Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

Huyu ni mfa maji na anavery simple mind, hili linatija gani kwa taifa?
Na yeye mwenyewe anakili kuwa hilo jina alipewa kwa heshima, sasa si alipewa dr so ni lake!
 
Kwani wewe mtela uliambiwa na mama yako kuwa baba yako ni nani?
 
kitendo cha chama changu CCM kuwapokewa watu wanafiki kama Kina MWAMPAMBA; watu waliokuwa wanatufanya wengi tuichukie CHADEMA, kinanifanya niwashangae sana viongozi wangu wanaondekezana na hawa jamaa.Viongozi wa CCM? hivi mmekumbwa na mkasa gani jamani?
 
Nadhani haya ndiyo matokeo ya kusoma na bila kuelimika, shida au tatizo ni nini? Ameforge vyeti au ameiba jina kama Kigangwala au Mwigulu?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mpuuzi tu huyu, ilikuaje akakubali kuongozwa na mtu asiyemwamini? Ovyo kabisa......
 
Nape ana akili za ajabu sana!amemtumia Mwampamba kumtukana Mnyika kuwa hana elimu ya chuo,Mnyika amewajibu!ameamua kukwepa na amevumbua single mpya ya Mzazi wa Dr.Slaa!!lakini ukisoma mistari ya mwisho ya maandish ya Mtela,utagundua kuwa ametumwa na Nape!eti acheni kumwuliza Katibu wangu wa Uenezi!ptuuuu!bado kidogo wanakuvua zip
 
kwa hiyo mtela mwampamba ndiye mama yake na dr. slaa hadi atueleze eti ninaujua ukweli wote,pooor and kwishney

inawezekana ndiyo maana anamjua babake (mzee peter slaa) mimi nashangaa sijui ukiwa ccm uwezo wa kufikiri unapungua? aaah pengine ndo zile methali zisemazo mfa maji..........
 
Ama kweli 'upumbavu ni kipaji'.
Ninajiuliza kuna umuhimu gani wa sisi wananchi kujua baba yake Dr Slaa?
Hata kama huyo sio baba yake mzazi, je itatusaidia nini watanzania kumjua huyo baba wa ukweli? Je itaweza kuboresha huduma za afya kwa wananchi? Je itaongeza ufaulu wa watoto wetu mashuleni? Je itaweza kutatua matatizo ya maji katika mikoa mingi kama sio yote? Je itaweza kuturudishia rasilimali zetu zinazoibiwa kila kukicha huku wananchi wakiteseka na umaskini uliokithiri?

Nadhani Mtela amesahau kuwa huyo anayeshindana nae alishavuka vipimo vya muda, vya maneno na vya utendaji na ndio maana ameweza kuaminiwa kwa kiasi chote hiki na watanzania walio wengi.

Hofu waliyonayo CCM ni uadilifu na ile imani iliyojengeka kwa wananchi juu ya Dr Slaa, na ndio maana wanataka wabadili hiyo picha kwa maneno ya kuumba.
Mtela anajua kuwa kila propaganda iliyoletwa ilidunda, either kwa kuwa sio kipaumbele cha wananchi walio wengi ama kwa kuwa sio ukweli. Nini kinachomfanya kuja na upuuzi wa aina hii? Je ni njaa? Ama ndio purukushani za kutafuta kukubalika katika chama kipya?

Naamini ni muda pekee ndio utampa jibu sahihi!
 
kitendo cha chama changu CCM kuwapokewa watu wanafiki kama Kina MWAMPAMBA; watu waliokuwa wanatufanya wengi tuichukie chadema, kinanifanya niwashangae sana viongozi wangu wanaondekezana na hawa jamaa.Viongozi wa ccm? hivi mmekumbwa na mkasa gani jamani?
Maoni mazuri sana, chukua hatua zaidi kwa kuanza kuhamasisha kutimuliwa kwa viongozi wabovu,wanao ichafua CCM kwa kuendekeza wahuni wasiokua na adabu.
 
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyosababisha watu wengine waichukie siasa!
 
kitendo cha chama changu CCM kuwapokewa watu wanafiki kama Kina MWAMPAMBA; watu waliokuwa wanatufanya wengi tuichukie chadema, kinanifanya niwashangae sana viongozi wangu wanaondekezana na hawa jamaa.Viongozi wa ccm? hivi mmekumbwa na mkasa gani jamani?

Yaani hiyo ndo kazi akina mwampamba wamekuja kufanya ndani ya ccm??? nani anaratibu shughuli za chama ndani ya ccm ama ndege haina rubani???
 
Ni nani hasa msemaji wa ccm? cant you see lichama lenu linazidi kuelekea kaburini? bora hata kisandu kaenda nccr kapewa cheo ndio maana anaongea na vyombo vya habari,sasa Mtela Mwampamba ana cheo gani ccm? kaa soma mazingira then uje na plan mpya sio kuinga ulichokikuta huko ambacho ndio kimeifanya ccm ichukiwe na Watanzania wengi,kuacha kudeal na matatizo ya wananchi na kudeal na viongozi wa Chadema
 
Hata yule tajiri mkubwa duniani, Bill Gates, hilo siyo jina lake! Who cares!

