Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
Mbona hata hawafanani kabisa! Huyu Mwambapa ni kama SI unit Wasira!
Unatujazia server na post za kipuuzi...
Who is Mtela by the way?
or that looser from Mbozi West.
Go to hell with your partner.
Nimepitia hoja za salia moja mwampamba kuhusu na jina la Dr. Slaa,hv hz siasa za kibongo zinatusaidia nini kuhusu na majina ya watu?
Umekuwa Chadema muda wote leo unafukuzwa unakuja na hoja za kitoto,kweli umeishiwa sera.anza na kusafisha kwenye chama chako cha mafisadi.uone kama utaweza kama ambavyo mwenzio nape alivyoshndwa vita hiyo,na ndo itakayo watoa madarakani,
......
Pamoja na kuwa mapandikizi, mimi nashindwa kuelewa kwa akili kama hizi walifanikiwaje hata kupata hizo nafasi walizokuwa nazo CDM. This is seriously pathetic .................. hata mtoto mwenye akili wa standard 5 hawezi kufanya haya!! Halafu kesho utamuona yuko na Nape!! Eti onyo kuhusu kuzungumzia familia ya Nape ............... si ataueleze anayoyajua kwa hiyo akili yake fupi!!!