Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

Hahahahaaa akimaliza kusahihisha majina ya Watu au Viongozi wa CHADEMA atuambie yanasaidia nini kwenye uchumi wa nchi na utekelezaji wa Ilani yao Mfu......
 
Sasa baba wa slaa ndo anazuia kutekeleza ahadi zenu za maendeleo kwa wana mbozi na tz kwa ujumla?
Hata km nape ni mbumbumbu kiasi gan, kwa hoja km hiz, mtela umepotea, nina hakika nape anakushangaa. Huna jipya na utachukiwa daima kwa usaliti. Unatema big g kwa karanga za kuonjeshwa.

chukua hii;
tikiti halimenywi, hukatwa mwampamba
na reli haina u-turn
 
Single zao zitachuja muda sio mrefu... kwan burning machinery inakalibia kualibika kwani ni analogi.... but waliaza na slaa, mbowe, mnyika, sasa tena slaa kesho mwingine cha msing ni kuwapuuza tu na mgawanyo wa majimbo hukohuko ndio majibu ya upuuzi wao utolewe....

Yan Mtela anajiaminisha sana na uchawi wa ________ ndio maana, atambui kuwa kuna wachaw zaid yake.
 
hawa watoto JULIANA na MWAMPAMBA wamesoma chuo gani,chenye maadili ya aina hii.NIMEISHI NA WANYAKYUSA FOR A LONG TIME HAWAKO HIVI?? .NI KIZAZI GANI HIKI KULE KWA WANYAKYUSA?



mwampamba hawez kuwa mnyakyusa. Wanyakyusa hatupo low minded km alivo mwampamba
 
Kwahiyo mnajadiki upuuzi cio?


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
"the home of great thinkers now is being abused"simlaumu mwenye kuleta hii thread but he should have thought of it b4 amplifying it coz haina tija kabisa.....hicho ndicho kilichobaki kwa ccm,kumpoint mtu na kusema aje awaambie watanzania aidha kuhusu elimu yake au wazazi wake.....i'ts the only thing they have left with.kesho utasikie mwingine anajitokeza akimpoint mtu eti awaeleze watz kwanini yeye ni mfupi au anakula ugali.....bla bla etc etc...nilitegemea huyo kibaraka angejitokeza na kuongelea kwanini hakuna maji dsm,au kwanini zaid ya 60% ya form 4 wamepata 0,poor minds discuss people.....peoplezzzzzzzzzzz HASTA LA VICTORIA SIEMPRE
 
Naona NAPE na MWIGULU wamepata wachezaji wazuri wa MDUNDIKO, kazi yao sasa ni kwaelekeza tu waende mtaa upi na wacheze kwa staili gani ili wapate watazamaji.
 



Mtela Mwampamba


Asubuhi hii nipo live kwenye mahojiano "PASSION FM" muda huu,Moja ya mambo nitakayozungumzia ni Kumtaka katibu mkuu wa Chadema(DR.SLAA) ajitokeze hadharani aseme familia yake ipo wapi,Ubini wake ninani na kwanini anatumia jina la Peter Slaa wakati sio baba yake.
Huyu Mzee pichani ndiye Mzee Peter Slaa ambaye sio baba wa Dr.Slaa.Namuomba Dr.slaa aitafute familia yake na awambie watanzania jina lake halisi na sio hili analotumia sasa la huyu Mzee peter Slaa ambaye sio baba yake na hawana uhusiano.




naomba nikuulize swali mwampamba, kama sikosei wewe ni mtoto wa kiume au sio?
unajua hueleweki, slaa unamjua wewe na huo umri ulio nao? mbona wewe unatoka mbeya ndani huko na slaa anatoka arusha ndani huko karatu.
swali wewe ni mzawa wa karatu, au umekwenda kutafuta udaku huko ukaelezwa hayo? na kama umeelezwa tu halafu unaeleza kama ambae umwemona au kushuhudia slaa akizaliwa, hujishangai wewe mwenyewe.
kama ni njaa tu ndio inayokupeleka ufanye hayo yote we kijana, basi njaa yako unaikumbatia. au kukaa na nape tayari ndio na tabia mmeshabihiana, mi sijawatokea watoto wa kiume wazaliwa wa mbeya wenye tabia kama yako!


