MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

Tatizo lipo wapi? Mbona Kikwete amekuwa Rais wakati Sumaye jina lake lilikatwa na haikuwa shinda. Mkapa alikuwa Rais waziri mkuu aliyekuwa boss wake Msuya alishindwa. Acha kuzua habari za uongo.
 
UTARATIBU ULIKUWA MBOVU USIO WA KIDEMOKRASIA ULIOJAA DHULMA NA KUPOKONYA MAMLAKA HALALI ZA KIKANUNI WAGOMBEA HAWAKUJIELEZA NA KUJIBU TUHUMA MBALIMBALI HAKIKA NI

sarakasi tupu!!
 
Acha kupotosha watu ndugu,pinda si wa hivyo,unatafuta mtu wa kumsupport lowasa?, pinda anajitambua,kamwe hathubutu ujinga huo,mtabaki na kingunge mgana msindai,mgeja,serukamba na wengine,si pinda
 
Kwanza hakuna chanzo chochote pinda alipoongea hilo,anataka kuonyesha lowasa na kingunge wanaongea sahihi
 
KIbaoni wana mngonja na kauli yake ya Piga Tuu.
Ngoja awe raia kwanza
 
Kwani yeye(Pinda) na Makamu wa Raisi(Bilal) nawao hawakupewa sababu ya kushindwa hata kutoboa 5 bora? Yaan wao wameshindwa uhadilifu na mawaziri wao? Then uwepo wao kwenye hizo nafasi unatia shaka

Tuwe wakweli, kwanza Mzee Pinda(our PM) ni binadam kama alivyo yeyote. Katika mazingira ambayo kamati ya Maadili haikumfikisha Kamati Kuu( kama ni kweli) basi lazima alalame akiwa kama human being( hapa kama mtu binafsi)!
Si kweli kabisa kwamba Mzee Pinda hana maadili kuliko anaowaongiza kama Makamba Jr, Magufuli(Dr), Migiro(Dr) et al!
Kama kalalamika hata kama siyo hadharani, nami namuunga mkono! Mtu kama Jaji Ramadhan, Mzee Bilal(V Pres) nae eti kamati ya maadili inatajwa ilimtosa. Labda kamati pia ilishauri na suala la umri, ila kuhusu maadili akili ya kawaida inagoma kuamini kuwa Dr Bilal, Jaji Ramadhan, Mzee Pinda na wengine wanaoheshimika katika jamii wamsshindwa kupenya kwenye kamati ya maadili.
Kwa anaefahamu atutajie wajumbe wa Kamati ya Maadili halafu kila mjumbe alinganishwe na wazee hawa watatu waliokatwa. Mzee Kingunge ameinyooshea kidole kamati kwayo pia kutokuwa na maadili kwa kuvunja kanuni!
 
Mnaukimbia ukweli wa mpasuko mkubwa ndani ya chama chenu cha wahuni? wiki sasa waliokatwa wengi bado hawajamuunga mkono fisadi mwizi magufuli, madiwani wa CCM kule Arusha wamechoma kadi zenu za kihuni na wanachama chungu nzima wamechoma kadi. Msiukimbie ukweli ambao uko mbele ya macho yenu. Na huyo motto wa Makamba povu linamtoka eti anamsemea hovyo Kingunge. Dhambi za Kikwete zinakitafuna chama chenu cha wahuni.

hao ni chagadema na nyuzi zao za kutunga,wala usiwaamini kivile....
 
Kwani yeye(Pinda) na Makamu wa Raisi(Bilal) nawao hawakupewa sababu ya kushindwa hata kutoboa 5 bora? Yaan wao wameshindwa uhadilifu na mawaziri wao? Then uwepo wao kwenye hizo nafasi unatia shaka

Tuwe wakweli, kwanza Mzee Pinda(our PM) ni binadam kama alivyo yeyote. Katika mazingira ambayo kamati ya Maadili haikumfikisha Kamati Kuu( kama ni kweli) basi lazima alalame akiwa kama human being( hapa kama mtu binafsi)!
Si kweli kabisa kwamba Mzee Pinda hana maadili kuliko anaowaongoza kama Makamba Jr, Magufuli(Dr), Migiro(Dr) et al!
Kama kalalamika hata kama siyo hadharani, nami namuunga mkono! Mtu kama Jaji Ramadhan, Mzee Bilal(V Pres) nae eti kamati ya maadili inatajwa ilimtosa. Labda kamati pia ilishauri na suala la umri, ila kuhusu maadili akili ya kawaida inagoma kuamini kuwa Dr Bilal, Jaji Ramadhan, Mzee Pinda na wengine wanaoheshimika katika jamii wamsshindwa kupenya kwenye kamati ya maadili.
Kwa anaefahamu atutajie wajumbe wa Kamati ya Maadili halafu kila mjumbe alinganishwe na wazee hawa watatu waliokatwa. Mzee Kingunge ameinyooshea kidole kamati kwayo pia kutokuwa na maadili kwa kuvunja kanuni!
 
Ni sawa na kulisukuma gari ukiwa ndani yake
 
KANU ilipotea kwenye ramani kwa kumbeba Kenyatta ambaye hakuwa chaguo la wengi na Mwai Kibaki akaibukia upinzani na kushinda

siasa za kenya ni za ukabila,usifananishe kabisa na tz.Kura za wakikuyu walio wengi ziligawanyika baada ya upinzani nao kumsimamisha kibaki ambaye ni mkikuyu
 
Magamba mjibuni gamba mwenzenu..
 

Attachments

  • 1437228230168.jpg
    1437228230168.jpg
    13.7 KB · Views: 366
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

Pinda hajui kuwa jamaa waliamua kuwa: 'wakatwe tu' kama msemo wake wa "wapigwe tu"; wale wakataji wakasema 'na liwe liwalo' kama msemo wake kwenye mgomo wa madaktari.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom