Mtela kama ndio mama mzazi wa dr slaa maana unakazana kama unamjua baba yake by the way imezaliwa juzi sasa umbea utakufikisha wapi fanya ya msingi
Inaweza kuwa anafanyiwa burdan na huyo jamaa kwa nini ajibu issue isiyomuhusu
Ndugu hawa watu ni wa hovyo sana....Wamekalia habari na issues za kizushi na zisizo na manufaa kwa taifa hili.
Watanzania hatuihitaji kusikia masuala ya kipuuzi kama haya ilihal taifa linazidi kuteketea. Tunahitaji kusikia nini hatima ya 86% ya watoto wetu waliofeli mtihani, nini hatima ya watoto wetu wanaolundikwa kwenye shule za kata na kukaa miaka minne bila faida.
Watueleze hatima ya taifa letu kwenye kadhia hii ya udini, mauji ya viongozi wa dini, uchomwaji wa nyumba za ibada za wakristu.
Haya sasa majibu ya mfa maji. Mimi ningefurahi kama ningesikia kauli ya DR. mwenyewe kuhusu hili badala ya ninyi servants wake.Waacheni Wapumbavu wapumbazuke na Upumbavu wao.
Naona Nappe amepata vuvuzela lake,
Tatizo kubwa tulilonalo katika taifa hili ni njaa. Tumegeuzwa masikini wa kutupwa na mazezeta ili tuuze utu kwa mlo wa kutwa moja.Tuongelee kwanza namna ya kukomesha ufisadi unaotuletea njaa za aibu kama hizi za masalia vinginevyo tutaendelea kuuza utu kwa kofia na vitenge na pilau la kutwa mojaHuyu masalia ni mtu wa kumpuuza tu.
Hivi huko magambani (CCM) hakuna issues za kuziongelea?! Mbona watanzania kuna mambo mengi (hasa matatizo) zaidi yanayotukabili: kwa sasa tuna hii issue ya zaidi ya 93% ya vijana wetu wamefeli kidato cha nne, huduma mbovu za afya etc. Mimi nilifikiria vijana kama mwamapamba na mwezie shonzi wangekuwa mstaari wa mbele kujadili issues muhimu zinazogusa watanzania na sio kila siku Dr. Slaa. Inavyoonekana wanatumiwa tu kama Condom au toilet paper.
Kwahiyo jambo ulilomvumila Dr Slaa ulipokuwa CHADEMA ni kuhusu baba yake halisi ni nani na kwamba unamjua na Dr slaa anadanganya. Sasa embu tuambie tukishajua jina la baba yake nin kitafuata?
Nashindwa nichangie nini?kweli ccm sio smart.kweli tuliwaweka madarakani watu wasiokuwa na akili.wanaongelea person issue hapa.NA KUACHA MATATIZO YA TAIFA AMBAYO KIBAOOOOOOOO.YAANI CCM SASA WAMEISHA.JAMANI WACHIMBAJI WA KABURI WAMESHAMALIZA KUCHIMBA PALE KINONDONI ???????.KWANI HUYU GAMBA ATAFARIKI SIO MUDA MREFU.