MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

Watu wa jf mnajifanya ni watu wa kumbukumbu sana ww unafkili kiongozi gani amekosewa kuwekwa????
 
Lazma tubaliane na misingi iliyo wekwa na maccm wewe kama unamaslai ndan ya chama lazma utakatwa tu...bilal kataaa...pinda..kataa...mamamvii..kataa
 
Machozi ni dalili ya kuipenda Tanzania! Anasikitikia Tanzania kukosa huduma yake!
 
ikitokea timu pinzani ina majeruhi kibao basi ni sherehe kwa upande wa pili kwani wale wasiokabika hawapo tena, kwan nani ambaye alikuwa na haki ya kuwa mgombea wa hiki chama kati ya wale 38 waliorudisha fomu? malipo ni hapa dunian walipompiga mtama yule mwenzao walifikiri sifa sasa wanalialia nini
 
uchaguzi ndani ya chama cha mapinduzi umepita uchaguzi huo umeonekana umeonekana kukiyumbusha chama cha mapinduzi, uchaguzi huo ulihusisha wagombea 38 akiwemo wazili mkuu aliepo madalakani, mtoto wa mkulima peter pinda ambae hakuingia hata tano bora pinda alionekana akilia pale alipotangazwa magufuli, je pinda akija ukawa atapokelewa?
 
uchaguzi ndani ya chama cha mapinduzi umepita uchaguzi huo umeonekana umeonekana kukiyumbusha chama cha mapinduzi, uchaguzi huo ulihusisha wagombea 38 akiwemo wazili mkuu aliepo madalakani, mtoto wa mkulima peter pinda ambae hakuingia hata tano bora pinda alionekana akilia pale alipotangazwa magufuli, je pinda akija ukawa atapokelewa?
Ha ha ha haaa! Eti Wazili mkuu? Eti Madalakani?
 
Wapigwe tuuuuu
 

Attachments

  • 1437749214270.jpg
    1437749214270.jpg
    48.5 KB · Views: 451
Back
Top Bottom