Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,639
- 164,777
Waanze na yule aliesemq, "kifo ni kifo".
Achana na hilo senge la ccm limetoka kuliwa kiboga linakimbilia kupost ujingaKwani kila anaeleta taarifa humu ni chadema?
HapanaKwani kila anaeleta taarifa humu ni chadema?
Habari hii imeletwa kuwapumbaza au kuwafariji, wahanga wa mauaji.Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Hizo ni futuhi, mwnye mamlaka hawezi kubembeleza, anatoa order tu, usipotii urudi kijijini kwenu ukalime
Cc : Driz de MafweleBring back mafwele😂😂😂😂
UONGO MTUPU ...!JWTZ,POLISI, SAMIA NA CCM ni kitu kimoja.Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Hizi ni political spinning za kutaka Kuonesha sasa gavo ya Samia inashughulukia matatizo ya wananchi na ni mpango mikakati wa kushusha pressure ya wadanganyika.Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393