MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

Tuwe wakweli, kwanza Mzee Pinda(our PM) ni binadam kama alivyo yeyote. Katika mazingira ambayo kamati ya Maadili haikumfikisha Kamati Kuu( kama ni kweli) basi lazima alalame akiwa kama human being( hapa kama mtu binafsi)!
Si kweli kabisa kwamba Mzee Pinda hana maadili kuliko anaowaongoza kama Makamba Jr, Magufuli(Dr), Migiro(Dr) et al!
Kama kalalamika hata kama siyo hadharani, nami namuunga mkono! Mtu kama Jaji Ramadhan, Mzee Bilal(V Pres) nae eti kamati ya maadili inatajwa ilimtosa. Labda kamati pia ilishauri na suala la umri, ila kuhusu maadili akili ya kawaida inagoma kuamini kuwa Dr Bilal, Jaji Ramadhan, Mzee Pinda na wengine wanaoheshimika katika jamii wamsshindwa kupenya kwenye kamati ya maadili.
Kwa anaefahamu atutajie wajumbe wa Kamati ya Maadili halafu kila mjumbe alinganishwe na wazee hawa watatu waliokatwa. Mzee Kingunge ameinyooshea kidole kamati kwayo pia kutokuwa na maadili kwa kuvunja kanuni!

Mkuu yote uliyoyaeleza hapo juu ndiyo maswali yaliyomo kwenye vichwa vya watu wengi...... Swali hapa ni kwanini hawakupewa haki yao ya msingi ya kuambiwa mapungufu yao?? na Je kwa staili hiyo unaona kwa jinsi ambavyo chama kimechukulia poa na kwa hakuna makundi ni sawa?
 
Definition ya neno demokrasia kwa CCM ni ya kipekee duniani, wakiwa ndani ya chama wanasema wachache (Kitengo) wape wakitoka nje wanaimba wengi wape.
 
mwisho wa genge lolote lile ni pale washirika wa genge hilo wanapoanja kuonesha dalili za kudhulumiana na kwa kuwa dalili zimeshaanza kuonekana mwisho wao hauko mbali na hii ni kanuni ya maumbile wala haihitaji ufundi wowote na mwisho wa genge hilo ni ukombozi na uhuru wa raia tunayo haki ya kufurahi kwa umoja wetu
 
Ukiwa kama kiongozi wa serikali bungeni ulikuwa na kila fursa ya kuhakikisha hoja ya mgombea binafsi iliyoafikiwa baina ya vyama vya upinzani na CCM inafikishwa bungeni na kujadiliwa hata kwa hati ya dharula ili kupanua wigo wa demokrasia nchini!

Badala yake ukalazimisha kuingiza miswada ya gesi na mafuta ambayo haikushirikisha wadau na ambayo wa-Tanzania wana mashaka nayo kwa hati ya dharula!

Sasa ona mambo yalivyokugeuka! CCM imekupiga teke eti huna maadili!

Hoja ya mgombea binafsi ingepitishwa na bunge saa hizi ungekuwa unapeta na wala usingebabaishwa na akina Nape!

Nadhani hili limekuwa funzo kwa viongozi wengine wanaodharau hoja zenye maslahi mapana kwa Taifa na si maslahi binafsi au chama fulani!
 
Pumziko jema pinda siasa ishaakuonyesha ilivyo na kukukumbusha kua makini!!
 
Yeye alijua kujipendekeza kwa jk,

Kuwafurahisha waarabu na kusimamia maslahi yao kwa gharama zote, vingempa uraisi bila kupingwa.

Kuwasaliti Watanzania na kuamurisha majeshi kusimama kinyume na haki za binadamu kwa maslahi ya hao aliokuwa akiwatumikia, labda kwa vila walikuwa wamemuahidi IKULU, ndiyo kila kitu.

Matokeo yake, Watanzania wamemudharau na kumchukia, mafisadi wamemtelekeza baada ya kumtumia.

