Nimeamua kuvunja ukimya baada ya kuona mufa maji anaendelea kutapatapa naye ni MTELA MWAMPAMPA anaudanganya umma wa watanzania kwa kumuchafua Dr. Slaa .ninamufahamu vizuri huyu kijana aliyekosa mvuto kwao MBOZI kwani tumesoma naye akiwa META sekondary alikuwa hana jipya uongo, dhuluma, uchochezi, nikawaida yake ,huyu jamaa ni mpenda pesa naomba niwaonye watanzania wenzangu wamubeze kama wanambozi wanavyomuelewa ndiomaana ameamua kukaa Dar. kwani ni mbinu za CCM kumutumia naona ccm watafute alternative nyingine kwani huyu jamaa hana mvuto kwa watanzania hadi watoto wanamdharau. kama ataendea niko radhi kufanya mdahalo naye kwani namuelewa vizuri.naomba kuwasilisha!!!!!