MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

Mpaka uchaguzi ufike seremala watakuwa wamepokea mbao za kutosha kwa maana watu wakigawana mbao mwisho wake ni kuzipeleka kwa seremala akaziandae ziwe tayari kwa kufanya kazi husika.
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.


!
!
naimagine tu sasa huyu bwana mkubwa anafanya nilichokibold pale juu.
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.

Kwani yeye(Pinda) na Makamu wa Raisi(Bilal) nawao hawakupewa sababu ya kushindwa hata kutoboa 5 bora? Yaan wao wameshindwa uhadilifu na mawaziri wao? Then uwepo wao kwenye hizo nafasi unatia shaka
 
Kajidhalilisha sana Mh Jakaya. Kashindwa kutetea utawala wake na chama. inatosha kusema'wamechoka'
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.
 
Ingawa wengi wataendelea kumsema vibaya lakini Mzee Kingunge aliongea mambo ya msingi sana ambayo CCM inatakiwa kuyafanyia kazi

Washachelewa mkuu,samaki mkunje angali mbichi
 
Amesahau kauli zake za kibabe bunge kusema wananchi wapigwe tu.Nayo kamati ya maadili ilichoshwa na uroho wake wa madaraka ikaamuru akatwe tu maana wajumbe walichoka

Sipati picha sura yake akichukia inakuwaje
 
Habari za uhakika nilizofikishiwa ni kwamba, waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akubaliani na yaliyotoka Dodoma katika harakati zilizofanywa kumpata mgombea urais wa CCM.

Pinda amedai kutokuridhishwa kwake na jina lake kaondolewa na kamati ya maadili huku watu aliokuwa akiwaongoza na kuwatetea kila kukicha bungeni wakipenya kwa kile alichokiita kuwa kwa utaratibu 'mbovu'

Pinda akionekana akilia kwa uchungu wakati ambapo John Magufuli alikuwa akitangazwa kama mgombea urais wa CCM mwaka 2015.

Aidha Pinda amedai kusikitishwa na jinsi ambavyo January Makamba alivyobebwa na mbeleko ya Kikwete kuingia tano bora huku akiwa na muda mfupi sana katika siasa.

Tutasikia mengi ila fukuto lililopo ndani ya CCM ni zaidi ya ujuavyo.


umhhh hapo kwenye RED ......
 
Ebu weka picha akiwa analia nifurahi mie
 
hao ni chagadema na nyuzi zao za kutunga,wala usiwaamini kivile....

Madiwani,wenyekiti wa serikali za mitaa na vitongoji woote wa ccm wamerudisha card na kuchukua za cdm,bado kwa sumaye hivyo hivyo teeeeeh,teeeeeeh
 
Aliye leta hii mada ni muongo. Jina la pinda halikukatwa. Liliondolewa kwenye mchakato baada ya maridhiano.

Hawezi kulalamika kwa sababu hakuondolewa kwa vigezo bali kwa maridhiano kutokana na mazingira halusi.

Yeye aliutaka urais...
 
Power tamu asikwambie mtu......

Wakati angejituliza zake aendelee kuhudumiwa kama waziri mkuu mstaafu

Kupenda power ni ugonjwa mbaya sana
Pinda namtazama sura namuona Mugabe kabisa
bora amekosa huo urais
 
Back
Top Bottom