Mtikila: Slaa alishinda kwa 71%

Well, 'm impressed 2 hear he said that. Lipumba should swallow his pride & admit the same hata kama ni underground supporter wa sisiem.
Ningependa kama Dr. Slaa angefungua kesi mahakaman petitionin matokeo yaliyochakachuliwa

Kunjy unachotarajia toka kwa Lipumba ni sawa na Avatar yangu. Inawezekana ila dah!!! inabidi mpaka paradiso mpya (peponi)!!!
 
Kunjy unachotarajia toka kwa Lipumba ni sawa na Avatar yangu. Inawezekana ila dah!!! inabidi mpaka paradiso mpya (peponi)!!!

avatar31714_1.gif

Nilidhani wewe ni Carmel au ndo mwendo wa kubadili ID!
 
habari ya kwanza mtikila alisema viongozi wa dini wanafiki kwenda kumuona/kumshawishi dr akubali matokeo badala ya kwenda kumuona jk(mchakachuaji)
2. mtikila asema chadema wasanii
3.dr alishinda 71%
 
Mwanamayu:

Ibara ya 41 (7) Inasema: Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka yakuchunguza kuchaguliwa kwake.

(7) When a candidate is declared by the Electoral Commission to have been duly elected in accordance with this Article, then no court of law shall have any power to inquire into the election of that candidate.

Kimantiki ibara hii inasema kuchunguza. Hakuna mahakama inayofanya uchuguzi. Kazi ya mahakama ni kutoa maamuzi ya kisheria baada ya kusikiliza hoja kutoka pande zinazopingana.

Je umeshawahi kusikia kuwa mahakama inamfanyia uchunguzi mtuhumiwa wa mauaji au mwizi? kusema ukweli hata lugha ya kiswahili inarudishwa nyuma kwa kufanya arbitration na Investigation kuwa kitu kimoja.

mtikila ana uhakika?kama ni kweli JK ni poyoyo na mbakaji wa demokrasia!aibu yake!SIMTAMBUI JK KAMA RAIS
 
wow opportunist at wok, kazee kaudini kalikuwa kanasubiri mgombea yoyote akate chochote ili kampigie debe kakakosa maana kalishachuja kitambo! sasa kamekuja na mpya ya 71%, uliza mwenzako mzee wa kufuga majini ya kuangusha watu kanisani @#$kakobe@#@ akwambie alitumia mbinu gani akazipata za chadema.teh teh teh
 
Hii si tofauti sana na opinion polls za JF. Kikwete alipata 22% na Slaa 68%. In reality Kikwete alipata 27%
 
Mtikila nikimwona tu nasikia kichekesho, hakosagi cha kusema huyu ndugu. ananifurahishaga style yake ya kujificha, akiibuka ujue watu lazima wataanza kutafutana
 
mimi nakubaliana na kwamba DR.Slaa alishinda lakini niliondoa imani yangu juu ya huyu REV MT. pale kwenye uchaguzi mdogo Tarime aliposema kifo cha Chacha Wangwe CHADEMA ilihusika, mara kafurumishia jiwe juu ya jukwaa. Ninaposikia mambo ya huyu pastor mimi niko :tape: Dr.Slaa si rahisi afuate mapendekezo ya huyu REv.
 
Kwani hakuna mahakama nyingine (formal orinformal) inayoweza kushughulikia tatizo hili?

Dark City:

Mahakama inafanya maamuzi ya kisheria. Lakini hili ifanye maamuzi hayo ni lazima hoja zifikishwe kwao na walalamikaji. Hivyo sio kazi ya mahakama kuja mitaani kutafuta nani kafanya kosa au kavunja sheria.

Kuhusiana na vipengere vya katiba, vipengere hivi havikatazi mtu au taasisi kufungua kesi mahakamani. Hata kama hauko sahihi, hakuna mtu atakayekuzuia kufungua kesi.

Kama una dukuduku, fungua kesi, pelekea ushahidi wako na waachie mahakama waseme kama wanayo mamlaka ya kuendesha kesi hiyo. Lakini tusikae hapa JF na kwenye vijiwe na kusema kuwa katiba inakataza.

Vilevile mahakama za Tanzania bado zinafuata misingi ya mahakama za mwingereza (common law), hivyo maamuzi ya mahakama yanajenga misingi ya kesi zitakazokuja baadaye. Hivyo ningewahimiza CHADEMA wafungue kesi, hili maamuzi ya kesi iwe yawe kumbukumbu kwa kesi zingine zitakazokuja zitakazohusiana na uchaguzi wa uraisi.
 
mtikila ana uhakika?kama ni kweli JK ni poyoyo na mbakaji wa demokrasia!aibu yake!SIMTAMBUI JK KAMA RAIS

Kuhusiana na kwamba Slaa alishinda kwa 71% hapo Rev anaweza kuwa anachapia. Pamoja na hayo hata kama Dr. Slaa alishindwa uchaguzi anayo haki ya kufungua kesi mahakamani kuhusiana na taratibu za uchaguzi huo. Na baadaye aiachie mahakama iseme. Vipengere vya katiba havikuzuii wewe kutofungua mashitaka au madai.
 
tunacheza mpira sheria za mchezo wa ngumi how how how....?wajukuu zetu watafukua makaburi wapime vichwa vyetu kama kweli tulikuwa wanadamu au mithili ya masokwe kilioooö
 
wow opportunist at wok, kazee kaudini kalikuwa kanasubiri mgombea yoyote akate chochote ili kampigie debe kakakosa maana kalishachuja kitambo! sasa kamekuja na mpya ya 71%, uliza mwenzako mzee wa kufuga majini ya kuangusha watu kanisani @#$kakobe@#@ akwambie alitumia mbinu gani akazipata za chadema.teh teh teh

Hivi kutumia neno pumba pia tumekatazwa au ni crap tu.
 
Back
Top Bottom