Hivi mtu anajuaje 'fulani' ni babake?
A. Kwa kuambiwa au kusimuliwa.
B. Kwa kuwa na ndoa kati ya mama yake na huyo 'fulani'
C. DNA test.
D. Legal adoption.
Hivi mtu anajuaje 'fulani' ni babake?
Wakuu kama upo karibu na Redio tune passion fm muda huu(Saa mbili asubuhi) Mtela Mwampamba anafanya mahojiano kuhusu siasa zake,
Nimesikia kwa masikio yangu,Mtela mwampamba akidai anamjua baba mzazi wa Dr.slaa na familia yake halali ilipo.Mtangazaji alipo mhoji kuhusu kwani Dr.Wilbroad peter slaa sio jina lake,Mwampamba akajibu sio jina lake.Dr.slaa anatumia jina la mzee mmoja maarufua karatu anaitwa peter Slaa,Yeye Dr.slaa anababa yake na anajina lake halali la familia yake.Hili za mzee peter slaa alipewa kulinda heshima fla" Jamani Heshima gani hiyo???
Katika hali ya kushangaa Mtangazaji akamuomba mwampamba atoe ushahidi wowote kuhusu mzee peter slaa,Duh mwampamba akampatia picha inayoonesha Mzee peter slaa ambaye si baba mzazi wa Dr.W.peter slaa.
Kupitia wall ya Mtela mwampamba(facebooka) asubuhi ya leo ameweka picha ya mzee peter slaa na Dr.slaa hii hapa
Mtela Mwampamba
Asubuhi hii nipo live kwenye mahojiano "PASSION FM" muda huu,Moja ya mambo nitakayozungumzia ni Kumtaka katibu mkuu wa Chadema(DR.SLAA) ajitokeze hadharani aseme familia yake ipo wapi,Ubini wake ninani na kwanini anatumia jina la Peter Slaa wakati sio baba yake.
Huyu Mzee pichani ndiye Mzee Peter Slaa ambaye sio baba wa Dr.Slaa.Namuomba Dr.slaa aitafute familia yake na awambie watanzania jina lake halisi na sio hili analotumia sasa la huyu Mzee peter Slaa ambaye sio baba yake na hawana uhusiano.
ONYO😛ropaganda zozote dhidi ya Katibu wangu wa Uenezi(NAPE NAUYE) za kumtaka aongelee mambo ya familia yake,Naomba DR.slaa ajitokeze kwanza aseme jina lake halali na familia yake ilipo.
Nimjua Dr.slaa hawezi kukwepa hapa,Heshima yake nimemtunzia sana sasa ni wakati wake wa kujitokeza kwa watanzania aseme jina lake halali na ubini wake na familia yake ilipo.
Mengi zaidi Tune passion Fm muda huu"
uu
![]()
![]()