MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

hayo kasema wapi? kila mtu anaweza kuyasema hayo uliyoyaandika na kuwataka watu wayaamini.
 
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]if you are going to kick authority on the teeth you might as well use two feet so kama lowasa anaweza kutumia two feet ndo a kick ccm bt kama ana bahatisha ningemshauri atulie tu coz itakuwa dead end yeye au ccm[/FONT]
 
Habari hizi za uhakika kweli???

Hata oungo unaweza kuwa na uhakika juu yake. Mfano: "Nina UHAKUKA kuwa mleta hii mada anadaganya" hii ni sayansi ya lugha tu kwahiyo ndugu hata wewe inakubidi uwe uwezo wa kuelewa akili za wanaoleta mada, wengine waongo na wachochezi
 
Mie Nasema Na Alie tu Maana tumeshachoka nae Na hakuna Namna Nyingine Ya Kumsaidia

Teh teh teh!! Analia bila kupigwa, na apigwe tu ili alie vizuri.Maana hatuna jinsi nyingine ya kumliza zaidi,ni kwa kupigwa,pigeni,nipeni tenda hiyo nimcharaze sawasawa
 
Aliye leta hii mada ni muongo. Jina la pinda halikukatwa. Liliondolewa kwenye mchakato baada ya maridhiano.

Hawezi kulalamika kwa sababu hakuondolewa kwa vigezo bali kwa maridhiano kutokana na mazingira halusi.

Kwa hiyo kuna majina yaliondolewa kwa maridhiano na mengine yakakatwa juu kwa juu? Kwanini maridhiano yasingefanyika kwa wote?
 
Mbona waliokatwa ni wengi?..mBona hawasemi?..naamini kwa vyovyote vile lazima angepatikana mmoja tu kupeperusha bendera ya CCM...ni vyema kukubali matokeo na kusonga mbele.

Usione au kusikia hawasemi,mkuu hali ni ngumu ndani ya ccm we hujui tu.
 
Kajidhalilisha sana Mh Jakaya. Kashindwa kutetea utawala wake na chama. inatosha kusema'wamechoka'

Alichoshindwa kuelewa JK ni kuwa watu kama wamekatwa na Kamati ya maadili ni kuwa hawana maadili mema hivyo hawakupaswa hata majina yao kujadiliwa na Kamati kuu. Hivyo basi wasaidizi wake wa karibu kabisa hawana maadili na hata majina yao hayastahili kufika kwenye Kamati kuu.
Wasaidizi wake hao wakuu ni Makamu wa Rais Bilali, WM Mizengo Pinda, mawaziri kama Wasira,Mwandosya,Mwakyembe,Mzee Sitta, Chikawe nk nk.
Hii ni kuwaaibisha na kujiaibisha yeye mwenyewe.
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

Hakubaliani
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

Kuanzia muda wowote siasa za Tanzania zinabadilika.... Dunia itasimama kwa muda
 
Ni Moja Ya Vitu Vilivyonishangaza Waziri Mkuu Alieko Madarakani Pamoja Na Makam Wa Rais Wasiingie Tana Bora! Badala Yake Tano Bora Wameingia Watu Wa Ajabu Ajabu! Kweli Ccm Mungu Amewatia Upofu
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.
Pinda asilalamike, ule msemo aliouasisi wa "Wapigwe tu" umemgeukia. Amepigwa tu na kamati ya maadili. Sasa analalamika nini?
 
Atulie kwanza akale mafao sasa umri nao umeenda
 
Aliye leta hii mada ni muongo. Jina la pinda halikukatwa. Liliondolewa kwenye mchakato baada ya maridhiano.

Hawezi kulalamika kwa sababu hakuondolewa kwa vigezo bali kwa maridhiano kutokana na mazingira halusi.
Ulikuwepo!!!!!
 
Mbona waliokatwa ni wengi?..mBona hawasemi?..naamini kwa vyovyote vile lazima angepatikana mmoja tu kupeperusha bendera ya CCM...ni vyema kukubali matokeo na kusonga mbele.

Kwa sasa wagombea wote ndia akili zao zinarudi maana ule mshituko haukuwa wa kawaida naona hata yule #2 ataanza kuhoji ilikuwaje kura zilipigwa leo matokeo yatangazwe kesho kama vile walikuwa wanasubiri masanduku ya kura kutoka kituo kingine sie tunasubiri watasema yote na hata yale yaliotendeka gizani hii ndio chama cha pesa bana
 
ha ha ha...naona sasa vijana wamelipwa kuja mitandaoni kutuletea porojo.
ACHENI POROJO NA KUTUMIKA...
Pinda hayuko kihivyo...unachotakiwa kujua ni kuwa
Lowasa mwenyewe ni hatari kwa afya yake binafsi...sembuse familia yake na watanzania.
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

Mkuu tunashukuru kwa kutujuvya. Lakini kiswahili chako mkuu kinafanya uzito wa habari na kiswahili kilichotumika, kitafanya dada yetu FaizaFoxy sio tu kukosoa lugha bali hata uzito wa habari yenyewe.
 
Pinda ilikuwa lazima akatwe maana hamna namna nyingine na akatwe tu.
 
Back
Top Bottom