MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya
Aliokuwa akiwatetea bungeni wamepita maana yake nini, kwamba anakiri walikuwa wabovu? Sasa kwa nini alikuwa anawatetea?

Sidhani kama anaweza kukiri kwamba alikuwa anatetea uozo na watu wabovu, it doesn't make any sense whatsoever.

Ulichosema aidha ni uongo mtupu au umeripoti ndivyo sivyo na alichokisema Pinda.

Waziri Mkuu akisema hivyo legacy yake yote itafutika hapo hapo. Pinda is a lightweight but si mjinga kiasi hicho na sisi sio novices wa siasa kiasi cha kuamini hii claptrap.
 
Sidhani kama huu ni wakati muafaka wa kuzungumzia mambo ya mchakato wa uteuzi kinachatakiwa sasa hivi ni kujenga nchi
 
Back
Top Bottom