Sasa kakosa Mbingu na dunia. Jina lake haliko popote!.

Ayaone mwenyewe sasa na wanafiki wengine wajifunze!
 
Aliye leta hii mada ni muongo. Jina la pinda halikukatwa. Liliondolewa kwenye mchakato baada ya maridhiano.

Hawezi kulalamika kwa sababu hakuondolewa kwa vigezo bali kwa maridhiano kutokana na mazingira halusi.

Lakini mimi najua wote ambao hawakuingia 5 bora tafsiri yake ni kuwa hawafai na kamati ya maadili IKAWAKATA.Hayo maridhiano unayajua wewe tu!
 
Ukiwa kama kiongozi wa serikali bungeni ulikuwa na kila fursa ya kuhakikisha hoja ya mgombea binafsi iliyoafikiwa baina ya vyama vya upinzani na CCM inafikishwa bungeni na kujadiliwa hata kwa hati ya dharula ili kupanua wigo wa demokrasia nchini!

Badala yake ukalazimisha kuingiza miswada ya gesi na mafuta ambayo haikushirikisha wadau na ambayo wa-Tanzania wana mashaka nayo kwa hati ya dharula!

Sasa ona mambo yalivyokugeuka! CCM imekupiga teke eti huna maadili!

Hoja ya mgombea binafsi ingepitishwa na bunge saa hizi ungekuwa unapeta na wala usingebabaishwa na akina Nape!

Nadhani hili limekuwa funzo kwa viongozi wengine wanaodharau hoja zenye maslahi mapana kwa Taifa na si maslahi binafsi au chama fulani!

Concept nimeipata mkuu.
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.
Wewe jamaa uwa muongo muongo kama Yericko juzi ulituambia leo Lowasssa anatoa waraka.
 
Tanzania is not a hopeless country as some one here has said,the truth is you may be hopeless as an individual that's fine but as a country please that's a very low and idiotic way of thinking Tanzania deserves more than respect , I salute all patriots and God bless all that dearly love this great nation .
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

PINDA KAMA NI MSAFI NA MCHA MUNGU KARIBU CHADEMA USHIRIKI KTK KUONDOA DHULMA

Tanzania.
 
Ukiwa kama kiongozi wa serikali bungeni ulikuwa na kila fursa ya kuhakikisha hoja ya mgombea binafsi iliyoafikiwa baina ya vyama vya upinzani na CCM inafikishwa bungeni na kujadiliwa hata kwa hati ya dharula ili kupanua wigo wa demokrasia nchini!

Badala yake ukalazimisha kuingiza miswada ya gesi na mafuta ambayo haikushirikisha wadau na ambayo wa-Tanzania wana mashaka nayo kwa hati ya dharula!

Sasa ona mambo yalivyokugeuka! CCM imekupiga teke eti huna maadili!

Hoja ya mgombea binafsi ingepitishwa na bunge saa hizi ungekuwa unapeta na wala usingebabaishwa na akina Nape!

Nadhani hili limekuwa funzo kwa viongozi wengine wanaodharau hoja zenye maslahi mapana kwa Taifa na si maslahi binafsi au chama fulani!

Mkuu ni kweli kabisa unachosema….hata Lowasa angesimamia hoja ya mgombea binafsi, asingepata maumivu anayoyapata sasa hivi. .Huu wote ulikuwa unafiki na sasa inakula kwao…Viva Mtikila
 
nilichogundua PINDA ni RASTAFARI ORIGINAL FROM HIS BLOOD,
ame beba MUNGU maishani mwake kuliko kawaida,

MUNGU AMPE NGUVU ZAIDI ZA KUSTAHIMILI DHULMA YA WAZI.

kwa marastafari huwa wanalia sana /
MAAJABU NI KWAMBA MUNGU HUWALIPA HARAKA!!not a joke!!/

n.b/ chozi ni kilio cha roho na roho ni uhai...

nimebahatika kuishi jamaica/ chozi ni neno la sirini LA moyo /
 
Back
Top Bottom