Mtikila: Slaa alishinda kwa 71%


Mh! Thanx for information!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Inawezekana hii katiba ilitungwa ikijulikana kuwa yatatokea haya.

Tutaingia mtaani kudai marekebisho ya katiba hata kwa maandamano.
 
wanasheria mtusaidie. Je mahakama zinauwezo wa kutengua maamuzi ya tume kuhusiana na uchaguzi wa rais au la? Kama ndiyo wanasheria wa chadema wanasubiri nini?kama la mi naona tuwawajibishe waliotunyang'anya ushindi wetu.ili wengine wasijetokea kwenye uchaguzi ujao.
 
huyu jamaa simwamini hata kidogo
 
Na pia alikuwa anawashangaa Chadema kwa kutokubali kushirikiana na vyama vingine vya upinzani akiuita ubinafsi. Nadhani alikuwa hajawasoma vizuri wapinzani hao ambao si wapinzani in real sense.
 
Hivi Jk akijaribu kurudisha nyuma picha, wakati aliponyanyuka kutoka nchini kwake kwenda Kenya kumsihi Mwai kibaki akubaliane na Odinga alikuwa anasukumwa na uadilifu gani aliyo nao? Na hata kumtuma waziri wake wa nje kwa mgabe kwamba hawaitambui serikali yake. Tutasema labda alikuwa akimrizisha Bush hasimu wa Mgabe, huku yeye binafsi akishuhudiwa nafsini mwake kwamba ni mwizi na ni suala tu la wakati? Ama kweli ukistaajabia ya mgabe utakutana na ya Jk. Sasa hivi sii ajabu akiulizwa atajitetea kwamba anamwamini Mungu na hivyo anamwomba amsamehe madhambi yake na yale atakayotenda baadae. Maana yake wakati ule alikuwa safi kwani alisamehewa na hata hii ya sasa ni safi maana aliomba kusamehewa na ya siku zijazo. HATA HIVYO JK ATAMBUE KWAMBA MUNGU ANAWEZA KUKUSAMEHE KATIKA JAMBO FULANI LAKINI WANADAMU WASIKUSAMEHE KWA HILO HILO JAMBO NA KUKUWAJIBISHA KWALO!

.
 
Kwa kujua kwamba ni cholii, ndio sababu aliomba media isaidie kutuliza munkali wa wadanganyika.
 
Hivi ndivo vitu ambavyo CHADEMA wanaviaandaa!!Una akili wewe!
 

... kweli. ni kati ya asilimia 70 na 75. iaminike hivyo!!
 
JK Alikuwa anataka sifa za kijinga, sio ndio chuo cha Uturuki kikampa u Docta, kwenda Kenya tu na kurudi unakuwa docta na huyo Koffi Annan tumwiiteje
 
Well, 'm impressed 2 hear he said that. Lipumba should swallow his pride & admit the same hata kama ni underground supporter wa sisiem.
Ningependa kama Dr. Slaa angefungua kesi mahakaman petitionin matokeo yaliyochakachuliwa

hukumsikia dr. alichosema, ukienda mahakamani, jibu baada ya miaka 200. kilakitu ni ccm. tumwombe mungu atusaidie
 
nakumbuka siku 2 nyuma watu wamekuwa wakimuulizia sana MTIKILA kumbe alikuwa anamalizia Thesis yake ili aka-present,duh jammaa yuko juu,hawa ndio wazalendo na :doh:mashujaa wa karne yetu
 

Mzee naona unachakachua mpaka katiba. Hii kwa kweli ni kali.
 

Tunajua kweli CHADEMA tumeshinda kwa kiasi gani sina uhakika. Sijui Rev. Mtikila hiyo research yake ya Dr.Slaa kupata 71% kaifanya lini na sehemu gani?Asije akatuletea mambo ya Synovate na REDET. Aweke mambo hadharani ili ulimwengu ujue kama anayosema yana ukweli.
 


Kwani hakuna mahakama nyingine (formal orinformal) inayoweza kushughulikia tatizo hili?
 
Asije akawa anaandaliwa na mafisadi kuibomoa chadema siku za usoni? Pengine ni mkakati wa kujipendekeza kwa chadema mkimsogeza karibu tu anapiga
 
Asije akawa anaandaliwa na mafisadi kuibomoa chadema siku za usoni? Pengine ni mkakati wa kujipendekeza kwa chadema mkimsogeza karibu tu anapiga

Mtikila siyo mtu wa kuaminika. Kwenye issue kama hizi inabidi kumpotezea. Yeye aachwe tu aendeleze mtindo wake wa kesi kwani kwenye hilo hana mshindani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…