Lakini kampuni yake ya Microsoft inawika dunia nzima!

Mtapata pressure bure na Dr. Slaa wetu!!
 
Ningemuuliza maswali mawili tu mdogo wangu Mtela.La kwanza je,anajua sheria na kanuni za wakatoliki za kijana kuingia seminari na kuwa padre?
Ya pili umri wake Mtela na wa Dr.Slaa uko sawaswa?Kwa maana kwamba haingii akilini kijana mdogo kama Mtela na maeneo atokako akajua historia ya mtu mzima kama Dr.Slaa na maeneo anayotoka.Anajidhalilisha mwenyewe.
Na wala hamtendei haki Dr.Slaa kwa kumtusi mama wa Dr Slaa,kwa kumwambia Dr.Baba aliyekwambia mama yako siyo kweli,inamaana anajua zaidi kuliko Mama mzazi wa Dr.Slaa.Pili Dr.Slaa hajamuuliza Nnape baba yake mzazi ni nani.
Mtela Mwambapa wanyakyusa ni watu wanye heshima sana hebu rudi nyuma huyu mzee ni zaidi ya baba yako mheshimu.
Hata kama mtu anataka kuhamia CCM kwa mtaji huo sidhani kama ataweza kukiona CCM ni chama bali kina watu au wanachama wanaona fahari kutukana na kudhalilisha watu wengine.Ngoma hiyo tumeichoka na inazidi kuidhoofisha CCM wala siyo kuijenga.
Nape Nnauye mrudishe kwenye njia huyo mdogo wako huko aendako anapote,Dr.Slaa anaweza kumshtaki kwa kumdhalilisha yeye na wazazi wake Dr.Slaa.
 
Yani tuache kujadili kushuka kwa elimu, tujadili baba wa Dr wa Ukweli Slaa!!

Huyo Mzee anahusikaje kuitoa CCM madarakani, wakati ni mpiga kura wenu?
 
Ama kweli 'upumbavu ni kipaji'.
Ninajiuliza kuna umuhimu gani wa sisi wananchi kujua baba yake Dr Slaa?
Hata kama huyo sio baba yake mzazi, je itatusaidia nini watanzania kumjua huyo baba wa ukweli? Je itaweza kuboresha huduma za afya kwa wananchi? Je itaongeza ufaulu wa watoto wetu mashuleni? Je itaweza kutatua matatizo ya maji katika mikoa mingi kama sio yote? Je itaweza kuturudishia rasilimali zetu zinazoibiwa kila kukicha huku wananchi wakiteseka na umaskini uliokithiri?

Nadhani Mtela amesahau kuwa huyo anayeshindana nae alishavuka vipimo vya muda, vya maneno na vya utendaji na ndio maana ameweza kuaminiwa kwa kiasi chote hiki na watanzania walio wengi.

Hofu waliyonayo CCM ni uadilifu na ile imani iliyojengeka kwa wananchi juu ya Dr Slaa, na ndio maana wanataka wabadili hiyo picha kwa maneno ya kuumba.
Mtela anajua kuwa kila propaganda iliyoletwa ilidunda, either kwa kuwa sio kipaumbele cha wananchi walio wengi ama kwa kuwa sio ukweli. Nini kinachomfanya kuja na upuuzi wa aina hii? Je ni njaa? Ama ndio purukushani za kutafuta kukubalika katika chama kipya?

Naamini ni muda pekee ndio utampa jibu sahihi!

sasa nimeamini ndo maana alitimuliwa cdm, kweli anonesha uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani anapoteza ghalama kutoka mbeya hadi karatu kumpiga picha huyo mzee eti amchafue Dr. Badala ya kujijenga kwa kutafuta majibu ya matatizo yanayotusibu watanzania yeye anahangaika na baba yake Dr.Slaa. Bw. mdogo mtela amechoka mapema sana.
 
Chama tawala kupitia Sekretarieti yao mpya mmechoka mapema sana! Kama mnadhani kuwashambulia wenzenu maisha yao binafsi ni tija,basi msubiri ya kwenu yatakapo anza kupakuliwa! Kwasababu mmetuingiza ktk upuuzi,nawaomba wenye historia binafsi kuhusu kiongozi yoyote wa CCM wamwage hapa!
 
Jamaa wa facebook wamemfungukia....

Cheki hii,,,

Delphinus Christopher condom mtelaaa. Tushakutumia huna ujanja. Mbona we mwampamba sio baba yako, we si mama yako alikuwa hawala wa mzee mwanjombe ndo mwampamba kwa urafi akamchukua mama ako wakati ana mimba ya mwingine. Haha unadhan hatujui. Ee ntaanika ukweli
 
Back
Top Bottom