Katiba hiyo hiyo katika kipengele kimoja kinachohusu tume ya uchaguzi na ambacho kiko nyuma ya pazia kinatamka kuwa;
kifungu kidogo na. 1:
Kutakuwa na tume ya uchaguzi itakayo teuliwa na raisi na kuhakikisha kuwa mgombea wa uraisi wa chama tawala anashinda katika kila uchaguzi ambao Tume itasimamia.
Kifungu kidogo na. 2:
Kukiwa na jambo lolote ambalo tume itahitaji ufafanuzi basi tume itarejea kifungu kidogo na. 1 hapo juu!
Na pia alikuwa anawashangaa Chadema kwa kutokubali kushirikiana na vyama vingine vya upinzani akiuita ubinafsi. Nadhani alikuwa hajawasoma vizuri wapinzani hao ambao si wapinzani in real sense.Mch. Christopher Mtikila amesema kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi wa urais kwa 71%, na anamshangaa Dr. Slaa kwa kutokuchukua hatua za kisheria kudai haki yake.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.
Kwa kujua kwamba ni cholii, ndio sababu aliomba media isaidie kutuliza munkali wa wadanganyika.Hivi Jk akijaribu kurudisha nyuma picha, wakati aliponyanyuka kutoka nchini kwake kwenda Kenya kumsihi Mwai kibaki akubaliane na Odinga alikuwa anasukumwa na uadilifu gani aliyo nao? Na hata kumtuma waziri wake wa nje kwa mgabe kwamba hawaitambui serikali yake. Tutasema labda alikuwa akimrizisha Bush hasimu wa Mgabe, huku yeye binafsi akishuhudiwa nafsini mwake kwamba ni mwizi na ni suala tu la wakati? Ama kweli ukistaajabia ya mgabe utakutana na ya Jk. Sasa hivi sii ajabu akiulizwa atajitetea kwamba anamwamini Mungu na hivyo anamwomba amsamehe madhambi yake na yale atakayotenda baadae. Maana yake wakati ule alikuwa safi kwani alisamehewa na hata hii ya sasa ni safi maana aliomba kusamehewa na ya siku zijazo. HATA HIVYO JK ATAMBUE KWAMBA MUNGU ANAWEZA KUKUSAMEHE KATIKA JAMBO FULANI LAKINI WANADAMU WASIKUSAMEHE KWA HILO HILO JAMBO NA KUKUWAJIBISHA KWALO!
.
Hivi ndivo vitu ambavyo CHADEMA wanaviaandaa!!Una akili wewe!Mwanamayu:
Ibara ya 41 (7) Inasema: Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka yakuchunguza kuchaguliwa kwake.
(7) When a candidate is declared by the Electoral Commission to have been duly elected in accordance with this Article, then no court of law shall have any power to inquire into the election of that candidate.
Kimantiki ibara hii inasema kuchunguza. Hakuna mahakama inayofanya uchuguzi. Kazi ya mahakama ni kutoa maamuzi ya kisheria baada ya kusikiliza hoja kutoka pande zinazopingana.
Je umeshawahi kusikia kuwa mahakama inamfanyia uchunguzi mtuhumiwa wa mauaji au mwizi? kusema ukweli hata lugha ya kiswahili inarudishwa nyuma kwa kufanya arbitration na Investigation kuwa kitu kimoja.
Hivi ndivo vitu ambavyo CHADEMA wanaviaandaa!!Una akili wewe!
Mch. Christopher Mtikila amesema kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi wa urais kwa 71%, na anamshangaa Dr. Slaa kwa kutokuchukua hatua za kisheria kudai haki yake.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.
JK Alikuwa anataka sifa za kijinga, sio ndio chuo cha Uturuki kikampa u Docta, kwenda Kenya tu na kurudi unakuwa docta na huyo Koffi Annan tumwiitejeHivi Jk akijaribu kurudisha nyuma picha, wakati aliponyanyuka kutoka nchini kwake kwenda Kenya kumsihi Mwai kibaki akubaliane na Odinga alikuwa anasukumwa na uadilifu gani aliyo nao? Na hata kumtuma waziri wake wa nje kwa mgabe kwamba hawaitambui serikali yake. Tutasema labda alikuwa akimrizisha Bush hasimu wa Mgabe, huku yeye binafsi akishuhudiwa nafsini mwake kwamba ni mwizi na ni suala tu la wakati? Ama kweli ukistaajabia ya mgabe utakutana na ya Jk. Sasa hivi sii ajabu akiulizwa atajitetea kwamba anamwamini Mungu na hivyo anamwomba amsamehe madhambi yake na yale atakayotenda baadae. Maana yake wakati ule alikuwa safi kwani alisamehewa na hata hii ya sasa ni safi maana aliomba kusamehewa na ya siku zijazo. HATA HIVYO JK ATAMBUE KWAMBA MUNGU ANAWEZA KUKUSAMEHE KATIKA JAMBO FULANI LAKINI WANADAMU WASIKUSAMEHE KWA HILO HILO JAMBO NA KUKUWAJIBISHA KWALO!
Well, 'm impressed 2 hear he said that. Lipumba should swallow his pride & admit the same hata kama ni underground supporter wa sisiem.
Ningependa kama Dr. Slaa angefungua kesi mahakaman petitionin matokeo yaliyochakachuliwa
Mch. Christopher Mtikila amesema kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi wa urais kwa 71%, na anamshangaa Dr. Slaa kwa kutokuchukua hatua za kisheria kudai haki yake.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.
Katiba hiyo hiyo katika kipengele kimoja kinachohusu tume ya uchaguzi na ambacho kiko nyuma ya pazia kinatamka kuwa;
kifungu kidogo na. 1:
Kutakuwa na tume ya uchaguzi itakayo teuliwa na raisi na kuhakikisha kuwa mgombea wa uraisi wa chama tawala anashinda katika kila uchaguzi ambao Tume itasimamia.
Kifungu kidogo na. 2:
Kukiwa na jambo lolote ambalo tume itahitaji ufafanuzi basi tume itarejea kifungu kidogo na. 1 hapo juu!
Mch. Christopher Mtikila amesema kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi wa urais kwa 71%, na anamshangaa Dr. Slaa kwa kutokuchukua hatua za kisheria kudai haki yake.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.
Mwanamayu:
Ibara ya 41 (7) Inasema: Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka yakuchunguza kuchaguliwa kwake.
(7) When a candidate is declared by the Electoral Commission to have been duly elected in accordance with this Article, then no court of law shall have any power to inquire into the election of that candidate.
Kimantiki ibara hii inasema kuchunguza. Hakuna mahakama inayofanya uchuguzi. Kazi ya mahakama ni kutoa maamuzi ya kisheria baada ya kusikiliza hoja kutoka pande zinazopingana.
Je umeshawahi kusikia kuwa mahakama inamfanyia uchunguzi mtuhumiwa wa mauaji au mwizi? kusema ukweli hata lugha ya kiswahili inarudishwa nyuma kwa kufanya arbitration na Investigation kuwa kitu kimoja.
Asije akawa anaandaliwa na mafisadi kuibomoa chadema siku za usoni? Pengine ni mkakati wa kujipendekeza kwa chadema mkimsogeza karibu tu anapiga