 
Mwampamba na mu_eo Nape hamuwezi kupambana na Dr.Slaa.
Kamuulzeni Ridhiwan,K. pamoja na father yake[Baba Ridhiwan] walichemka mapema tu sembuse ninyi.
 
Mtela Mwampamba! umefirisika bwana mdogo,na wala huwezi kututoa kwenye hoja moto moto ya matokeo ya kidato cha nne,hujui siasa mpuuzi wewe.
 
vijana hawa wapuuzi wa kutupwa
Mtanzania gani atasikiza ujinga wake? sisi tunataka kusikia habari za maendeleo,
atuambie ilani zao zimetekelezwa ngapi
suala la baba au mzazi halituhusu kwa sasa,
ukweli CCM mmeishiwa sera,kama alivosema Kolimba chama chenu kimekosa dira na uelekeo
nafurhai kuwa shetani anawapa mada za kipuuzi ili mzikwe nazo 2015
 
Watu walimchagua Mwinyi je' nani anamjua baba yake? Mkapa nani anamjua baba yake? Kikwete nani anamjua baba yake? Mwampamba CCM watakutumia vibaya, ukichuja utajuta' bora ungetafuta kazi nyingine.
 
....Hivi Zitto naye aliwapata wapi hawa akina Taswira?
 
Kwahiyo jambo ulilomvumila Dr Slaa ulipokuwa CHADEMA ni kuhusu baba yake halisi ni nani na kwamba unamjua na Dr slaa anadanganya. Sasa embu tuambie tukishajua jina la baba yake nin kitafuata?
 
Thread za kipuuzi ndio zinapata wachangiaji, thread za maana zinaishia page 2, Watanzania watu wa ajabu still bado tunajiita Great thinkers?

Tunajadili janga la Taifa la Elimu yetu kuzalisha failures katika Historia ya nchi, halafu anatokea mtu na thread uchwara na watu mimacho kodo!! hovyo sana sisi Watanzania

Is this our priority Agenda as Nation for now? kwa nini watu mnakuwa mazezeta kiasi cha kuondelewa kwenye Agenda za maana na badala yake linakuwa Taifa la wapenda udaku?
 
Huyu masalia ni mtu wa kumpuuza tu.

Hivi huko magambani (CCM) hakuna issues za kuziongelea?! Mbona watanzania kuna mambo mengi (hasa matatizo) zaidi yanayotukabili: kwa sasa tuna hii issue ya zaidi ya 93% ya vijana wetu wamefeli kidato cha nne, huduma mbovu za afya etc. Mimi nilifikiria vijana kama mwamapamba na mwezie shonzi wangekuwa mstaari wa mbele kujadili issues muhimu zinazogusa watanzania na sio kila siku Dr. Slaa. Inavyoonekana wanatumiwa tu kama Condom au toilet paper.

Ndugu hawa watu ni wa hovyo sana....Wamekalia habari na issues za kizushi na zisizo na manufaa kwa taifa hili.
Watanzania hatuihitaji kusikia masuala ya kipuuzi kama haya ilihal taifa linazidi kuteketea. Tunahitaji kusikia nini hatima ya 86% ya watoto wetu waliofeli mtihani, nini hatima ya watoto wetu wanaolundikwa kwenye shule za kata na kukaa miaka minne bila faida.
Watueleze hatima ya taifa letu kwenye kadhia hii ya udini, mauji ya viongozi wa dini, uchomwaji wa nyumba za ibada za wakristu.
 
weye acha upuuzi badala kujadili mambo ya msingi yanayoikabili nchi yetu,weye unaleta ujinga wako wa kumzungumzia mtu binafsi tena ubini wa mtu,acha kabisa
 
Back
Top Bottom