message has been deleted by Mimi .
 
Last edited by a moderator:
Mchakato wa kumpata mgombea kiukweli ulikuwa wa kibabe sana...
 
Lakini pinda yuko kwenye 'kitengo'....anaanzaje kulalamika (kama taarifa ni za kweli) !
 
Hebu jamani kwa heshima na taadhima naomba wabobezi wa siasa watuambie ni lini CCM ilifanya maamuzi ya kidemokrasia ndani ya CCM yenyewe na chaguzi za kitaifa."Chizi akikupiga kofi usimrudishie"Pinda anyamaze kimya.
 
Umoja wa ccm ni wa wale wajumbe tu ,,wananchi huko bado kuna makundi..IMEFARIKI CCM
wanaoulewa mgawanyiko na kifo cha ccm hawawezi kuongea hata na media za ngazi ya kaya wakatin wanaosema 'chama imara' wana uwezo wa kuitisha press conference na kuwagawia waandishi bahasha za kaki

 
SASA hivi pale Ikulu ambapo Pinda ,jk NA Bilal wako jengo Moja mawasiliano SIO mazuri ....wanaona anewadharau kwa kushjndwa kuwaamini au kuwaambia wasigombee Huku kijana mwenye Miaka isiyojaa mkono serikalini ,,,January Akipeta

Juzi wakati Rais anasafiri wote walikuwapo LAKINI HAWAKUMSINDIKIZA AIRPORT KADIRI YA PROTOCALS .... aliagwa NA MKUU wa MKOA NA MKUU wa Majeshi NA Maafisa wengine ...NA watu wachache wa Chama ambao walikuwa airport kumsubiri MAGUFULI
 
SASA hivi pale Ikulu ambapo Pinda ,jk NA Bilal wako jengo Moja mawasiliano SIO mazuri ....wanaona anewadharau kwa kushjndwa kuwaamini au kuwaambia wasigombee Huku kijana mwenye Miaka isiyojaa mkono serikalini ,,,January Akipeta

Juzi wakati Rais anasafiri wote walikuwapo LAKINI HAWAKUMSINDIKIZA AIRPORT KADIRI YA PROTOCALS .... aliagwa NA MKUU wa MKOA NA MKUU wa Majeshi NA Maafisa wengine ...NA watu wachache wa Chama ambao walikuwa airport kumsubiri MAGUFULI

Kwa hiyo wamenuniana?
 
Back
Top Bottom